Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila siku bahati iwapate wao tuNikiongea technically kiuchambuzi bila upendeleo wa upande wowote yanga anashinda kibahati bahati
¥Yanga haiko vizuri ila wanabebwa na waamuzi ile mechi ya juzi Simba sc ingeshinda..kwasababu lile goli lao ni la offside tu...Simba wamenyiwa penati ys wazi yanga akapewa goli la Offside.View attachment 3066357
Achana na koloMbona Kapombe umemficha? Tuoneshe Kapombe hapo kasimamia wapi au alikuwa na Diarra wanapiga stori?
Unahangaika kumjibu huyu mbumbumbuMbona Kapombe umemficha? Tuoneshe Kapombe hapo kasimamia wapi au alikuwa na Diarra wanapiga stori?
AaahaaaaWeka mke rehani
UBAYA UBWELA SANDAAAAKesho ni fainali baina ya Yanga vs Azam, mchezo utakuwa mgumu lakini mwepesi sana kwa Azam, kinachonipa matumaini ni kuwa wachezaji watano wa Yanga wanaowategemea yaani Aucho, Aziz Ki, Max Nzengeli, Pacome na Mudathiri au Duke ni wachezaji wa kawaida sana mbele ya viungo wa Azam, lakini kubwa zaidi nalojivunia mimi ni kuwa kesho ndumba pale uwanjani zimegota.
Kesho saa 10 Simba watacheza na Coastal kutafuta mshindi wa tatu, sasa watakuwa wameshauharibu uwanja na hivyo Utopolo hawatakuwa tena na maajabu na uwanja huo.Kazi itakuwa ngumu sana kesho kwao.
Mtake msitake uwanja kesho uko free, mipango yetu ile haipo tena kesho, na endapo basi Yanga ataifunga Azam ndani ya dakika 90 kesho kwa Mkapa ntaamini na sitokuwa na sababu tena ya kubishana na watu kuhusu uwezo wao, nitakuwa mstari wa mbele kupinga maneno yote kuwa Yanga haina uwezo.Azam hii inafungwaje na timu inayotegemea Aucho, Max, Pacome na Aziz Ki tu.
Narudia kama Yanga itaifunga Azam ndani ya dakika 90 nitakuwa mtu wa kwanza kutoka unyamani kusema kuwa Yanga wako vizuri yanayosemwa juu yao ni uongo, uongo, uongo.
Mnawafunga simba kimipango halafu mnasema timu mnayo, ujinga kabisa
Bila kuweka mke rehani hatuwezi kukuamini maneno yakoKesho ni fainali baina ya Yanga vs Azam, mchezo utakuwa mgumu lakini mwepesi sana kwa Azam, kinachonipa matumaini ni kuwa wachezaji watano wa Yanga wanaowategemea yaani Aucho, Aziz Ki, Max Nzengeli, Pacome na Mudathiri au Duke ni wachezaji wa kawaida sana mbele ya viungo wa Azam, lakini kubwa zaidi nalojivunia mimi ni kuwa kesho ndumba pale uwanjani zimegota.
Kesho saa 10 Simba watacheza na Coastal kutafuta mshindi wa tatu, sasa watakuwa wameshauharibu uwanja na hivyo Utopolo hawatakuwa tena na maajabu na uwanja huo.Kazi itakuwa ngumu sana kesho kwao.
Mtake msitake uwanja kesho uko free, mipango yetu ile haipo tena kesho, na endapo basi Yanga ataifunga Azam ndani ya dakika 90 kesho kwa Mkapa ntaamini na sitokuwa na sababu tena ya kubishana na watu kuhusu uwezo wao, nitakuwa mstari wa mbele kupinga maneno yote kuwa Yanga haina uwezo.Azam hii inafungwaje na timu inayotegemea Aucho, Max, Pacome na Aziz Ki tu.
