Enduring Lies: Je, Tulidanganywa Kuhusu Mauaji ya Kimbari ya Mwaka 1994?

Enduring Lies: Je, Tulidanganywa Kuhusu Mauaji ya Kimbari ya Mwaka 1994?

Strong ladg

Senior Member
Joined
Jul 15, 2021
Posts
170
Reaction score
445
Jana, katika pitapita zangu nikifuatilia yanayoendelea Goma, nikakutana na maoni yenye kutaja kitabu kiitwacho Enduring Lies. Nikavutiwa nacho na nikaamua kukitafuta, bahati nzuri nikakipata.

Kulingana na waandishi wa kitabu hiki, kile tunachoambiwa kuhusu mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 ni tofauti na ukweli wa kilichotokea. Wanadai kuwa propaganda zilitumika kusafisha jina la Paul Kagame, ili dunia iamini kuwa yeye hakuhusika katika mauaji hayo bali ni shujaa aliyeyakomesha na kuijenga Rwanda kutoka matopeni hadi mawinguni.

Sijamaliza kusoma kitabu hiki, lakini baadhi ya madai ambayo nimekutana nayo—ambayo sikuwahi kuyasikia kabla—ni haya yafuatayo (ingawa huenda kuna watu waliokuwa wakiyafahamu, nami nikiwa sijayafahamu):

  1. Mauaji ya kimbari ya 1994 yalikuwa kilele cha matukio yaliyoanza miaka mingi nyuma. RPF na Kagame walijipanga kwa matukio haya kwa muda mrefu kwa kushirikiana na serikali ya Museveni, ilhali jeshi la serikali ya Rwanda lililokuwa likiongozwa na Habyarimana lilikutwa halijajiandaa.
  2. Kagame aliamuru kushambuliwa kwa ndege iliyokuwa imembeba Rais Habyarimana. Askari wa Kagame ndio walioshambulia ndege hiyo na kusababisha kifo cha Habyarimana, si Wahutu wenye msimamo mkali kama inavyodaiwa mara nyingi.
  3. Kagame alichukua uamuzi wa kumuua Rais Habyarimana kwa sababu aliona kuwa hiyo ndiyo njia pekee ya kuingia madarakani, kwani hakukuwa na uwezekano wa kushinda uchaguzi kwa njia ya kidemokrasia.
  4. Kagame alikuwa mtumishi mwaminifu wa mataifa ya Magharibi, ambayo yaliunga mkono harakati zake tangu alipokuwa Uganda. Vilevile, mataifa hayo yalihakikisha kuwa vipengele vya Mkataba wa Amani wa Arusha vilikuwa na faida zaidi kwa RPF, ili kuwawezesha kufanya shughuli zao kwa uhuru mjini Kigali.
  5. Mahakama ya kimataifa iliyoanzishwa kwa ajili ya kushughulikia washukiwa wa mauaji ya kimbari hutupilia mbali ushahidi wowote unaomhusisha Kagame na mauaji hayo. Mahakama hiyo ni mojawapo ya vyombo muhimu vilivyotumika kulisafisha jina lake.
  6. Wandani wa Kagame wanaofahamu jinsi alivyohusika katika mauaji ya kimbari huuawa au hunusurika kuuawa hata wakiwa uhamishoni. Mfano ni Colonel Theoneste Lizinde, aliyeuawa jijini Nairobi, na Kayumba Nyamwasa, ambaye amenusurika kuuawa zaidi ya mara moja akiwa Afrika Kusini. Wote wawili walikuwa na taarifa kuhusu ushiriki wa Kagame katika shambulio la ndege ya Habyarimana. Mwingine ni Patrick Karegeya, aliyeuawa akiwa Afrika Kusini.
Kitabu hiki kilinikumbusha tukio la Desemba 2024, ambapo mwandishi wa vitabu Charles Onana, raia wa Ufaransa mwenye asili ya Cameroon, aliamriwa kulipa faini ya euro 8,400 na mahakama moja nchini Ufaransa baada ya kukutwa na hatia ya kutoa taarifa potofu kuhusu mauaji ya kimbari ya 1994.

