Endeleeni Kupuyanga mkidhani Umri unawangoja

Endeleeni Kupuyanga mkidhani Umri unawangoja

Sihitaji salamu yako,salamu yako peleka kwenu huko!.



Kwa Taarifa yako


1990 - Umri Miaka 35
1991 - Umri Miaka 34
1992 - Umri Miaka 33
1993 - Umri Miaka 32
1994 - Umri Miaka 31
1995 - Umri miaka 30
1996 - Umri Miaka 29
1997 - Umri Miaka 28
1998 - Umri Miaka 27
1999 - Umri Miaka 26
2000 - Umri miaka 25


Any way, Juzi nilienda kuwaambia chuo wanirudishie Ada yangu.
Mkuu una ugpmvi?
 
Sihitaji salamu yako,salamu yako peleka kwenu huko!.



Kwa Taarifa yako


1990 - Umri Miaka 35
1991 - Umri Miaka 34
1992 - Umri Miaka 33
1993 - Umri Miaka 32
1994 - Umri Miaka 31
1995 - Umri miaka 30
1996 - Umri Miaka 29
1997 - Umri Miaka 28
1998 - Umri Miaka 27
1999 - Umri Miaka 26
2000 - Umri miaka 25


Any way, Juzi nilienda kuwaambia chuo wanirudishie Ada yangu.
Ukweli mchungu huu 🙂🤣🤣
 
Sihitaji salamu yako,salamu yako peleka kwenu huko!.



Kwa Taarifa yako


1990 - Umri Miaka 35
1991 - Umri Miaka 34
1992 - Umri Miaka 33
1993 - Umri Miaka 32
1994 - Umri Miaka 31
1995 - Umri miaka 30
1996 - Umri Miaka 29
1997 - Umri Miaka 28
1998 - Umri Miaka 27
1999 - Umri Miaka 26
2000 - Umri miaka 25


Any way, Juzi nilienda kuwaambia chuo wanirudishie Ada yangu.
Umri ni ma- number tu hayo kaka, wacha watu wale maisha wakiwa bado vijana. Masuala ya kujenga, kuwekeza hayo when your abave 50 na hata hivyo kama una cha kuwekeza kama huna haina haja kupata ugonjwa wa moyo, malizia maisha uondoke zako hapa duniani.

kuondoka ni kuondoka tu uwe maskini ama tajiri utamu & uchungu wa kifo ni ule ule. Ponda maisha !! no one will ask you why you died poor
 
Sihitaji salamu yako,salamu yako peleka kwenu huko!.



Kwa Taarifa yako


1990 - Umri Miaka 35
1991 - Umri Miaka 34
1992 - Umri Miaka 33
1993 - Umri Miaka 32
1994 - Umri Miaka 31
1995 - Umri miaka 30
1996 - Umri Miaka 29
1997 - Umri Miaka 28
1998 - Umri Miaka 27
1999 - Umri Miaka 26
2000 - Umri miaka 25


Any way, Juzi nilienda kuwaambia chuo wanirudishie Ada yangu.


Wanaweza kukubeza au kusema umeandika vibaya, ila uliloandika ni jambo kubwa sana, nalifanyia kazi.

Zaburi 90:12 NEN

"Tufundishe kuzihesabu siku zetu vizuri, ili tujipatie moyo wa hekima"
 
Naona Vijana mliozaliwa miaka ya 1990 hadi 2000 mmekumbushwa kuhusu umri wetu wa miaka 33 hadi 23 mliyonayo mmeanza kumlaumu mtoa mada.

Mbona sisi Wazee tuliozaliwa miaka ya 1960 hatulalamiki kuwa sasa tumetimiza miaka 63 🤪😅😅

Anyway, Huku Afrika tuna msemo wetu kuwa maisha huanza ukiwa na miaka 40

Kwahiyo hakuna haja ya kujilaumu kuwa umechelewa kupata ajira ama mafanikio.

Muda wako wa kufanikiwa utakuwa haujafika.

Binafsi kwa kutambua changamoto hiyo, nimeanza ujenzi wa nyumba kubwa itakayoweza kubeba Familia hata ya watu 27 kwa pamoja.

Kwahiyo hata ikitokea Vijana wangu wameoa ila mambo yao hayajakaa vyema wanaweza kurudi nyumbani kwa Baba yao na kuishi hadi pale watakapoona imetosha.

Mkiyaendea kasi maisha mnaweza jikuta mmetumbukia kwenye mambo yasiyofaa.

Mungu awape Uvumilivu Vijana wetu🙏

Pia hongera mtoa mada kuweza kuwakumbusha Vijana wenzako
 
Nimeshangaa 2× nimefika mda gan, kumbe hesabu haziko sahihi.

Usituzeeshe tafadhariii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Taifa linapitia kipindi kigumu
Sihitaji salamu yako,salamu yako peleka kwenu huko!.



Kwa Taarifa yako


1990 - Umri Miaka 35
1991 - Umri Miaka 34
1992 - Umri Miaka 33
1993 - Umri Miaka 32
1994 - Umri Miaka 31
1995 - Umri miaka 30
1996 - Umri Miaka 29
1997 - Umri Miaka 28
1998 - Umri Miaka 27
1999 - Umri Miaka 26
2000 - Umri miaka 25


Any way, Juzi nilienda kuwaambia chuo wanirudishie Ada yangu.
 
Sihitaji salamu yako,salamu yako peleka kwenu huko!.



Kwa Taarifa yako


1990 - Umri Miaka 35
1991 - Umri Miaka 34
1992 - Umri Miaka 33
1993 - Umri Miaka 32
1994 - Umri Miaka 31
1995 - Umri miaka 30
1996 - Umri Miaka 29
1997 - Umri Miaka 28
1998 - Umri Miaka 27
1999 - Umri Miaka 26
2000 - Umri miaka 25


Any way, Juzi nilienda kuwaambia chuo wanirudishie Ada yangu.
Waseme
 
Back
Top Bottom