Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Makolo wako busy kuijadili Yanga badala ya ku-focus madhaifu ya timu yao ambayo bado inaendelea kujitafuta na haina uhakika wa matokeo mazuri. Maneno ni mengi ila yote msingi wake ni kujifariji wakijiaminisha Yanga sasa basi na kwamba imeshuka kitu ambacho sio kweli.
Wakati wao wako busy kujijadili Yanga, Yanga wao wako busy kurekebisha makosa yao na baada ya muda matokeo yataonekana uwanjani na hii ni kanuni ya kawaida kabisa katika maisha.
Tukumbuke, hata msimu uliopita, Yanga alifungwa na Ihefu huku Yanga wakionekana kutocheza vizuri na hata baadhi ya mechi zingine walikuwa wanapata matokeo kwa taabu, ila hali hiyo haikuwa endelevu na baadae walifanya vizuri na ubingwa walibeba. Moja ya sababu ilikuwa ni kucheza mechi nyingi mfululizo zikiwemo za ndani na zile za kimataifa. Hivyo, leo hii hakuna kitu cha ajabu sana zaidi ya maneno ya ushabiki lakini wajue maneno hayachezi bali ni maandalizi kwa maana ya kujipanga upya.
Angalizo: Kwakuwa Yanga hawajatetereka na wanaendelea kujipanga huku nyie mmekali majungu na umbea, vipigo vya mfululizo vikiendelea, msije tena kuja kusema GSM ananunua marefa au sijui Yanga wana majini , n.k.
Time will tell.
Wakati wao wako busy kujijadili Yanga, Yanga wao wako busy kurekebisha makosa yao na baada ya muda matokeo yataonekana uwanjani na hii ni kanuni ya kawaida kabisa katika maisha.
Tukumbuke, hata msimu uliopita, Yanga alifungwa na Ihefu huku Yanga wakionekana kutocheza vizuri na hata baadhi ya mechi zingine walikuwa wanapata matokeo kwa taabu, ila hali hiyo haikuwa endelevu na baadae walifanya vizuri na ubingwa walibeba. Moja ya sababu ilikuwa ni kucheza mechi nyingi mfululizo zikiwemo za ndani na zile za kimataifa. Hivyo, leo hii hakuna kitu cha ajabu sana zaidi ya maneno ya ushabiki lakini wajue maneno hayachezi bali ni maandalizi kwa maana ya kujipanga upya.
Angalizo: Kwakuwa Yanga hawajatetereka na wanaendelea kujipanga huku nyie mmekali majungu na umbea, vipigo vya mfululizo vikiendelea, msije tena kuja kusema GSM ananunua marefa au sijui Yanga wana majini , n.k.
Time will tell.