Kulingana na Onana, uongo mkubwa zaidi wa karne ya 20 ni kudai kuwa mauaji ya kimbari yalipangwa na kuratibiwa na Wahutu pekee, na kwamba wao ndio wahusika wa pekee katika mauaji hayo.

Charles Onana pia ameandika vitabu mbalimbali kuhusu Rwanda na vita vinavyoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Je unakubalina na madai ya waandishi wa kitabu cha "ENDURING LIES"?.
Asante.
 
Kama mataifa ya magharibi yalihakikisha Kagame anachukua nchi huo ulikuwa mpango mkakati wa kuikamata Goma
Yani hawa jama nahisi Kuna mda Huwa wanaka na kutucheka sana kuwa sisi wafrika ni wajinga
 
Najikumbusha washirika wake wa karibu na aliowahisi ni wabaya wake aliokwisha kuwaua: Fred Rwegima, Hyabarimana, Patrick Kaegeya, Kizito, Assinapol Rwigara, Anne Rwigara. Hakika huyu Mtusimrefu kama rula naye lazima atakufa kwa risasi na mateso makubwa
 
Jana, katika pitapita zangu nikifuatilia yanayoendelea Goma, nikakutana na maoni yenye kutaja kitabu kiitwacho Enduring Lies. Nikavutiwa nacho na nikaamua kukitafuta, bahati nzuri nikakipata.

Kulingana na waandishi wa kitabu hiki, kile tunachoambiwa kuhusu mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 ni tofauti na ukweli wa kilichotokea. Wanadai kuwa propaganda zilitumika kusafisha jina la Paul Kagame, ili dunia iamini kuwa yeye hakuhusika katika mauaji hayo bali ni shujaa aliyeyakomesha na kuijenga Rwanda kutoka matopeni hadi mawinguni.

Sijamaliza kusoma kitabu hiki, lakini baadhi ya madai ambayo nimekutana nayo—ambayo sikuwahi kuyasikia kabla—ni haya yafuatayo (ingawa huenda kuna watu waliokuwa wakiyafahamu, nami nikiwa sijayafahamu):

  1. Mauaji ya kimbari ya 1994 yalikuwa kilele cha matukio yaliyoanza miaka mingi nyuma. RPF na Kagame walijipanga kwa matukio haya kwa muda mrefu kwa kushirikiana na serikali ya Museveni, ilhali jeshi la serikali ya Rwanda lililokuwa likiongozwa na Habyarimana lilikutwa halijajiandaa.
  2. Kagame aliamuru kushambuliwa kwa ndege iliyokuwa imembeba Rais Habyarimana. Askari wa Kagame ndio walioshambulia ndege hiyo na kusababisha kifo cha Habyarimana, si Wahutu wenye msimamo mkali kama inavyodaiwa mara nyingi.
  3. Kagame alichukua uamuzi wa kumuua Rais Habyarimana kwa sababu aliona kuwa hiyo ndiyo njia pekee ya kuingia madarakani, kwani hakukuwa na uwezekano wa kushinda uchaguzi kwa njia ya kidemokrasia.
  4. Kagame alikuwa mtumishi mwaminifu wa mataifa ya Magharibi, ambayo yaliunga mkono harakati zake tangu alipokuwa Uganda. Vilevile, mataifa hayo yalihakikisha kuwa vipengele vya Mkataba wa Amani wa Arusha vilikuwa na faida zaidi kwa RPF, ili kuwawezesha kufanya shughuli zao kwa uhuru mjini Kigali.
  5. Mahakama ya kimataifa iliyoanzishwa kwa ajili ya kushughulikia washukiwa wa mauaji ya kimbari hutupilia mbali ushahidi wowote unaomhusisha Kagame na mauaji hayo. Mahakama hiyo ni mojawapo ya vyombo muhimu vilivyotumika kulisafisha jina lake.
  6. Wandani wa Kagame wanaofahamu jinsi alivyohusika katika mauaji ya kimbari huuawa au hunusurika kuuawa hata wakiwa uhamishoni. Mfano ni Colonel Theoneste Lizinde, aliyeuawa jijini Nairobi, na Kayumba Nyamwasa, ambaye amenusurika kuuawa zaidi ya mara moja akiwa Afrika Kusini. Wote wawili walikuwa na taarifa kuhusu ushiriki wa Kagame katika shambulio la ndege ya Habyarimana. Mwingine ni Patrick Karegeya, aliyeuawa akiwa Afrika Kusini.
Kitabu hiki kilinikumbusha tukio la Desemba 2024, ambapo mwandishi wa vitabu Charles Onana, raia wa Cameroon, aliamriwa kulipa faini ya euro 8,400 na mahakama moja nchini Ufaransa baada ya kukutwa na hatia ya kutoa taarifa potofu kuhusu mauaji ya kimbari ya 1994.

