Endapo Tundu Lissu atashindwa kupata fursa ya kuwa mwenyekiti CHADEMA taifa. Plan B, atangombea Ubunge Singida, na kujipanga kugombea Urais 2030

Endapo Tundu Lissu atashindwa kupata fursa ya kuwa mwenyekiti CHADEMA taifa. Plan B, atangombea Ubunge Singida, na kujipanga kugombea Urais 2030

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Endapo atashindwa vibaya sana kua mwenyekiti wa Chadema Taifa kama plan A yake,

Tundu Lisu, atagombea ubunge miongoni mwa majimbo ya uchaguzi katika mkoa wa Singida, kupitia chama kipya cha siasa ambacho bado hakijawekwa wazi bado, lakini ndicho atakachokitumia kugombea ubunge Singida na lakini pia kugombea urasi 2030.

Hatua hii inamaanisha kwamba nafasi ya uenyekiti wa Chadema taifa ndiyo itakayoamua mustakabali wa siasa za Tundu Lisu, kubaki kua siasa za jimbo au kua za siasa za kiharakati kitaifa, kuelekea uchaguzi mkuu wa kihistoria wa Oct 2025.

Hata hivyo,
diasporas na mabwenyenye ya magharibi yanayombackup huyu muungwana yanabaki kuwa remonte control ya kudictact siasa za Tundu Lisu humu nchini, kwasababu pekeyake bado hana uwezo wa kujitegemea kwa hali na mali, bila kubustiwa na wadau wa siasa wa ndani na nje ya nchi, hususani kiuchumi. Njia ya kuomba omba kuchangiwa imeonekana haina uhakika sana ingawa bado ana tamaa ya kufanya hivyo kwasababu ndio hulka yake.

Na hiyo ndiyo weakness yake kubwa zaidi inayomfanya kubabaika dhidi ya maamuzi yake mwenyewe, na hata kufikia mahali kulamba matapishi yake mwenyewe, mathalani kwenye suala la kugombea uenyekiti wa Chadema Taifa, alishawahi kutamka hadharini kwamba hakuwahi kua na ndoto hizo, lakini pia kamwe hatathubutu kugombea uenyekiti akipambana na mwenyekiti wa sasa wa Chadema.

Infact,
Tundu Lisu anafanya siasa za kushinikizwa na kuelekezwa na wanaomfadhili, na kwasababu ya umasikini wake na ugumu wa maisha, kwasababu nae hana namna ya kukataa suala lolote linalo husu pesa.

Kiufupi,
kutumika au kutumiwa kisiasa ni jambo baya sana, ni muhimu mno kujifunza kujitegemea kwa hali na mali kisiasa, kijamii na kiuchumi, ili kuepuka fedheha kama anazopitia muungwana Tundu Lisu.

kila la kheri wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa kwa kujipanga kumkataa kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Kugombea Ubunge haiwezi kuwa plan B. Maana uenyekiti hauzuii Hilo. Hata Mbowe amekuwa Mbunge mara kadhaa pamoja na kuwa Mwenyekiti.

After all ufahamu uenyekiti Hauna mishahara
 
Endapo atashindwa vibaya sana kua mwenyekiti wa Chadema Taifa kama plan A yake,

Tundu Lisu, atagombea ubunge miongoni mwa majimbo ya uchaguzi katika mkoa wa Singida, kupitia chama kipya cha siasa ambacho bado hakijawekwa wazi bado, lakini ndicho atakachokitumia kugombea ubunge Singida na lakini pia kugombea urasi 2030.

Hatua hii inamaanisha kwamba nafasi ya uenyekiti wa Chadema taifa ndiyo itakayoamua mustakabali wa siasa za Tundu Lisu, kubaki kua siasa za jimbo au kua za siasa za kiharakati kitaifa, kuelekea uchaguzi mkuu wa kihistoria wa Oct 2025.

Hata hivyo,
diasporas na mabwenyenye ya magharibi yanayombackup huyu muungwana yanabaki kuwa remonte control ya kudictact siasa za Tundu Lisu humu nchini, kwasababu pekeyake bado hana uwezo wa kujitegemea kwa hali na mali, bila kubustiwa na wadau wa siasa wa ndani na nje ya nchi, hususani kiuchumi. Njia ya kuomba omba kuchangiwa imeonekana haina uhakika sana ingawa bado ana tamaa ya kufanya hivyo kwasababu ndio hulka yake.

Na hiyo ndiyo weakness yake kubwa zaidi inayomfanya kubabaika dhidi ya maamuzi yake mwenyewe, na hata kufikia mahali kulamba matapishi yake mwenyewe, mathalani kwenye suala la kugombea uenyekiti wa Chadema Taifa, alishawahi kutamka hadharini kwamba hakuwahi kua na ndoto hizo, lakini pia kamwe hatathubutu kugombea uenyekiti akipambana na mwenyekiti wa sasa wa Chadema.

Infact,
Tundu Lisu anafanya siasa za kushinikizwa na kuelekezwa na wanaomfadhili, na kwasababu ya umasikini wake na ugumu wa maisha, kwasababu nae hana namna ya kukataa suala lolote linalo husu pesa.

