Kuna kitu unapaswa kujifunza kuhusu mpira wa miguu. Kwa maoni haya unaonekana hujui soka, japo ni shabiki wa mpira.
Zitazame timu zilizo kwenye super cup, halafu uone hatua iliyopigwa na Simba ndani ya miaka mitano.
Hatua ya robo fainali ya ACL huwa inachezwa na timu bora tupu, siyo Shirikisho ambako hata timu inayoshuka daraja inacheza.
Kwa hiyo Simba kucheza robo fainali sio hatua ndogo, na ni mchakato mzuri wa kuyaendea mafanikio makubwa.
Kwani Mamelody ana miaka mingapi bila kuwa bingwa ACL? Kutwaa ACL siyo suala la kulala na kuamka.
Huyo Hersi aliyeshindwa kununulia wachezaji wake viatu vya kuchezea kwenye mvua kwenye mechi ya fainali hadi wakafungwa ana lipi la maana kafanya hadi liitwe mafanikio makubwa?
Ova