Endapo Raheem Sterling angekuwa mzungu angetunukiwa Ballon d'Or

Endapo Raheem Sterling angekuwa mzungu angetunukiwa Ballon d'Or

Huyo mchezaji wa hovyo kabisa. Timu imefungwa 3-0 yeye anapoteza mpira kizembe ndani ya boksi alafu badala akabe anacheka na kushika kiuno[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Raheem Sterling aliyekuwa mshambuliaji wa Man City na sasa hivi Chelsea alistahili hii Tuzo pia lakini kamwe hatoipata kwasababu ya rangi yake.
Kwenye msimu upi hasa Sterling alifanya maajabu hadi astahiki kupewa balon d'or?
Kwa watu wanaojua mpira Sterling ni average player.
Wala sio WORLD CLASS PLAYER.
Yaani hata ndoo ya champions league hana wala Euro na unataka apewe tuzo tuu.
 
Sterling huyu huyu ama[emoji23][emoji23][emoji23], huyo etoo mwenywe hana sifa ya kupewa ballon d or, nitajie mwaka ambao unahisi etoo alikuwa on fire kiasi icho cha kupewa ballon d or .
Hawa pekee ndo nahisi walistahili kupata ballon d or
1 sneijdner 2010, henry 2004, lewandowski 2020
 
🤔🤔🤔 ngoja kwanza una maanisha tuzo anayopewa mchezaji bora duniani au kuna kingine umelenga kwenye huu Uzi 🤔🤔🤔
 
Mzuka wanajamvi!

Hii kasumba ya ubaguzi kwenye mpira inaonekana waziwazi.

Hata George weah alivyopewa balloon d'or miaka ya nyuma kwa kuwa mchezaji bora wa mwaka wazungu walilalamika ilikuwaje mmatumbi akapewa Tuzo hiyo kubwa kwenye mpira?

FIFA ilimnyima waziwazi Samuel Etoo hii tuzo. Etoo angekuwa mzungu angeipata mara tano mfulululizo.

Raheem Sterling aliyekuwa mshambuliaji wa Man City na sasa hivi Chelsea alistahili hii Tuzo pia lakini kamwe hatoipata kwasababu ya rangi yake.
View attachment 2680713
🤣🤣🤣🤣 Sterling..ungesema Mane ningekuona wa maana sana
 
Kuhusu Etoo hakuna shida,

Lakini Sterling atwae tuzo kwa kipaji kipi alichowahi kuonesha!?
Tafuta mwaka ambao aliweka record kubwa na nzuri then tucompare na wengine kama aliwazidi.

Ukishindwa kufanya hivyo madai yako yanakuwa hayana mashiko
Wangempa hata Yaya Toure wa Man City enzi zile......au nafasi yake uwanjani haikumbeba ?
 
Wangempa hata Yaya Toure wa Man City enzi zile......au nafasi yake uwanjani haikumbeba ?
At least hata huyo, sie Sterling.

Sema tu Yaya kwenye ubora wake, man city haikuwa tishio kivile UEFA.
Halafu kipind hiko kulikuwa na Messi na Ronaldo wamechanjiwa.
Neymar nae alikuwa anachipukia, Ribery nae alikuwepo kwenye game, bado Iniesta alikuwepo.

Hapo unaona kabisa kuna ugumu wa Toure kupata tuzo kubwa.
 
Back
Top Bottom