Kulingana na Onana, uongo mkubwa zaidi wa karne ya 20 ni kudai kuwa mauaji ya kimbari yalipangwa na kuratibiwa na Wahutu pekee, na kwamba wao ndio wahusika wa pekee katika mauaji hayo.

Charles Onana pia ameandika vitabu mbalimbali kuhusu Rwanda na vita vinavyoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Haya madai yote yanafahamika siku nyingi.

Na habari ya Rwanda nani kaanzisha mauaji ya kimbari ni ngumu kwa sababu ni habari ya "Unaanzia wapi kupima?". Huyo Kagame kafanya hayo yote yaliyosemwa, lakini na wao Watutsi walishauawa wakakimbia na kuenda kuwa wakimbizi Uganda kwa miaka mingi, na kabla ya hapo wao walikuwa wanawatawala Wahutu kwa kupendelewa na Wabelgiji.

Hizo numbered points zote zinajulikana, isipokuwa namba 5 Kagame na mahakama wote wamejijengea kitu kinaitwa "plausible deniability".

The law is not about what one did or did not do, the law is about what can be proven.
 
Jana, katika pitapita zangu nikifuatilia yanayoendelea Goma, nikakutana na maoni yenye kutaja kitabu kiitwacho Enduring Lies. Nikavutiwa nacho na nikaamua kukitafuta, bahati nzuri nikakipata.

Kulingana na waandishi wa kitabu hiki, kile tunachoambiwa kuhusu mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 ni tofauti na ukweli wa kilichotokea. Wanadai kuwa propaganda zilitumika kusafisha jina la Paul Kagame, ili dunia iamini kuwa yeye hakuhusika katika mauaji hayo bali ni shujaa aliyeyakomesha na kuijenga Rwanda kutoka matopeni hadi mawinguni.

Sijamaliza kusoma kitabu hiki, lakini baadhi ya madai ambayo nimekutana nayo—ambayo sikuwahi kuyasikia kabla—ni haya yafuatayo (ingawa huenda kuna watu waliokuwa wakiyafahamu, nami nikiwa sijayafahamu):

