ENEO: Ukubwa wa 6,196 sqm (mita za mraba).
Ambalo limeendelezwa kwa kujengwa ukuta na majengo ya matumizi mbalimbali ambayo yapo katika hatua za kumalizika. umeme umekwisha fikishwa wa “three phase”.
Eneo lipo karibu na shule ya primary na secondary ya St. Flora/Mikongeni, lipo kwenye barabara ya kuelekea kiwanda cha kusindika nyama ya mbuzi cha Tan Choice Soga na Stesheni ya treni ya soga.
Pia lipo umbali wa wastani wa mita 700 toka kwenye eneo la ujenzi wa chuo cha kiislamu. umbali toka barabara ya rami ya Morogoro ni km 6, unaingilia Kibaha Kwa Mathias, unapita bungo kanisa la Efata kwa Mwingira, Chuo Kikuu Huria , Sekondari ya Sulvan Provost (Mikongeni), kisha Sagale.
Malipo: Utaratibu wa malipo ya awamu unapokelewa awamu ya kwanza 50Milioni.
Mawasiliano: 0744 356689
Ambalo limeendelezwa kwa kujengwa ukuta na majengo ya matumizi mbalimbali ambayo yapo katika hatua za kumalizika. umeme umekwisha fikishwa wa “three phase”.
Eneo lipo karibu na shule ya primary na secondary ya St. Flora/Mikongeni, lipo kwenye barabara ya kuelekea kiwanda cha kusindika nyama ya mbuzi cha Tan Choice Soga na Stesheni ya treni ya soga.
Pia lipo umbali wa wastani wa mita 700 toka kwenye eneo la ujenzi wa chuo cha kiislamu. umbali toka barabara ya rami ya Morogoro ni km 6, unaingilia Kibaha Kwa Mathias, unapita bungo kanisa la Efata kwa Mwingira, Chuo Kikuu Huria , Sekondari ya Sulvan Provost (Mikongeni), kisha Sagale.
Malipo: Utaratibu wa malipo ya awamu unapokelewa awamu ya kwanza 50Milioni.
Mawasiliano: 0744 356689
Attachments
-
RAMANI YA SHAMBA.pdf951.7 KB · Views: 12
-
WhatsApp Image 2021-11-22 at 12.09.07 PM.jpeg152.7 KB · Views: 23 -
WhatsApp Image 2021-11-22 at 12.09.08 PM.jpeg104.5 KB · Views: 24 -
WhatsApp Image 2021-11-22 at 12.09.08 PM (2).jpeg138.5 KB · Views: 22 -
WhatsApp Image 2021-11-22 at 12.09.12 PM.jpeg168 KB · Views: 21 -
WhatsApp Image 2021-11-22 at 12.09.14 PM (1).jpeg128.9 KB · Views: 21 -
WhatsApp Image 2021-11-22 at 12.09.14 PM.jpeg128.9 KB · Views: 21