Elissante
JF-Expert Member
- Aug 10, 2022
- 335
- 344
[emoji23][emoji23]Hapo anaishi mzungu.
Akiingia mweusi tegemea wizi (inabidi kujenga ukuta), mabanda ya kuku, ng'ombe, genge za kuuzia mchicha nk......ngozi nyeusi laana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Hapo anaishi mzungu.
Akiingia mweusi tegemea wizi (inabidi kujenga ukuta), mabanda ya kuku, ng'ombe, genge za kuuzia mchicha nk......ngozi nyeusi laana.
Watu wamekataalushoto na kule marangu ni maeneo yanayofanana sana na picha yako mtoa mada
Huko hata kunyanduana unapata zile raha za peponi yaaaniKuna watu wanaishi pazuri
Angalia aina ya majengo ,sio Tanzania ,Watanzania bila vibanda na kurundikana ni nadra,Pili barabar za motaa kwa vijijini ni nadra kua za kiwango icho...
Hii nchi itakuwa ni mojawapo ya ukanda wa Scandinavia
Yeah,pametulia sanaHuko hata kunyanduana unapata zile raha za peponi yaaani
Mazingira safi sana yanavutia kwa kweli mie nisiependa makele na purukushani huko kunamifaa sanaYeah,pametulia sana
Hapo ni Uswis.Kama sijakosea ni kijiji huko Netherland ila eneo kama hilo kwa bongo labda lushoto
nimesema yanafanana sio kwamba ndipo penyewe..Watu wamekataa
Mwenzangu na Mimi,Mimi sipendi kelele kabisa yaanMazingira safi sana yanavutia kwa kweli mie nisiependa makele na purukushani huko kunamifaa sana
Kumbe tunashare common interestMwenzangu na Mimi,Mimi sipendi kelele kabisa yaan
Na kunya hovyohovyo nje barabarani na kwenye iyo milima ya ukijaninakazia hapa
Halafu uwe na mke mzuri pia na vihela vya kumwagilia moyoSehemu nzurii kabisa unakuwa na peace of mind
Nasikiaga eti hata Chato pako hivyoKama sijakosea ni kijiji huko Netherland ila eneo kama hilo kwa bongo labda lushoto
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukienda uko utaanzisha kibanda cha Mpesa, mara uanze kuuza mkaa hapo nje, uende na san lg yako uanze kupiga boda, ufungue kijiwe cha kahawa, ubandike matangazo ya dalali na freemason.. kwisha kamji ka watu umeshakaharibu.
We tubaki manzese hapa hapa.
Switzerland hii mkuu