  1. Mauaji ya kimbari ya 1994 yalikuwa kilele cha matukio yaliyoanza miaka mingi nyuma. RPF na Kagame walijipanga kwa matukio haya kwa muda mrefu kwa kushirikiana na serikali ya Museveni, ilhali jeshi la serikali ya Rwanda lililokuwa likiongozwa na Habyarimana lilikutwa halijajiandaa.
  2. Kagame aliamuru kushambuliwa kwa ndege iliyokuwa imembeba Rais Habyarimana. Askari wa Kagame ndio walioshambulia ndege hiyo na kusababisha kifo cha Habyarimana, si Wahutu wenye msimamo mkali kama inavyodaiwa mara nyingi.
  3. Kagame alichukua uamuzi wa kumuua Rais Habyarimana kwa sababu aliona kuwa hiyo ndiyo njia pekee ya kuingia madarakani, kwani hakukuwa na uwezekano wa kushinda uchaguzi kwa njia ya kidemokrasia.
  4. Kagame alikuwa mtumishi mwaminifu wa mataifa ya Magharibi, ambayo yaliunga mkono harakati zake tangu alipokuwa Uganda. Vilevile, mataifa hayo yalihakikisha kuwa vipengele vya Mkataba wa Amani wa Arusha vilikuwa na faida zaidi kwa RPF, ili kuwawezesha kufanya shughuli zao kwa uhuru mjini Kigali.
  5. Mahakama ya kimataifa iliyoanzishwa kwa ajili ya kushughulikia washukiwa wa mauaji ya kimbari hutupilia mbali ushahidi wowote unaomhusisha Kagame na mauaji hayo. Mahakama hiyo ni mojawapo ya vyombo muhimu vilivyotumika kulisafisha jina lake.
  6. Wandani wa Kagame wanaofahamu jinsi alivyohusika katika mauaji ya kimbari huuawa au hunusurika kuuawa hata wakiwa uhamishoni. Mfano ni Colonel Theoneste Lizinde, aliyeuawa jijini Nairobi, na Kayumba Nyamwasa, ambaye amenusurika kuuawa zaidi ya mara moja akiwa Afrika Kusini. Wote wawili walikuwa na taarifa kuhusu ushiriki wa Kagame katika shambulio la ndege ya Habyarimana. Mwingine ni Patrick Karegeya, aliyeuawa akiwa Afrika Kusini.
Kitabu hiki kilinikumbusha tukio la Desemba 2024, ambapo mwandishi wa vitabu Charles Onana, raia wa Cameroon, aliamriwa kulipa faini ya euro 8,400 na mahakama moja nchini Ufaransa baada ya kukutwa na hatia ya kutoa taarifa potofu kuhusu mauaji ya kimbari ya 1994.

Kulingana na Onana, uongo mkubwa zaidi wa karne ya 20 ni kudai kuwa mauaji ya kimbari yalipangwa na kuratibiwa na Wahutu pekee, na kwamba wao ndio wahusika wa pekee katika mauaji hayo.

Charles Onana pia ameandika vitabu mbalimbali kuhusu Rwanda na vita vinavyoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Kuamini kitabu wakati kuna watu unaweza kuongea nao direct ni ukosefu wa akili uliopitiza, at this point kuna kila aina ya propaganda iwe za upande wa PK au wa DRC au wa M23 na hata nyingine from other sources ili mradi kila mmoja na malengo yake. Kwa bahati huku ughaibuni tunakutana nao wote kirahisi na huwa wenge wanafunguka mengi katika ile ya 'personal level' hivyo at this time trying to spin things it's too late. Just imagine kuna watu huwa wanajaribu kupindisha yaliyotokea Auschwitz na concentration camps but for their own political reasons.
PK hakuwa kiongozi bali alishika usukani baada ya kiongozi wao kufariki katika mapambano.
 
Mauaji ya Kimbari ni ya kweli. Mauaji ya uongo ni ya Hitlakuua wayahudi million 6, ule ni urongo kama urongo mwingine.
 
Najikumbusha washirika wake wa karibu na aliowahisi ni wabaya wake aliokwisha kuwaua: Fred Rwegima, Hyabarimana, Patrick Kaegeya, Kizito, Assinapol Rwigara, Anne Rwigara. Hakika huyu Mtusimrefu kama rula naye lazima atakufa kwa risasi na mateso makubwa
Fred aliyekufa wakati PK akiwa Marekani anasoma au ndo tulidanganywa tena😂😂😂??
 
