Naona,ila walikosea kidogo kwenye vipimosisi tunaangalia jua tunajua misimu ya kilimo,tunajua heka ni maguu 70 utatubabaisha nini na elimu yako hiyo,sisi tulisoma kwa vitendo zaidi mguu kwa mguu shambani.
Hatua za miguu Mita ni vitu viwili tofautiMkuu fanya hivi
Kila hatua ni mita 1
Miguu 70mx70m=4900sqm
250m x 120m =30000sqm
30000sqm sasa igawe kwa 4900sqm ambayo ni sawa na ekari moja
30000sqm÷49000sqm = 6.122222
Sasa kumbe kwenye hizo mita hapo tuna ekari 6 ✅✅✅✅✅ hesabu ni nzuri sana huu ugonjwa wa taifa wengi wana mbwela hapo juu tu mi naamini niko sahihi mkuu sibahatishi.
Basi chukulia mita kama mita achana na hatua za miguu zitamisleading.Hatua za miguu Mita ni vitu viwili tofauti
Lazima mmoja adhurumike tu, nashauri ukanunue measuring tape ni shs 10,000 tu uwe na kipimo cha uhakika, au tumia simu yako kama ni ya android au windows kuna app inapima urefu humoEndapo kipimo cha heka kikiwa 70*70 (hatua za miguu)
Mimi nadhani asiwe mvivu anunue tape measure ya Mita Mia 100, apime urefu na upande, azidishe alafu atafute hizo ekari hata Kwa kipimo hicho hicho cha 70x70, atapata jubuMajibu yote ni ya uongo.
Hizo hatua ulizopiga hatukujui wewe ni mrefu aje, na hatua zako ni ndefu aje. Hizo hatua ulizopiga wewe akija kupima mwengine anaweza kupata vipimo tofauti.
Pili kipimo cha heka sio mita 70 x mita 70, bali mita 64 kwa 64. Hivyo swali lako bado bichi. Kwa sie wataalamu wa hesabu tutasema swali limekosewa, hivyo tupewe free marks.
Rudi upime tena kwa vipimo vya mita.
Kama eneo Lina changamoto ya upana na Kona Kona atafute MTU mwenye GPS dakika chache Tu amepata majibuLazima mmoja adhurumike tu, nashauri ukanunue measuring tape ni shs 10,000 tu uwe na kipimo cha uhakika, au tumia simu yako kama ni ya android au windows kuna app inapima urefu humo
Hivi toka lini ekari moja ikawa na 4,900 square metres yaani 70m kwa 70m?Mkuu fanya hivi
Kila hatua ni mita 1
Miguu 70mx70m=4900sqm
250m x 120m =30000sqm
30000sqm sasa igawe kwa 4900sqm ambayo ni sawa na ekari moja
30000sqm÷49000sqm = 6.122222
Sasa kumbe kwenye hizo mita hapo tuna ekari 6 ✅✅✅✅✅ hesabu ni nzuri sana huu ugonjwa wa taifa wengi wana mbwela hapo juu tu mi naamini niko sahihi mkuu sibahatishi.
Hesabu zako ndiyo sahihi, ni ekari 6.1.Asante sana mkuu nilihangaika sana na hesabu nikapata 6 acres ngoja nisubiri hesabu zaidi
Tuambie ekari moja huwa ina sqm ngapi mkuu? Tuambie mkuu kwa 70mx70m =4900sqm. Na 64mx64m=4096sqm.Hivi toka lini ekari moja ikawa na 4,900 square metres yaani 70m kwa 70m?
Anaweza kuipata kwa simu yake kama ni smartKama eneo Lina changamoto ya upana na Kona Kona atafute MTU mwenye GPS dakika chache Tu amepata majibu
Acre mbili na robo..... am here just for the violenceHabari Jf. Naomba msaada wa kimahesabu ili nipate data kamili.
Endapo kipimo cha heka kikiwa 70*70 (hatua za miguu)
Je eneo lenye hatua 250 kwa 120 litatoa ekari ngapi.
Karibuni
hili la hatua moja = mita moja ni la kubahatisha sana......huyo mtu inabidi awe mrefu kweli kweli, km ni kambilikimo tu hilo haliwezekaniMkuu fanya hivi
Kila hatua ni mita 1
Miguu 70mx70m=4900sqm
250m x 120m =30000sqm
30000sqm sasa igawe kwa 4900sqm ambayo ni sawa na ekari moja
30000sqm÷49000sqm = 6.122222
Sasa kumbe kwenye hizo mita hapo tuna ekari 6 ✅✅✅✅✅ hesabu ni nzuri sana huu ugonjwa wa taifa wengi wana mbwela hapo juu tu mi naamini niko sahihi mkuu sibahatishi.
Hizo ni acre ama hectares?Acre mbili na robo..... am here just for the violence
safi kabisa, nilikuwa sijaiona hii komenti ndo maana nami nimeongea kitu kinachofanana na hiki......kupima kwa hatua ni bahatisho la kienyeji sanaVipimo vya miguu hutegemea na uwezo wa kutanua msamba kwa mtu.... Msamba wa mtoto na mtu mzima tofauti... Msamba wa mrefu na mfupi tofauti.....
Anyway kama eneo haliuzwi kwa sqm ni sawa kupima kwa misamba..... Ila kwenye ujenzi/kilimo utahitaji vipimo vya metric kujua una eneo kiasi gani ili ufahamu mahitaji na matokeo ya uwekezaji wako.
Weekend njema.
Mimi mwenyewe sijui nimetiririka tuHizo ni acre ama hectares?