Endapo Simba ingempata kiongozi kama Eng Hersi, Leo hii ingekuwa ni bingwa wa Africa

Endapo Simba ingempata kiongozi kama Eng Hersi, Leo hii ingekuwa ni bingwa wa Africa

Kuna kitu unapaswa kujifunza kuhusu mpira wa miguu. Kwa maoni haya unaonekana hujui soka, japo ni shabiki wa mpira.

Zitazame timu zilizo kwenye super cup, halafu uone hatua iliyopigwa na Simba ndani ya miaka mitano.

Hatua ya robo fainali ya ACL huwa inachezwa na timu bora tupu, siyo Shirikisho ambako hata timu inayoshuka daraja inacheza.

Kwa hiyo Simba kucheza robo fainali sio hatua ndogo, na ni mchakato mzuri wa kuyaendea mafanikio makubwa.

Kwani Mamelody ana miaka mingapi bila kuwa bingwa ACL? Kutwaa ACL siyo suala la kulala na kuamka.

Huyo Hersi aliyeshindwa kununulia wachezaji wake viatu vya kuchezea kwenye mvua kwenye mechi ya fainali hadi wakafungwa ana lipi la maana kafanya hadi liitwe mafanikio makubwa?

Ova
Umenena vizuri . Ila wala mihogo wa Hers watakupopoa kwa mawe.
 
Kwa miaka mitano hii ya ushiriki wa Simba kwenye michuano ya kimataifa timu yetu ya ni kama haipigi hatua. Tunaishia pale ple tu ambapo tunaishia miaka ya nyuma.

Kwa mtazamo wangu kinachotuangusha ni kuwa na viongozi wasio waadilifu, wasio na upeo mpana na mpira na wengi wao ni wazee..

Mpira wa kisasa unaitaji viongozi wanaoingia field wenyewe kusaka wachezaji Bora ili kupunguza upigaji, viongozi wenye maono na wanaojua nini wanataka wa achieve.

Simba tumechagua viongozi wazee wasio elimi na uelewa wa kutosha na mpira.

Tutendelea kuwalaumu Caf wanawapendelea utopolo kwa kuwapangia timu vibonde huku utopolo wazidi kupanda viwango kila kukicha na sisi tumegota palepale.

Siku tukija kushituka tutawakuta utopolo ni mabingwa wa Africa

Nguvu moja[emoji123]
Huyu anayedanganya mikataba ya wachezaji na kuhonga timu za ligi zinazopambana na Simba?
 
Kwa miaka mitano hii ya ushiriki wa Simba kwenye michuano ya kimataifa timu yetu ya ni kama haipigi hatua. Tunaishia pale ple tu ambapo tunaishia miaka ya nyuma.

Kwa mtazamo wangu kinachotuangusha ni kuwa na viongozi wasio waadilifu, wasio na upeo mpana na mpira na wengi wao ni wazee..

Mpira wa kisasa unaitaji viongozi wanaoingia field wenyewe kusaka wachezaji Bora ili kupunguza upigaji, viongozi wenye maono na wanaojua nini wanataka wa achieve.

Simba tumechagua viongozi wazee wasio elimi na uelewa wa kutosha na mpira.

Tutendelea kuwalaumu Caf wanawapendelea utopolo kwa kuwapangia timu vibonde huku utopolo wazidi kupanda viwango kila kukicha na sisi tumegota palepale.

Siku tukija kushituka tutawakuta utopolo ni mabingwa wa Africa

Nguvu moja[emoji123]
Huyu huyu msomali au mi sijakulewa...
 
Ni kosa kisheria mtu kujiita "Eng." Ikiwa hatambuliki na bodi ya wahandisi nchini
 
Kumbe eng kazi yake nyingine ni kununulia wachezaji viatu ??? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwahiyo pale simba nani anakazi ya kununulia viatu wachezaji MO au mangungu ??
Kadri umri wako utakavyokuwa unaongezeka na kuwa mtu mzima, bila shaka utaelewa maana ya madaraka ya kuwa Rais wa taasisi.

Ova
 
Back
Top Bottom