Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Mkuu Jogi,Tambwe aliwapima Oil kwanza akakuta tayari mshalowa so akaamua awape kimoja cha Afya.Mkuu hawa yanga watakua lini? Mbeleko zinazidi sana, sitaki kuweka reference maana zingine bado ni fresh memento.
Kichuyaaaaaaaaaaaaa!Tambweeeeeeee
Wanachokasirika ni kwanini Tambwe aliwapima oil kabla ya kuwapiga bao.Wanajipa Moyo mara Yanga 0 simba 1 yan utani hawa jamaa wao wamefanya uadui
Tambwe anajua jinsi ya kumwandaa demu kabla hajampiga bao,anapima oil kwanza then anamnawa halafu ndio anampiga bao.Kichuyaaaaaaaaaaaaa!
Wivu wa kike! Manji anahela ya kununua hata Ikulu pale mkitangaza kupauza.. Na Yanga inabebwa kwasababu INABEBEKA. Sio nyinyi Simba mkibembwa mnajilegeza.. jamaa anawaambia mnavyofanya hivyo me naumia jishikilieni, MNANENG'ENEKA... Na BADOH.
Kuna harambee ilikuwa inapita whatsapp ya kutafuta ushindi wa Simba, vipi hazikupatikana za kutosha?Safi sana,Yeye aendelee tu kununua waamuzi huyo MHINDI TAPELI..
Aaa Kichuya zaidi, hahitaji mbwembwe, inaingia yenyewe nywiiiiiiii!Tambwe anajua jinsi ya kumwandaa demu kabla hajampiga bao,anapima oil kwanza then anamnawa halafu ndio anampiga bao.
Teh teh teh hii mipasho sasa ndio fani yenu Wamatopeni fc mnayoweza kuifanya kwa ufanisi mkubwa sana.
Nzuri ni ile ya kupima oil,kunawa then kupiga bao rahaaaaaa kabisa mpaka mtu anajisahau anavunja kitu alichokalia kwa utamu wa hilo bao.Aaa Kichuya zaidi, hahitaji mbwembwe, inaingia yenyewe nywiiiiiiii!
Funguka,harambee ya nini?We kama umetapeliwa Shauri yako.Hatuna ujinga wa kuhonga marefa tungekua nao Kuna haja gani ya kuzunguka whatsApp kupitisha bakuli.Sasa hivi tuna hela si mchezo ndugu..Kuna harambee ilikuwa inapita whatsapp ya kutafuta ushindi wa Simba, vipi hazikupatikana za kutosha?
Tamu ni ile inazamishwa moja kwa moja nywiiii!Nzuri ni ile ya kupima oil,kunawa then kupiga bao rahaaaaaa kabisa mpaka mtu anajisahau anavunja kitu alichokalia kwa utamu wa hilo bao.
Kama mliweza kula rambirambi ya Marehemu Mafisango tena aliekuwa tegemeo lenu ndio mtashindwa kutapeli hili la kutafuta ushindi.Funguka,harambee ya nini?We kama umetapeliwa Shauri yako.Hatuna ujinga wa kuhonga marefa tungekua nao Kuna haja gani ya kuzunguka whatsApp kupitisha bakuli.Sasa hivi tuna hela si mchezo ndugu..
Unapima oil,unanawa kisha unapiga bao mpaka unavunja kitu ulichokalia.Tamu ni ile inazamishwa moja kwa moja nywiiii!
Kitu inakwenda yenyewe kiulainiiii nywiiiiiii!Unapima oil,unanawa kisha unapiga bao mpaka unavunja kitu ulichokalia.
Tambwe akainawa kwanza kiulaiiiiiini kabisa bila shuruti halafu ndio akapiga bao.Kitu inakwenda yenyewe kiulainiiii nywiiiiiii!
Ila mbaya Zaidi mbowe anaelalamikia chama fulani kubebwa, jana anashangilia kubebwa kwa yanga, Simba sasa waache kuzingusha mikono washangilie kivingine.Kama CHAMA kinachomiliki timu hua kinabebwa kwenye Uchaguzi, unategemea Timu inayomilikiwa na Chama-bebwa nayo itaacha Kubebwa??
Ya kiumeni huwa ni nywiiiiiiiiiiii! Halafu unatembea zako.Tambwe akainawa kwanza kiulaiiiiiini kabisa bila shuruti halafu ndio akapiga bao.
Zile pesa za MO mmezinunua?Cha kupewa hakisitiri ma..tako