Plot4Sale Eneo la ziwani ekari 20 linauzwa Mwanza Nyanguge

Plot4Sale Eneo la ziwani ekari 20 linauzwa Mwanza Nyanguge

Joined
Jan 29, 2018
Posts
44
Reaction score
10
Ndugu mpendwa,
husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu,
ENEO la ziwani hekari 20 linauzwa MWANZA nyanguge uelekeo ni barabara yakwenda musoma ni km 30 kutoka mwanza mjini hadi site,

SIFA ZA ENEO

1. Eneo ni kubwa na zuri na linafaa kufanya jambo lolote utakalo kama ufugaji, hotel, makazi nk
haliko katika matumizi ya mpango mji hivyo wewe ndiye utakayeomba mpango wako wa matumizi.
2. Pana mabwawa 3 ya ufugaji wa samaki yaliyochimbwa ka greda kila bwawa 1 lina ukubwa wa mita 80 × 40
3. Pana trip 200 za mawe,
4. Pana nyumba ya vyumba 3 kama stoo.
KWAHIYO MCHANGANUO WA VITU NAMNA YA KUUZIWA UTAKUWA HIVI!
1. kila hekari utauziwa kwa mil 3,000,000/= hivyo kwa hekari 20 itakuwa ( 60,000,000/=)

2. Trip 200 za mawe utauziwa kwa
Mil (5,000,000/=)

3. NYUMBA utauziwa kwa
Mil (5,000,000/=)

BEI NA UTARATIBU WA MAKABIDHIANO
Eneo na vitu vilivyomo utauziwa kwa ( mil 70 ) vitu vyote vinauzwa kwa pamoja.
Ghalama za uchimbaji wa mabwawa hutapewa,
UONGOZI WA SERIKALI WA ENEO WA MTAA UTAHUSISHWA NA UTAKABIDHIWA MAHAKAMANI.

SABABU YA KUUZWA ENEO,

sababu kuu ni moja tu,
Kukoswa nguvu kwaajiri ya umaliziaji wa mradi,
Na Ili mradi umalizike kwa kiwango kilichopendekezwa inahitajika
Mil 160,
Ikiwa utakuwa na kiwango hicho na unapenda tuingie ubia unakaribishwa,
Lakini pia kama unahitaji eneo kubwa zaidi ya hapo uliza kama inawezekana utaelezwa.
MABWAWA yana uwezo wa kuchukua samaki 96,000 alfu.

Mhusika/mmiliki,
0629 444400
Karibuni sana.
PICHA zaidi unaweza kuona,
a424fb76ae47b1cd58839b69ae52f460.jpg
225f6c388e072e485173adcfe5b745f8.jpg
669dec7a39b6bad5309691dbdd262895.jpg
 
Ndugu mpendwa,<br />husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu,<br />ENEO la ziwani hekari 20 linauzwa MWANZA nyanguge uelekeo ni barabara yakwenda musoma ni km 30 kutoka mwanza mjini hadi site,<br /><br />SIFA ZA ENEO<br /><br />1. Eneo ni kubwa na zuri na linafaa kufanya jambo lolote utakalo kama ufugaji, hotel, makazi nk<br />haliko katika matumizi ya mpango mji hivyo wewe ndiye utakayeomba mpango wako wa matumizi.<br />2. Pana mabwawa 3 ya ufugaji wa samaki yaliyochimbwa ka greda kila bwawa 1 lina ukubwa wa mita 80 × 40<br />3. Pana trip 200 za mawe,<br />4. Pana nyumba ya vyumba 3 kama stoo.<br />KWAHIYO MCHANGANUO WA VITU NAMNA YA KUUZIWA UTAKUWA HIVI!<br />1. kila hekari utauziwa kwa mil 3,000,000/= hivyo kwa hekari 20 itakuwa ( 60,000,000/=)<br /><br />2. Trip 200 za mawe utauziwa kwa<br />Mil (5,000,000/=)<br /><br />3. NYUMBA utauziwa kwa<br />Mil (5,000,000/=)<br /><br />BEI NA UTARATIBU WA MAKABIDHIANO<br />Eneo na vitu vilivyomo utauziwa kwa ( mil 70 ) vitu vyote vinauzwa kwa pamoja.<br />Ghalama za uchimbaji wa mabwawa hutapewa,<br />UONGOZI WA SERIKALI WA ENEO WA MTAA UTAHUSISHWA NA UTAKABIDHIWA MAHAKAMANI.<br /><br />SABABU YA KUUZWA ENEO,<br /><br />sababu kuu ni moja tu,<br />Kukoswa nguvu kwaajiri ya umaliziaji wa mradi,<br />Na Ili mradi umalizike kwa kiwango kilichopendekezwa inahitajika<br />Mil 160,<br />Ikiwa utakuwa na kiwango hicho na unapenda tuingie ubia unakaribishwa,<br />Lakini pia kama unahitaji eneo kubwa zaidi ya hapo uliza kama inawezekana utaelezwa.<br />MABWAWA yana uwezo wa kuchukua samaki 96,000 alfu.<br /><br />Mhusika/mmiliki,<br />0629 444400<br />Karibuni sana.<br />PICHA zaidi unaweza kuona,<br />
a424fb76ae47b1cd58839b69ae52f460.jpg
225f6c388e072e485173adcfe5b745f8.jpg
669dec7a39b6bad5309691dbdd262895.jpg