Fred aliyekufa wakati PK akiwa Marekani anasoma au ndo tulidanganywa tena😂😂😂??
Laiti ungejua kwamba PK kuwepo mbali wakati Rwegima anauwawa ilikuwa ni plan nzuri ili PK asionekane amehusika in one way or another
 
Jana, katika pitapita zangu nikifuatilia yanayoendelea Goma, nikakutana na maoni yenye kutaja kitabu kiitwacho Enduring Lies. Nikavutiwa nacho na nikaamua kukitafuta, bahati nzuri nikakipata.

Kulingana na waandishi wa kitabu hiki, kile tunachoambiwa kuhusu mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 ni tofauti na ukweli wa kilichotokea. Wanadai kuwa propaganda zilitumika kusafisha jina la Paul Kagame, ili dunia iamini kuwa yeye hakuhusika katika mauaji hayo bali ni shujaa aliyeyakomesha na kuijenga Rwanda kutoka matopeni hadi mawinguni.

Sijamaliza kusoma kitabu hiki, lakini baadhi ya madai ambayo nimekutana nayo—ambayo sikuwahi kuyasikia kabla—ni haya yafuatayo (ingawa huenda kuna watu waliokuwa wakiyafahamu, nami nikiwa sijayafahamu):

  1. Mauaji ya kimbari ya 1994 yalikuwa kilele cha matukio yaliyoanza miaka mingi nyuma. RPF na Kagame walijipanga kwa matukio haya kwa muda mrefu kwa kushirikiana na serikali ya Museveni, ilhali jeshi la serikali ya Rwanda lililokuwa likiongozwa na Habyarimana lilikutwa halijajiandaa.
  2. Kagame aliamuru kushambuliwa kwa ndege iliyokuwa imembeba Rais Habyarimana. Askari wa Kagame ndio walioshambulia ndege hiyo na kusababisha kifo cha Habyarimana, si Wahutu wenye msimamo mkali kama inavyodaiwa mara nyingi.
  3. Kagame alichukua uamuzi wa kumuua Rais Habyarimana kwa sababu aliona kuwa hiyo ndiyo njia pekee ya kuingia madarakani, kwani hakukuwa na uwezekano wa kushinda uchaguzi kwa njia ya kidemokrasia.
  4. Kagame alikuwa mtumishi mwaminifu wa mataifa ya Magharibi, ambayo yaliunga mkono harakati zake tangu alipokuwa Uganda. Vilevile, mataifa hayo yalihakikisha kuwa vipengele vya Mkataba wa Amani wa Arusha vilikuwa na faida zaidi kwa RPF, ili kuwawezesha kufanya shughuli zao kwa uhuru mjini Kigali.
  5. Mahakama ya kimataifa iliyoanzishwa kwa ajili ya kushughulikia washukiwa wa mauaji ya kimbari hutupilia mbali ushahidi wowote unaomhusisha Kagame na mauaji hayo. Mahakama hiyo ni mojawapo ya vyombo muhimu vilivyotumika kulisafisha jina lake.
  6. Wandani wa Kagame wanaofahamu jinsi alivyohusika katika mauaji ya kimbari huuawa au hunusurika kuuawa hata wakiwa uhamishoni. Mfano ni Colonel Theoneste Lizinde, aliyeuawa jijini Nairobi, na Kayumba Nyamwasa, ambaye amenusurika kuuawa zaidi ya mara moja akiwa Afrika Kusini. Wote wawili walikuwa na taarifa kuhusu ushiriki wa Kagame katika shambulio la ndege ya Habyarimana. Mwingine ni Patrick Karegeya, aliyeuawa akiwa Afrika Kusini.
Kitabu hiki kilinikumbusha tukio la Desemba 2024, ambapo mwandishi wa vitabu Charles Onana, raia wa Ufaransa mwenye asili ya Cameroon, aliamriwa kulipa faini ya euro 8,400 na mahakama moja nchini Ufaransa baada ya kukutwa na hatia ya kutoa taarifa potofu kuhusu mauaji ya kimbari ya 1994.