Narudia kama Yanga itaifunga Azam ndani ya dakika 90 nitakuwa mtu wa kwanza kutoka unyamani kusema kuwa Yanga wako vizuri yanayosemwa juu yao ni uongo, uongo, uongo.
Mnawafunga simba kimipango halafu mnasema timu mnayo, ujinga kabisa
Wewe Kolo FC utakuja na nyimbo nyingine baada ya Azam kufungwa.Kesho ni fainali baina ya Yanga vs Azam, mchezo utakuwa mgumu lakini mwepesi sana kwa Azam, kinachonipa matumaini ni kuwa wachezaji watano wa Yanga wanaowategemea yaani Aucho, Aziz Ki, Max Nzengeli, Pacome na Mudathiri au Duke ni wachezaji wa kawaida sana mbele ya viungo wa Azam, lakini kubwa zaidi nalojivunia mimi ni kuwa kesho ndumba pale uwanjani zimegota.
Kesho saa 10 Simba watacheza na Coastal kutafuta mshindi wa tatu, sasa watakuwa wameshauharibu uwanja na hivyo Utopolo hawatakuwa tena na maajabu na uwanja huo.Kazi itakuwa ngumu sana kesho kwao.
Mtake msitake uwanja kesho uko free, mipango yetu ile haipo tena kesho, na endapo basi Yanga ataifunga Azam ndani ya dakika 90 kesho kwa Mkapa ntaamini na sitokuwa na sababu tena ya kubishana na watu kuhusu uwezo wao, nitakuwa mstari wa mbele kupinga maneno yote kuwa Yanga haina uwezo.Azam hii inafungwaje na timu inayotegemea Aucho, Max, Pacome na Aziz Ki tu.
Narudia kama Yanga itaifunga Azam ndani ya dakika 90 nitakuwa mtu wa kwanza kutoka unyamani kusema kuwa Yanga wako vizuri yanayosemwa juu yao ni uongo, uongo, uongo.
Mnawafunga simba kimipango halafu mnasema timu mnayo, ujinga kabisa
Na wewe kwa akili yako unaamini kuwa Yanga huwa wanashinda kwa ndumba?Kesho ni fainali baina ya Yanga vs Azam, mchezo utakuwa mgumu lakini mwepesi sana kwa Azam, kinachonipa matumaini ni kuwa wachezaji watano wa Yanga wanaowategemea yaani Aucho, Aziz Ki, Max Nzengeli, Pacome na Mudathiri au Duke ni wachezaji wa kawaida sana mbele ya viungo wa Azam, lakini kubwa zaidi nalojivunia mimi ni kuwa kesho ndumba pale uwanjani zimegota.
Kesho saa 10 Simba watacheza na Coastal kutafuta mshindi wa tatu, sasa watakuwa wameshauharibu uwanja na hivyo Utopolo hawatakuwa tena na maajabu na uwanja huo.Kazi itakuwa ngumu sana kesho kwao.
Mtake msitake uwanja kesho uko free, mipango yetu ile haipo tena kesho, na endapo basi Yanga ataifunga Azam ndani ya dakika 90 kesho kwa Mkapa ntaamini na sitokuwa na sababu tena ya kubishana na watu kuhusu uwezo wao, nitakuwa mstari wa mbele kupinga maneno yote kuwa Yanga haina uwezo.Azam hii inafungwaje na timu inayotegemea Aucho, Max, Pacome na Aziz Ki tu.
Narudia kama Yanga itaifunga Azam ndani ya dakika 90 nitakuwa mtu wa kwanza kutoka unyamani kusema kuwa Yanga wako vizuri yanayosemwa juu yao ni uongo, uongo, uongo.
Mnawafunga simba kimipango halafu mnasema timu mnayo, ujinga kabisa
😀😀😀😀 safari hii tunaenda kuchukua mke, hatutasikiliza ushauri wa wazeeWeka mke rehani
Angetuwekea tu tubonye .Uzi huu bila kuweka mke rehani ni batili