Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
Nitarudi mkuušIna maana umebadilisha jina tena[emoji849]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitarudi mkuušIna maana umebadilisha jina tena[emoji849]
Duh ghafla Tena umeshakua mama nyuki.To yeye ni Mimi Mbona unanitag Tena jaman
š¤£nishaghadhibika jumlaš š¤øDuh ghafla Tena umeshakua mama nyuki.
Neno dhambi kwny tittle modes hawakulielewa kabisa.mods wamebadirisha tittle.
Hahah Ila sawa kabisa ndio Muda wa kulamba asali-Samia.š¤£nishaghadhibika jumlaš š¤ø
š¤£š¤£š¤£š¤£š¤Hahah Ila sawa kabisa ndio Muda wa kulamba asali-Samia.
TZ ukiacha gari hivyo unakuta upo juu matofali.
Wajaa lana hawawez haya mambo . Sanasana wanachoweza ni kuibia wananchi tu
Unaweza badili jina toka liniNdiyo,nitarudi after one month š
Kwahiyo huwezi kuishi jirani na kanisa la walokole? Au mambo ya Mungu kwako yanapanda?Mwenzangu na Mimi,Mimi sipendi kelele kabisa yaan
Unaishi kulingana na mazingira...hakuna namnaKwahiyo huwezi kuishi jirani na kanisa la walokole? Au mambo ya Mungu kwako yanapanda?
TukuyuKama sijakosea ni kijiji huko Netherland ila eneo kama hilo kwa bongo labda lushoto
Acha ujinga bana wwEneo kama hilo unaweza kulipata Bukoba (Maeneo ya Tarafa ya Bugabo na kata ya Nyakato)
Pia Wilaya ya Mvomero Tarafa ya Mgeta Hasa Kata ya Nyandila
Mjinga wewe mwenye IQ ndogoAcha ujinga bana ww
Kuna ile location pale kwaya zinapenda sana kufanyia records za sinema, hapo palifaa kuwepo mijengo kama hiyo, ningekwenda kuishi ila full time unakuta mifugo hasa kondooš!Pale karibu na geti sio?
Wanaita kilipunda...ni eneo byuti byuti sana
Hilo eneo naona halijengwi wanaita kilima temboKuna ile location pale kwaya zinapenda sana kufanyia records za sinema, hapo palifaa kuwepo mijengo kama hiyo, ningekwenda kuishi ila full time unakuta mifugo hasa kondooš!
Mkuu bahati mbaya sana sina picha za location za Lushoto ninazo za kawaida sana, so please usilinganishe kabisa, but ni lushoto sehemu gani unataka kusema inakaribia hilo eneo, me nataka nikaishi huko asee!, Kwa malangu kidoogo mfano karibu na kwa marehemu Mengi ila mmepanda miti kama poli, nyumba hazionekani š!.lushoto na kule marangu ni maeneo yanayofanana sana na picha yako mtoa mada