Kulingana na Onana, uongo mkubwa zaidi wa karne ya 20 ni kudai kuwa mauaji ya kimbari yalipangwa na kuratibiwa na Wahutu pekee, na kwamba wao ndio wahusika wa pekee katika mauaji hayo.

Charles Onana pia ameandika vitabu mbalimbali kuhusu Rwanda na vita vinavyoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Je unakubalina na madai ya waandishi wa kitabu cha "ENDURING LIES"?.
Asante.
Swali kuu kwangu ni hili, Rwanda kulikuwa na rasimali gani muhimu sana mpaka mataifa ya magharibi yajihusishe kuleta machafuko?
 
Jana, katika pitapita zangu nikifuatilia yanayoendelea Goma, nikakutana na maoni yenye kutaja kitabu kiitwacho Enduring Lies. Nikavutiwa nacho na nikaamua kukitafuta, bahati nzuri nikakipata.

Kulingana na waandishi wa kitabu hiki, kile tunachoambiwa kuhusu mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 ni tofauti na ukweli wa kilichotokea. Wanadai kuwa propaganda zilitumika kusafisha jina la Paul Kagame, ili dunia iamini kuwa yeye hakuhusika katika mauaji hayo bali ni shujaa aliyeyakomesha na kuijenga Rwanda kutoka matopeni hadi mawinguni.

Sijamaliza kusoma kitabu hiki, lakini baadhi ya madai ambayo nimekutana nayo—ambayo sikuwahi kuyasikia kabla—ni haya yafuatayo (ingawa huenda kuna watu waliokuwa wakiyafahamu, nami nikiwa sijayafahamu):

  1. Mauaji ya kimbari ya 1994 yalikuwa kilele cha matukio yaliyoanza miaka mingi nyuma. RPF na Kagame walijipanga kwa matukio haya kwa muda mrefu kwa kushirikiana na serikali ya Museveni, ilhali jeshi la serikali ya Rwanda lililokuwa likiongozwa na Habyarimana lilikutwa halijajiandaa.
  2. Kagame aliamuru kushambuliwa kwa ndege iliyokuwa imembeba Rais Habyarimana. Askari wa Kagame ndio walioshambulia ndege hiyo na kusababisha kifo cha Habyarimana, si Wahutu wenye msimamo mkali kama inavyodaiwa mara nyingi.
  3. Kagame alichukua uamuzi wa kumuua Rais Habyarimana kwa sababu aliona kuwa hiyo ndiyo njia pekee ya kuingia madarakani, kwani hakukuwa na uwezekano wa kushinda uchaguzi kwa njia ya kidemokrasia.
  4. Kagame alikuwa mtumishi mwaminifu wa mataifa ya Magharibi, ambayo yaliunga mkono harakati zake tangu alipokuwa Uganda. Vilevile, mataifa hayo yalihakikisha kuwa vipengele vya Mkataba wa Amani wa Arusha vilikuwa na faida zaidi kwa RPF, ili kuwawezesha kufanya shughuli zao kwa uhuru mjini Kigali.
  5. Mahakama ya kimataifa iliyoanzishwa kwa ajili ya kushughulikia washukiwa wa mauaji ya kimbari hutupilia mbali ushahidi wowote unaomhusisha Kagame na mauaji hayo. Mahakama hiyo ni mojawapo ya vyombo muhimu vilivyotumika kulisafisha jina lake.
  6. Wandani wa Kagame wanaofahamu jinsi alivyohusika katika mauaji ya kimbari huuawa au hunusurika kuuawa hata wakiwa uhamishoni. Mfano ni Colonel Theoneste Lizinde, aliyeuawa jijini Nairobi, na Kayumba Nyamwasa, ambaye amenusurika kuuawa zaidi ya mara moja akiwa Afrika Kusini. Wote wawili walikuwa na taarifa kuhusu ushiriki wa Kagame katika shambulio la ndege ya Habyarimana. Mwingine ni Patrick Karegeya, aliyeuawa akiwa Afrika Kusini.
Kitabu hiki kilinikumbusha tukio la Desemba 2024, ambapo mwandishi wa vitabu Charles Onana, raia wa Ufaransa mwenye asili ya Cameroon, aliamriwa kulipa faini ya euro 8,400 na mahakama moja nchini Ufaransa baada ya kukutwa na hatia ya kutoa taarifa potofu kuhusu mauaji ya kimbari ya 1994.