Mhusika/mmiliki
0629 444400
Karibuni
wahi mapema.
 
Ndugu mpendwa,
husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu,
ENEO la ziwani hekari 20 linauzwa MWANZA nyanguge uelekeo ni barabara yakwenda musoma ni km 30 kutoka mwanza mjini hadi site,

SIFA ZA ENEO.
1. Eneo ni kubwa na zuri na linafaa kufanya jambo lolote utakalo kama ufugaji, hotel, makazi nk
haliko katika matumizi ya mpango mji hivyo wewe ndiye utakayeomba mpango wako wa matumizi.
2. Pana mabwawa 3 ya ufugaji wa samaki yaliyochimbwa kwa greda kila bwawa 1 lina ukubwa wa mita 80 × 40
3. Pana trip 200 za mawe,
4. Pana nyumba ya vyumba 3 kama stoo.
KWAHIYO MCHANGANUO WA VITU NAMNA YA KUUZIWA UTAKUWA HIVI!
1. kila hekari utauziwa kwa mil 3,000,000/= hivyo kwa hekari 20 itakuwa ( 60,000,000/=)
2. Trip 200 za mawe utauziwa kwa Mil (5,000,000/=)
3. NYUMBA utauziwa kwa Mil (5,000,000/=)

( BEI NA UTARATIBU WA MAKABIDHIANO )
Eneo na vitu vilivyomo utauziwa kwa ( mil 70 ) vitu vyote vinauzwa kwa pamoja.
Ghalama za uchimbaji wa mabwawa hutapewa,
UONGOZI WA SERIKALI WA ENEO WA MTAA UTAHUSISHWA NA UTAKABIDHIWA MAHAKAMANI.

SABABU YA KUUZWA ENEO,
ni Kukoswa nguvu kwaajiri ya umaliziaji wa mradi,
Na Ili mradi umalizike kwa kiwango kilichopendekezwa inahitajika
Mil 160.
Ikiwa unauwezo wa kiwango hicho cha mil 160 na unapenda tuingie ubia unakaribishwa,
Lakini pia kama unahitaji eneo kubwa zaidi ya hizi 20 uliza kama inawezekana utaelezwa.
MABWAWA yana uwezo wa kuchukua samaki 96,000 alfu.

Mhusika/mmiliki
0629 444400
Karibuni sana.

PICHA zaidi unaweza kuona,<br />
a424fb76ae47b1cd58839b69ae52f460.jpg
225f6c388e072e485173adcfe5b745f8.jpg
669dec7a39b6bad5309691dbdd262895.jpg


Mhusika/mmiliki
0629 444400
Karibuni wakati ni sasa.
 
Ndugu mpendwa,
husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu,
ENEO la ziwani hekari 20 linauzwa MWANZA nyanguge uelekeo ni barabara yakwenda musoma ni km 30 kutoka mwanza mjini hadi site,

SIFA ZA ENEO

1. Eneo ni kubwa na zuri na linafaa kufanya jambo lolote utakalo kama ufugaji, hotel, makazi nk
haliko katika matumizi ya mpango mji hivyo wewe ndiye utakayeomba mpango wako wa matumizi.
2. Pana mabwawa 3 ya ufugaji wa samaki yaliyochimbwa ka greda kila bwawa 1 lina ukubwa wa mita 80 × 40
3. Pana trip 200 za mawe,
4. Pana nyumba ya vyumba 3 kama stoo.
KWAHIYO MCHANGANUO WA VITU NAMNA YA KUUZIWA UTAKUWA HIVI!
1. kila hekari utauziwa kwa mil 3,000,000/= hivyo kwa hekari 20 itakuwa ( 60,000,000/=)

2. Trip 200 za mawe utauziwa kwa
Mil (5,000,000/=)

3. NYUMBA utauziwa kwa
Mil (5,000,000/=)

BEI NA UTARATIBU WA MAKABIDHIANO
Eneo na vitu vilivyomo utauziwa kwa ( mil 70 ) vitu vyote vinauzwa kwa pamoja.
Ghalama za uchimbaji wa mabwawa hutapewa,
UONGOZI WA SERIKALI WA ENEO WA MTAA UTAHUSISHWA NA UTAKABIDHIWA MAHAKAMANI.

