Kigamboni kuna Wapemba wengi hapo na wanaume wenye akili timamu wavaao suruali njiwa kwa makusud kujifanya watoto wadogoi, je hili eneo lipo mbali na misikiti? Kama Yes, basi tuwasiliane.Nauza eneo langu, lipo Kigamboni Mwasonga heka mbili
BEi: 15 million
Halijapimwa, lina document za mauziano za serikali ya mtaa
Linafaa kwa kukata viwanja, kilimo, ufugaji, makazi n.k
Hyo barabara hapo inaelekea Kimbiji ambayo imeanza kupigwa lami.
karibu PM tuzungumze.
View attachment 3092580
Huna hela kivipi mzee? Ukitegemea nn kwaniHii ya kukata ndio ilikuwa plan yangu...sasa naona hela sina
Napm nikupe namba ya real estate agent ili ufanye biashara chapLeta wateja mzee
Pengine weww nyani unakesha ukiomba kuondokana na Vipilipili yako kichwani uwe kama "wapemba"Kigamboni kuna Wapemba wengi hapo na wanaume wenye akili timamu wavaao suruali njiwa kwa makusud kujifanya watoto wadogoi, je hili eneo lipo mbali na misikiti? Kama Yes, basi tuwasiliane.
Dah kweli sio poa. Uza mkuu tupate mtaji tweende Zambia walahiHela ya kusukuma life ndio changamoto...
Lakini naendelea kupambana nikipata ajira huko psrs ninakopambana...siuzi
Dah life sometimes linakaza sana....Dah kweli sio poa. Uza mkuu tupate mtaji tweende Zambia walahi
Na mm naliuza la kwangu mwasonga mtaa wa tulibu mambo yasiwe mengi
Uza tembea... watu wengi nafuu wameenda kuzipatia nje ya mazingira waliyoyazoeaDah life sometimes linakaza sana....
Hela sa hv imenipiga chenga mpk sielewi...
Zambia pale lazma nikipata hela ya kutosha niwekeze pale
So ukiuza unahonga psrs au isogeze siku mpaka upate kazi?Sure mkuu lakini mim plan ya sasa ni kuingia gov kwanza...
Kuna umbali gani kutoka chuo cha kilimo?Chuo cha kilimo