Kiufupi,
kutumika au kutumiwa kisiasa ni jambo baya sana, ni muhimu mno kujifunza kujitegemea kwa hali na mali kisiasa, kijamii na kiuchumi, ili kuepuka fedheha kama anazopitia muungwana Tundu Lisu.

kila la kheri wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa kwa kujipanga kumkataa kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
NONSENSE, kauli kuu no reform no election
 
Kugombea Ubunge haiwezi kuwa plan B. Maana uenyekiti hauzuii Hilo. Hata Mbowe amekuwa Mbunge mara kadhaa pamoja na kuwa Mwenyekiti.

After all ufahamu uenyekiti Hauna mishahara
ni muhimu kufahamu kwamba,
elections is very expensive process, especially in presidential posts,

ukijitathmini na kuona hauwezi kujitegemea kwa hilo, ni vizuri kua muungwana kama alivyo fanya Lisu kuopt kugombea ubunge angalau anaweza kuconsolidate financial support akaaminika 🐒
 
..watoto wa viongozi wa CCM watoto wao wanasomeshwa academy, na vyuo vikuu nje ya nchi.

.
kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi hawezi kamwe kuiongoza Chadema gentleman 🐒
 
Endapo atashindwa vibaya sana kua mwenyekiti wa Chadema Taifa kama plan A yake,

Tundu Lisu, atagombea ubunge miongoni mwa majimbo ya uchaguzi katika mkoa wa Singida, kupitia chama kipya cha siasa ambacho bado hakijawekwa wazi bado, lakini ndicho atakachokitumia kugombea ubunge Singida na lakini pia kugombea urasi 2030.

Hatua hii inamaanisha kwamba nafasi ya uenyekiti wa Chadema taifa ndiyo itakayoamua mustakabali wa siasa za Tundu Lisu, kubaki kua siasa za jimbo au kua za siasa za kiharakati kitaifa, kuelekea uchaguzi mkuu wa kihistoria wa Oct 2025.

Hata hivyo,
diasporas na mabwenyenye ya magharibi yanayombackup huyu muungwana yanabaki kuwa remonte control ya kudictact siasa za Tundu Lisu humu nchini, kwasababu pekeyake bado hana uwezo wa kujitegemea kwa hali na mali, bila kubustiwa na wadau wa siasa wa ndani na nje ya nchi, hususani kiuchumi. Njia ya kuomba omba kuchangiwa imeonekana haina uhakika sana ingawa bado ana tamaa ya kufanya hivyo kwasababu ndio hulka yake.

Na hiyo ndiyo weakness yake kubwa zaidi inayomfanya kubabaika dhidi ya maamuzi yake mwenyewe, na hata kufikia mahali kulamba matapishi yake mwenyewe, mathalani kwenye suala la kugombea uenyekiti wa Chadema Taifa, alishawahi kutamka hadharini kwamba hakuwahi kua na ndoto hizo, lakini pia kamwe hatathubutu kugombea uenyekiti akipambana na mwenyekiti wa sasa wa Chadema.

Infact,
Tundu Lisu anafanya siasa za kushinikizwa na kuelekezwa na wanaomfadhili, na kwasababu ya umasikini wake na ugumu wa maisha, kwasababu nae hana namna ya kukataa suala lolote linalo husu pesa.

Kiufupi,
kutumika au kutumiwa kisiasa ni jambo baya sana, ni muhimu mno kujifunza kujitegemea kwa hali na mali kisiasa, kijamii na kiuchumi, ili kuepuka fedheha kama anazopitia muungwana Tundu Lisu.

kila la kheri wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa kwa kujipanga kumkataa kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi.🐒

Mungu Ibariki Tanzania


Wamesha sema No reform no election sasa wewe Mama unakurupuka na ubunge kabla ya reform !

 
2030 atatoboa kweli?
itategemea maandalizi na mipango mikakati yake kati ya 2025-2030, ambapo plan yake ni awe mbunge katika kipindi hicho.

ruzuku na michango mingine imsaidie kufanikisha lengo hilo.kwasasa yupo dhohofuli hali kiuchumi, halafu na kiburi aloonyesha kwa wenye pesa,

definitely atahujumiwa na atafanya vibaya mno endapo atagombea urais mwaka ujao 2025🐒
 
Wamesha sema No reform no election sasa wewe Mama unakurupuka na ubunge kabla ya reform !

No fear No hate,

uchuguzi wa Chadema Taifa Jan.2025, unafanyika kwa amani na salama,

Lakini pia uchaguzi mkuu Tanzania Oct 2025 unafanyika kwa amani na utulivu bila mbambamba ya kibwengo wala msukule yeyote kutoka ng'ambo kwa wanaomfadhili 🐒
 
No fear No hate,

uchuguzi wa Chadema Taifa Jan.2025, unafanyika kwa amani na salama,

Lakini pia uchaguzi mkuu Tanzania Oct 2025 unafanyika kwa amani na utulivu bila mbambamba ya kibwengo wala msukule yeyote kutoka ng'ambo kwa wanaomfadhili 🐒

Wewe mama bure kabisa watu wanaongelea reform wewe unaongelea peace ✌️ hivyo ni vitu viwili tofauti! Uchawa umekuwa sugu hata akili zime ama
 
Back
Top Bottom