SABABU YA KUUZWA ENEO,

sababu kuu ni moja tu,
Kukoswa nguvu kwaajiri ya umaliziaji wa mradi,
Na Ili mradi umalizike kwa kiwango kilichopendekezwa inahitajika
Mil 160,
Ikiwa utakuwa na kiwango hicho na unapenda tuingie ubia unakaribishwa,
Lakini pia kama unahitaji eneo kubwa zaidi ya hapo uliza kama inawezekana utaelezwa.
MABWAWA yana uwezo wa kuchukua samaki 96,000 alfu.

Mhusika/mmiliki,
0629 444400
Karibuni sana.
PICHA zaidi unaweza kuona,
a424fb76ae47b1cd58839b69ae52f460.jpg
225f6c388e072e485173adcfe5b745f8.jpg
669dec7a39b6bad5309691dbdd262895.jpg
nitakupigia nije kupaona leo hii
 
Eneo limekaa poa sana na bei ni nzuri sana,Eneo ni la Makazi/biashara? Vipi NEMC wamebariki mita zao 60?
Mita 60 ziko nje,
Eneo unaweza kufanya jambo lolote utaomba wewe mwenyewe matumizi maana eneo haliko kwenye matumizi ya mpango mji.
Shukrani.
 
Ndugu mpendwa,
husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu,
ENEO la ziwani hekari 20 linauzwa MWANZA nyanguge uelekeo ni barabara yakwenda musoma ni km 30 kutoka mwanza mjini hadi site,

SIFA ZA ENEO
1. Eneo ni kubwa na zuri na linafaa kufanya jambo lolote utakalo kama ufugaji, hotel, makazi nk
Eneo haliko katika matumizi ya mpango mji hivyo wewe ndiye utakayeomba matumizi.
2. Pana mabwawa 3 ya ufugaji wa samaki yaliyochimbwa kwa greda kila bwawa 1 lina ukubwa wa mita 80 × 40
3. Pana trip 200 za mawe,
4. Pana nyumba ya vyumba 3 kama stoo.
KWAHIYO MCHANGANUO WA VITU NAMNA YA KUUZIWA UTAKUWA HIVI!
1. kila hekari utauziwa kwa mil 3,000,000/= hivyo kwa hekari 20 itakuwa ( 60,000,000/=)
2. Trip 200 za mawe utauziwa kwa Mil (5,000,000/=)
3. NYUMBA utauziwa kwa Mil (5,000,000/=)
( BEI NA UTARATIBU WA MAKABIDHIANO )
Eneo na vitu vilivyomo utauziwa kwa ( mil 70 ) vitu vyote vinauzwa kwa pamoja.
Ghalama za uchimbaji wa mabwawa hutapewa,
UONGOZI WA SERIKALI WA ENEO WA MTAA UTAHUSISHWA NA UTAKABIDHIWA MAHAKAMANI.


SABABU YA KUUZWA ENEO,
ni Kukoswa nguvu kwaajiri ya umaliziaji wa mradi,
Na Ili mradi umalizike kwa kiwango kilichopendekezwa inahitajika Mil 160.
Ikiwa unauwezo wa kiwango hicho cha mil 160 na unapenda tuingie ubia unakaribishwa,
Lakini pia kama unahitaji eneo kubwa zaidi ya hizi 20 uliza kama inawezekana utaelezwa.
MABWAWA yana uwezo wa kuchukua samaki 96,000 alfu.

Mhusika/mmiliki
0629 444400
Karibuni sana.

PICHA zaidi unaweza kuona,&lt;br /&gt;
a424fb76ae47b1cd58839b69ae52f460.jpg
225f6c388e072e485173adcfe5b745f8.jpg
669dec7a39b6bad5309691dbdd262895.jpg
<br /><br />Mhusika/mmiliki<br />0629 444400<br />Karibuni wakati ni sasa.
 
Back
Top Bottom