TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
- Thread starter
- #21
What so?So What?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What so?So What?
Sihitaji salamu yako,salamu yako peleka kwenu huko!.
Kwa Taarifa yako
1990 - Umri Miaka 35
1991 - Umri Miaka 34
1992 - Umri Miaka 33
1993 - Umri Miaka 32
1994 - Umri Miaka 31
1995 - Umri miaka 30
1996 - Umri Miaka 29
1997 - Umri Miaka 28
1998 - Umri Miaka 27
1999 - Umri Miaka 26
2000 - Umri miaka 25
Any way, Juzi nilienda kuwaambia chuo wanirudishie Ada yangu.
Hahahha😂😂😂😂Aisee, kweli miaka inaenda sana. Sasa uzee haupungiki japo binafsi siupendi. Yaani ingekuwa ruhusa yangu 45yrs nitulie hapo, manake zaidi ya hapo utake usitake unaanza kuwa mzee..maniner..
Eti katoto ka 2000 kana 23yrs, kwamba kanaliwa bila chumvi saivi, noma sana.
Oyaaa Hom boySihitaji salamu yako,salamu yako peleka kwenu huko!.
Kwa Taarifa yako
1990 - Umri Miaka 35
1991 - Umri Miaka 34
1992 - Umri Miaka 33
1993 - Umri Miaka 32
1994 - Umri Miaka 31
1995 - Umri miaka 30
1996 - Umri Miaka 29
1997 - Umri Miaka 28
1998 - Umri Miaka 27
1999 - Umri Miaka 26
2000 - Umri miaka 25
Any way, Juzi nilienda kuwaambia chuo wanirudishie Ada yangu.
Unacheka🤣Hahahha😂😂😂😂
Nimeshangaa sana hizo hisabati. Hata sio ngumu kama integral calculus.Mbona umetushindilia mamiaka,
Hiyo hesabu ya wapi?
Tuliozaliwa 91 tuna 32
Mkuu hesabu nilipata A++Nimeshangaa sana hizo hisabati. Hata sio ngumu kama integral calculus.
Miremembe ndo chakula gani?Hee we jamaa umekopi na kupest frrom miremembe
Hadi mimi nikajiona nina 35 mara hiiMbona umetushindilia mamiaka,
Hiyo hesabu ya wapi?
Tuliozaliwa 91 tuna 32
Ndyo lazima miaka iende ili wanaozaliwa leo nao waje wawe vijana😄😄Unacheka🤣
Uzee ni haupingiki, yani nyie vitoto vya 2000 mmekuwa wanawake tayari. Mambo ya ajabu haya.
Sahihi mkuu, tunapeana zamu.Ndyo lazima miaka iende ili wanaozaliwa leo nao waje wawe vijana😄😄
Kwakweli,, chamsingi ni kuweka tu mambo yako vizuri usitengeneze majutoSahihi mkuu, tunapeana zamu.
Hiyo ni hesabu ya Mirembe hospitalHiyo hesabu ya wapi?
Kujuta hakuepukiki as makosa ni sehemu ya ubinadamu na hasa ukiwa kijana, kuna mahali tu utaharibu, fainali ikija ndio Maputo yanaanza.Kwakweli,, chamsingi ni kuweka tu mambo yako vizuri usitengeneze majuto
Basi majuto yasiwe mengi 😄😄Kujuta hakuepukiki as makosa ni sehemu ya ubinadamu na hasa ukiwa kijana, kuna mahali tu utaharibu, fainali ikija ndio Maputo yanaanza.