Endapo Yanga itaifunga Azam kesho ndani ya dakika 90 nitaamini kuwa Yanga wanashinda kwa uwezo wao na yanayosemwa ni majungu tu

Hahahahaha ,dah
 
Yanga haiko vizuri ila wanabebwa na waamuzi ile mechi ya juzi Simba sc ingeshinda..kwasababu lile goli lao ni la offside tu...Simba wamenyiwa penati ys wazi yanga akapewa goli la Offside.View attachment 3066357
Natamani nikutukane maana dube alikua na haja gan ya kumpa max pasi kama nyuma yake hapakua na beki aliyekua anamkabsa ,
 
Hodiii mwedugari? Mbona mnyamala? Mfirwaa?
 
Amesahau uzi wake wewe njooo huku unaitwaaa
 
Ni shabiki wa Msimbazi unaejitambuwa! Hongera...
Wenzako waliweka wake, kuku, hela, kuvaa jezi za yanga NK NK WANAJUTA!
 
Amka ukajitawaze!
 
Ikawaje tena ndugu yangu Kolo FC. Nawe imekuwa kama hasibu feki OKW CPA uchwara SUNZU BOBAN.
 
Wewe mpuuzi, sasa umeamini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…