ndotonView attachment 2323413
••••••••••
NB. Mdau unataja maeneo ya huko kwenu kuwa yanafanana na hapo juu, tatizo hautupii na kapicha kwa kumwaminisha Tomaso.
• Usiseme Marangu, Lushoto, Bukoba, Kyera au sijui wapi huko, please tuwekee na picha wengine tupo serious tukaishi eneo hilo.
Dah nimecheka sana aisee! Yaani hizo ndio tabia zetu kabisa wabongo.Ukienda uko utaanzisha kibanda cha Mpesa, mara uanze kuuza mkaa hapo nje, uende na san lg yako uanze kupiga boda, ufungue kijiwe cha kahawa, ubandike matangazo ya dalali na freemason.. kwisha kamji ka watu umeshakaharibu.
We tubaki manzese hapa hapa.
View attachment 2323413
••••••••••
NB. Mdau unataja maeneo ya huko kwenu kuwa yanafanana na hapo juu, tatizo hautupii na kapicha kwa kumwaminisha Tomaso.
• Usiseme Marangu, Lushoto, Bukoba, Kyera au sijui wapi huko, please tuwekee na picha wengine tupo serious tukaishi eneo hilo.
Huko ni kama Kitulo - Njombe alikokuwa Mama (Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) juzi.View attachment 2323413
••••••••••
NB. Mdau unataja maeneo ya huko kwenu kuwa yanafanana na hapo juu, tatizo hautupii na kapicha kwa kumwaminisha Tomaso.
• Usiseme Marangu, Lushoto, Bukoba, Kyera au sijui wapi huko, please tuwekee na picha wengine tupo serious tukaishi eneo hilo.
Aisee.....Huko ni kama Kitulo - Njombe alikokuwa Mama (Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) juzi.
Naweza kuona picha halisi ya eneo hilo mkuu nione kama binadamu anaishi na anaruhusiwa kuishi hapo?.Huko ni kama Kitulo - Njombe alikokuwa Mama (Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) juzi.
Ni kweli kwenye maeneo ya hifadhi shughuli za kibinadamu haziruhusiwi. Hii ikiwa ni pamoja na eneo la Hifadhi ya Kitulo. Hata hivyo, eneo lote la Kitulo Plateau halipo kwenye eneo la TANAPA. Kuna maeneo ya nje ya hifadhi yana mazingira sawa kwa uoto na yale yaliyomo kwenye hifadhi. Maeneo hayo yana makazi ambayo shughuli za kibinadamu zinaendelea kufanyika. Ndio hayo ninayoyazungumzia mimi. Picha za hayo maeneo nitaziweka hapa jamvini nikijaliwa kurudi tena Kitulo. Ama kwa hakika eneo la Kitulo ni zuri mno.Naweza kuona picha halisi ya eneo hilo mkuu nione kama binadamu anaishi na anaruhusiwa kuishi hapo?.
Maana unaweza kunionyesha picha ya mashamba ya maua alafu pameandikwa RESTRICTED NO HUMANI LIVE!
Sawa sawa tena KialiloNjoo LUSHOTO