Eneo la 7.7-decare kwenye Mlima Herzl litahamishiwa kwa Wizara ya Ulinzi ya Israeli ili kutoa mahali pa kuwazika wanajeshi wa Israeli waliokufa

Kati ya viongozi wabovu sana kupatikana dunia hii tangu mwaka 2000 ni Bush, Netanyahu, Khamenei, na Putin. Watu hawa wameiharibu sana dunia na kuirudisha katika uhasama wa kivita ambao ulikuwa umeanza kupungua baada ya kuvunjika kwa USSR na kuisha kwa cold war.
 
Kama unaijua katiba ya hamas hebu to screen shot hata phrase moja inayosema Israel ifutwe na sisi tujifunze au ndo hisia za vijiwe vya vigango
 
Kuna vita ambayo wanajeshi hawafi.?! Urusi na Ukraine wamepoteza maelfu ya wanajeshi lakini mapambano yanaendelea.
 
Kuna vita ambayo wanajeshi hawafi.?! Urusi na Ukraine wamepoteza maelfu ya wanajeshi lakini mapambano yanaendelea.
Hahahha hii kauli imetoka wapi tena wakati Netanyahu alisema hamna mwanajeshi atakayekufa😂
 
Mkuu, huwa huelewi nini? Hiyo GAZA haina HAMAS tuu, ina raia,wageni na hata wawekezaji kadhaa. Hamas kajichanganya na anavaa mavazi sawa na hso wote niliowataja. Unahitaji akili kubwa sana kupigana na watu wa aina hiyo. Hii vita yao haijaanza leo na haiishi leo. Alichosema Netanyahu yuko sahihi yaani "kudismantle Hamas military capabilities" nk. Ss hivi Hamas siyo tishio tena kama inavyoenda kuwa kina Hezebullah na Houths. Hao nao wanatumia the same technique kama Hamas.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…