Plot4Sale Eneo la ziwani ekari 20 linauzwa Mwanza Nyanguge

Plot4Sale Eneo la ziwani ekari 20 linauzwa Mwanza Nyanguge

Nyie jamaa ni matapeli nadhani.Humu JF wa kwanza kutangaza kuuza hilo eneo alisema mil. 60,mwingine akasema mil 90 wewe unasema tena mil 170.

Kuna kitu hakiko sawa hapa.
Nadhani ukitaka kufauru mtihani wowote unatakiwa kutulia!
Narejea kwenye point yako sasa
Unasema uliona mwingine kapost mil 60 mwingine 90 mwingine 170
Je! Ukubwa ni uleuleee ama ni tofauti
Kama ukubwa unatofautiana! Basi hoja haina mashiko

Karibu sana mkuu.
 
Nadhani ukitaka kufauru mtihani wowote unatakiwa kutulia!
Narejea kwenye point yako sasa
Unasema uliona mwingine kapost mil 60 mwingine 90 mwingine 170
Je! Ukubwa ni uleuleee ama ni tofauti
Kama ukubwa unatofautiana! Basi hoja haina mashiko

Karibu sana mkuu.
Kwenye kiswahili hakuna neno KUFAURU,so kama ni mtihani umeshafeli tayari.

Ile ID yako nyingine humu jf ya sirajj johnn umeacha kuitumia siku hizi?

Acheni janja janja na hela za wanaume.
 
ENEO LA ZIWANI HEKARI 30 LINAUZWA MWANZA NYANGUGE.

Ndugu mpendwa
husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu
ENEO la ziwani hekari 30 linauzwa MWANZA nyanguge uelekeo ni barabara yakwenda musoma ni km 30 kutoka mwanza mjini hadi site,

SIFA ZA ENEO

1. Eneo ni kubwa na zuri na linafaa kufanya jambo lolote utakalo kama ufugaji, hotel, makazi nk
haliko katika matumizi ya mpango mji hivyo wewe ndiye utakayeomba matumizi.
2. Pana mabwawa 3 ya ufugaji wa samaki yaliyochimbwa kwa greda kila bwawa 1 lina ukubwa wa mita 80 × 40
3. Pana trip 200 za mawe,
4. Pana nyumba ya vyumba 3 kama stoo

BEI NA UTARATIBU WA MAKABIDHIANO

Eneo na vitu vilivyomo utauziwa kwa ( MIL 170 ) vitu vyote vinauzwa kwa pamoja.
Ukipenda eneo nusu yake unaweza kuongea

UONGOZI WA SERIKALI WA ENEO WA MTAA UTAHUSISHWA NA UTAKABIDHIWA MAHAKAMANI.

SABABU YA KUUZWA ENEO,

sababu kuu ni moja tu, Kukoswa nguvu kwaajiri ya umaliziaji wa mradi, Na Ili mradi umalizike kwa kiwango kilichopendekezwa inahitajika Mil 170, Ikiwa utakuwa na kiwango hicho na unapenda uingie ubia unakaribishwa,
Karibu tuweke makubaliano,
Lakini pia kama unahitaji eneo kubwa zaidi ya hapo unaweza uliza kama inawezekana utaelezwa
MABWAWA yana uwezo wa kuchukua samaki 96,000 alfu.

MAWASILIANO:
0767120280
Karibuni sana.

PICHA zaidi unaweza kuona,<br />
a424fb76ae47b1cd58839b69ae52f460.jpg
225f6c388e072e485173adcfe5b745f8.jpg
669dec7a39b6bad5309691dbdd262895.jpg
 
Kwenye kiswahili hakuna neno KUFAURU,so kama ni mtihani umeshafeli tayari.

Ile ID yako nyingine humu jf ya SIRAJJ JOHNN umeacha kuitumia siku hizi?

Acheni janja janja na hela za wanaume.
Mimi ndiye mmiliki hivyo usipate shida kama umepandishiwa nipigie nikupunguzie,

Piga moja wapo
0767 120280
0786 120280
0655 120280
0629 444400 WhatsApp.
 
Back
Top Bottom