Twinawe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 2,431
- 5,336
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu tupieni basi kapicha ka lushoto sisi kina Thomaso tuwaamini.lushoto na kule marangu ni maeneo yanayofanana sana na picha yako mtoa mada
Ni kama mara yangu ya kwanza kuja ulaya. Yani Sasa hivi napaona pa kawaida tu. Nilisema nikiingia nitagonga Sana wanawake wa kizungu tofauti tofauti Yani yamenikinai kichiz nayaona ya kawaida tu na ya hovyo. Totoz ni bantu tuu maamaee.Tatizo la binadamu ni 1 tu,tumeumbwa na kitu kinaitwa 'kukinai',ukishakaa hapo baada ya muda flani utajionea ni pa kawaida tu.
Watakaokua excited Ni wale wageni wako wanaokuja kusalimia kwako lkn mwenye nyumba unakua huna habari tena.
Hata Kyerwa Ilipojengwa Hospital Ya WilayaEneo kama hilo unaweza kulipata Bukoba (Maeneo ya Tarafa ya Bugabo na kata ya Nyakato)
Pia Wilaya ya Mvomero Tarafa ya Mgeta Hasa Kata ya Nyandila
Arusha pembezoni mwa mlima Meru kuna maeneo tulivu sana
Nahisi we hujawahi kufika Lushoto....greenish hiyo inapatikana Lushoto tu mwaka nzimaHapana mkuu, labda kama unataka kuwadanganya wasiowahi kufika huko.
But angalia vizuri hiyo picha alafu vuta taswira kwa kutafuta eneo kama hilo pale Lushoto!.
Pale karibu na geti sio?Kidogo naweza kukuunga mkono kutokana na eneo hilo hasa pale karibu na chuo cha misitu Olmotonyi, ila ujenzi wa pale umekaa kihunihuni sana.
Wamekataa kwakuwa hawapajui LushotoWatu wamekataa
Hahaha ndo tumeumbwa hivyo mkuu, excitements zinakuaga mwanzoni tu baada ya muda kunakua hakuna jipya tena.Ni kama mara yangu ya kwanza kuja ulaya. Yani Sasa hivi napaona pa kawaida tu. Nilisema nikiingia nitagonga Sana wanawake wa kizungu tofauti tofauti Yani yamenikinai kichiz nayaona ya kawaida tu na ya hovyo. Totoz ni bantu tuu maamaee.
Hili eneo linafanana na kijiji flani Denmark kinaitwa Ebeltoft nathani mabangi utanielewa zaidi...kuna kansitu kadogo kwa upande mmojaNi kama mara yangu ya kwanza kuja ulaya. Yani Sasa hivi napaona pa kawaida tu. Nilisema nikiingia nitagonga Sana wanawake wa kizungu tofauti tofauti Yani yamenikinai kichiz nayaona ya kawaida tu na ya hovyo. Totoz ni bantu tuu maamaee.
Ebu tupieni basi kapicha ka lushoto sisi kina Thomaso tuwaamini.
Unaleta ujuaji kwenye ndoto za watu?Hilo eneo la kawaida sana tena linaonesha lina baridi kali
hakuna miti (ipo kidogo sana) ambayo inapukutisha majani yote wakati wa baridi
Hakuna hata mti wa matunda.... eneo kuuubwa lipo wazi?
Uzuri wake ni nini au ni hiyo milima? nyasi si unaotesha
Labda kama umependa hizo nyumba pamoja na kuwa zimejengwa bondeni/mvua zikiwa nyingi?
Naona kama wameweka concrete sehemu ya chini kuzua maji... ila kiujumla hakuna cha ajabu hapo!!!
Inategemea na nchi, mfano nchi za scandnavia ujenzi wao ni plain design compare to German & French.nje ya mada..
mbona roofing style za ulaya huwa ni pitched roof na hazina complications nyingi tofauti na huku bongo
Hii ni Switzerland kama unaenda Italy