babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 378
- 984
Kwa miaka mitano hii ya ushiriki wa Simba kwenye michuano ya kimataifa timu yetu ya ni kama haipigi hatua. Tunaishia pale ple tu ambapo tunaishia miaka ya nyuma.
Kwa mtazamo wangu kinachotuangusha ni kuwa na viongozi wasio waadilifu, wasio na upeo mpana na mpira na wengi wao ni wazee..
Mpira wa kisasa unaitaji viongozi wanaoingia field wenyewe kusaka wachezaji Bora ili kupunguza upigaji, viongozi wenye maono na wanaojua nini wanataka wa achieve.
Simba tumechagua viongozi wazee wasio elimi na uelewa wa kutosha na mpira.
Tutendelea kuwalaumu Caf wanawapendelea utopolo kwa kuwapangia timu vibonde huku utopolo wazidi kupanda viwango kila kukicha na sisi tumegota palepale.
Siku tukija kushituka tutawakuta utopolo ni mabingwa wa Africa
Nguvu moja[emoji123]
Kwa mtazamo wangu kinachotuangusha ni kuwa na viongozi wasio waadilifu, wasio na upeo mpana na mpira na wengi wao ni wazee..
Mpira wa kisasa unaitaji viongozi wanaoingia field wenyewe kusaka wachezaji Bora ili kupunguza upigaji, viongozi wenye maono na wanaojua nini wanataka wa achieve.
Simba tumechagua viongozi wazee wasio elimi na uelewa wa kutosha na mpira.
Tutendelea kuwalaumu Caf wanawapendelea utopolo kwa kuwapangia timu vibonde huku utopolo wazidi kupanda viwango kila kukicha na sisi tumegota palepale.
Siku tukija kushituka tutawakuta utopolo ni mabingwa wa Africa
Nguvu moja[emoji123]