Kulingana na Onana, uongo mkubwa zaidi wa karne ya 20 ni kudai kuwa mauaji ya kimbari yalipangwa na kuratibiwa na Wahutu pekee, na kwamba wao ndio wahusika wa pekee katika mauaji hayo.

Charles Onana pia ameandika vitabu mbalimbali kuhusu Rwanda na vita vinavyoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Je unakubalina na madai ya waandishi wa kitabu cha "ENDURING LIES"?.
Asante.
Sidhani kama madai haya ni ya ukweli, mfano aliwezaje kuidugua ndege ya Habyarimana wakati alikuwa hajaikamata Kigali na Kigali nzima ilikuwa inalindwa na majeshi ya Habyarimana pamoja na Ufaransa? Ikubukwe kuwa ndege ilianguka bustanini karibu na swimming pool nyumbani kwa Habyarimana na mtu wa kwanza kupiga picha za mabaki ya ndege na ya Habyarimana alikuwa mtoto wa kiume wa Habyarimana.
Ingia mtandaoni search habari kuhusu hii ajali utaipata.
 
Sidhani kama madai haya ni ya ukweli, mfano aliwezaje kuidugua ndege ya Habyarimana wakati alikuwa hajaikamata Kigali na Kigali nzima ilikuwa inalindwa na majeshi ya Habyarimana pamoja na Ufaransa? Ikubukwe kuwa ndege ilianguka bustanini karibu na swimming pool nyumbani kwa Habyarimana na mtu wa kwanza kupiga picha za mabaki ya ndege na ya Habyarimana alikuwa mtoto wa kiume wa Habyarimana.
Ingia mtandaoni search habari kuhusu hii ajali utaipata.
Ndege ya Hyabarimana ilidunguliwa na wapiganaji wa RPF kwa amri ya Paul Kagame.

Hizo zingine unazotaka kutafuta kwenye mtandaoni ni story tu za kufurahisha baraza.

Ila nakuthibitishia auaye kwa upanga hufa kwa upanga. Siku za PK zinahesabika, lazima naye anywee kikombe alichowanywesha wenzie akina Hyabarimana, Fred Rwegima, Karegeya, Kizito, Rwigara na qengine wengi
 
Sidhani kama madai haya ni ya ukweli, mfano aliwezaje kuidugua ndege ya Habyarimana wakati alikuwa hajaikamata Kigali na Kigali nzima ilikuwa inalindwa na majeshi ya Habyarimana pamoja na Ufaransa? Ikubukwe kuwa ndege ilianguka bustanini karibu na swimming pool nyumbani kwa Habyarimana na mtu wa kwanza kupiga picha za mabaki ya ndege na ya Habyarimana alikuwa mtoto wa kiume wa Habyarimana.
Ingia mtandaoni search habari kuhusu hii ajali utaipata.
Kulingana na makubaliano ya amani ya Arusha, RPF walikuwa na ofisi pale katikati ya Kigali. Mipango yote ilipangiwa hapo na silaha zilitunzwa hapo. Amri ya kumuua Habyarimana ilitoka kwa PK maana bila kumuua Habyarimana asingeweza kuingia madarakani. Kushinda urais kwa sanduku la kura ilikuwa vigumu sana.Lakini wakubwa wa dunia wanaoamua historia gani ifundishwe na ipi isifundishwe, hawawezi kusema PK anahusika kwenye kifo cha Habyarimana. PK lazima aonekane mtakatifu aliyekwenda kuikomboa nchi. Na hao wakubwa wa dunia ndio wanaomiliki Google..
 
Back
Top Bottom