Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Nafikiri anaongelea zaidi view yake kuliko greenishNahisi we hujawahi kufika Lushoto....greenish hiyo inapatikana Lushoto tu mwaka nzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri anaongelea zaidi view yake kuliko greenishNahisi we hujawahi kufika Lushoto....greenish hiyo inapatikana Lushoto tu mwaka nzima
Wamekataa kwakuwa hawapajui Lushoto
Wakati Lushoto ya hivi ndio imetunza sana tofauti na zamani...nyie huku mkilalamika kiangazi kikali wao huko juu hata jua hawalioni , ni mwendo wa mvua na baridiLushoto ilikuwa Zaman sahivi ni kwa maeneo machache sana tena hadi yatunzwe tena
Kwa views zilizoenda shule Hakuna Tanzania hii ya kufanana na LushotoNafikiri anaongelea zaidi view yake kuliko greenish
Mkuu hujatembea acha shobo.Kwa views zilizoenda shule Hakuna Tanzania hii ya kufanana na Lushoto
🤣🤣🤣yule niliachana nae Kitambo,alisema ana kibamia 🙄 wakati Mimi nataka Mandingo🤔
Mabanda ya kuku,ng'ombe,genge za mchicha ni laana?Hapo anaishi mzungu.
Akiingia mweusi tegemea wizi (inabidi kujenga ukuta), mabanda ya kuku, ng'ombe, genge za kuuzia mchicha nk......ngozi nyeusi laana.
🤣🤣🤣 Na yupo tayari katika Hilo🙌
Sio laana ila tusitamani kuishi maeneo ambayo hatuwezi kuendana nayo.Mabanda ya kuku,ng'ombe,genge za mchicha ni laana?
Wee wacha kabisa ...newborn ni kina @to yeye na Evelyn Salt mie mgegedo pale paleAmesema yeye ni newborn hataki migegedo eti mzabzab
To yeye ni Mimi Mbona unanitag Tena jamanWee wacha kabisa ...newborn ni kina @to yeye na Evelyn Salt mie mgegedo pale pale
Umebadili jina?To yeye ni Mimi Mbona unanitag Tena jaman
Ndiyo,nitarudi after one month 😜Umebadili jina?
Ina maana umebadilisha jina tena[emoji849]To yeye ni Mimi Mbona unanitag Tena jaman