Endapo Simba itapoteza Kigoma

Endapo Simba itapoteza Kigoma

Habari wakuu

Nawaza hapa endapo Simba itafungwa tena kigoma sijui hali itakuaje.

Naiona Yanga ikitawala msimu ujao baada ya Simba kupasuka vipande vipande baada ya matokeo ya Kigoma.



itakuwa kawaida tu ndo mchezo wa mpira ulivyo. Chelsea kampindua Man city ndan na nje.. lakin mwisho wa siku Man city Ndo Bingwa wa ligi

Kupoteza au Kushinda kwa direct opponent wako haimaanishi ww ni mbovu, Chelsea kashinda UEFA kwa kumfunga City haimaanishi kuwa Chelsea atatamba msimu ujao.. sababu kamfunga man city Bingwa.. kutamba kwao kutategemea walivyojipanga na kama vile Mancity kufungwa na Chelsea fainali haimaanishi kuwa mwakan ataboronga.. itategemea na walivyojipanga

Kwa hiyo matokeo yoyote yale ya kigoma hayawez kutoa taswira ya msimu ujao.. tena ukizingatia hata usajili bado
 
Trust me, Simba haiwezi himili kupoteza Kigoma! Narudia hawawezi. Timu itapasuka vipande 70! Na ndo itakuwa mwa nzo wa mwisho
 
Kupoteza kigoma inawezekana sana, ila Simba kusambaratika eti kisa tumefungwa na Yanga hiyo sahau malengo ya Simba kwa sasa ni ubingwa wa Afrika sio kumfunga Yanga.
 
Simba hii sio ile unayofikiria mleta mada,Simba hii haiwezi kupasuka kwa kukosa f.a au kufungwa na Uto,hayo mambo bado yanatawala kwa Manyani f.c a.k.a Malalamiko.
Huu ni udhibitisho mwingine kuwa wenzetu bado wana fikra za kijima na kijuha
 
Hiyo kufungwa tena inaweza kutokea, lakini kamwe Simba haiwezi "...kuvunjika vipande vipande..." kisa kufungwa Marw mbili, au tatu, au nne na Yanga, au na timu yoyote ile.

Ukitaka kujua hilo angalia reaction ya mashabiki, viongozi na wachezaji wa Simba baada ya game ya juzi, halafu fikiria kama ninyi ndo mngekua mmepoteza ile game, mngemshutumu kila mtu... sisi tunajua tumefungwa na maisha yanaendelea. Tunajua tutakuja tukiwa vizuri zaidi, na hata ikitokea hatujarudi vzr haituzuii kuendelea kuwa SIMBA.

Hivi karibuni hakuna game ilituumiza kama ile tulipigwa Nne na Kaizer Chiefs, lakini hatukuvunjika "vipande vipande" kama unavyosema.

Na hiyo ndo tofauti kati ya Simba na vilabu vyenu mavy mavy.
Fact.
 
Huu ni udhibitisho mwingine kuwa wenzetu bado wana fikra za kijima na kijuha
Viumbe kama hawa watapata wapi fikra sahihi? Luc kuwafananisha Yanga na nyani alikuwa sahihi kabisa
FB_IMG_1625214394973.jpg
 
Back
Top Bottom