Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anhaa hapo mbona unauza chap tu.. ukikosa msaada kwa manyanza tuwasiliane keshoNi nyuma ya hicho chuo cha wakorea...kuna sehem kuna mabanda ya nguruwe
Tunataka mrejesho kama hajauza tumtafutie madalali au tukalikate vipande watu hatuna hela sahizNilim PM jana usiku na ujumbe naona kausoma
Hajanijibu labda jumatatu lakini kwa Jamaa niliyemuunganisha naye hawezi kukosa helaTunataka mrejesho kama hajauza tumtafutie madalali au tukalikate vipande watu hatuna hela sahiz
Oya man! Mwansonga ni mbali sana na kibada?Dah kweli sio poa. Uza mkuu tupate mtaji tweende Zambia walahi
Na mm naliuza la kwangu mwasonga mtaa wa tulivu mambo yasiwe mengi
Kwahiyo kutoka ferry jumla ni 1900?Mbali mana gari pale nauli ni 1200
Hili ndo watu wengi hawalijui kuhusu kule. Mana itazaliwa ruti moja tu toka kigamboni mpaka kule nauli hata ikiwa 1000 sio kesi mana yake ni 1200 upo City centerLami ikikamilika pale unateleza tu nauli itakiwa 600 au 500
Basi ni pazuri sana kununua Kiwanja kwa sasa maana naamini ndani ya miaka miatano viwanja vita panda bei, ni kama kule vikunai kama unapajuaIla sababu miundo mbinu bado haijakaa sawa. Kule kuna senta kubwa tu. Mana mwasonga yenyew ni senta kubwa kuliko kibada. Ile barabara ina eneo kubwa sana la viwanda
Naam kumbe unapahamau! Mimi niliisha kwenye zile ghorofa za NSSF ukiacha zile hostels! Mwansonga nitakuja niende nikapatalii kwanza ila kigamboni ya sasa nimebadilika sana tofauti na zamaniVikunai viwanja vilipanda muda mrefu sana mm kwetu pale mgeninani. Vikunai ya muda sana ile.. watu waliununua kule plan ya miaka 10 mbele ndo wapo leo. Kuna jamaa yangu alifosi kipande cha milion 1 na laki 2 mwaka 2018. Mwasonga ukitia milion 3 ukaiacha kule itakufaa sana. Shida kubwa ya kule watu wanamiliki maeneo makubwa sana na hawayaendelezi, so maende sio ya kasi
Hii ni Mara ya pili kusikia una itaja Zambia, vipi Kuna furaha gani huko??Dah kweli sio poa. Uza mkuu tupate mtaji tweende Zambia walahi
Na mm naliuza la kwangu mwasonga mtaa wa tulivu mambo yasiwe mengi
Wezi watupuNauza eneo langu, lipo Kigamboni Mwasonga heka mbili
BEi: 15 million
Halijapimwa, lina document za mauziano za serikali ya mtaa
Linafaa kwa kukata viwanja, kilimo, ufugaji, makazi n.k
Hyo barabara hapo inaelekea Kimbiji ambayo imeanza kupigwa lami.
karibu PM tuzungumze.
View attachment 3092580
Vigogo ndio wanamaeneo makubwa..Vikunai viwanja vilipanda muda mrefu sana mm kwetu pale mgeninani. Vikunai ya muda sana ile.. watu waliununua kule plan ya miaka 10 mbele ndo wapo leo. Kuna jamaa yangu alifosi kipande cha milion 1 na laki 2 mwaka 2018. Mwasonga ukitia milion 3 ukaiacha kule itakufaa sana. Shida kubwa ya kule watu wanamiliki maeneo makubwa sana na hawayaendelezi, so maende sio ya kasi
Una I'd nzuri lakini una mindset ya kichawi na umasikini 😠😠😠Wezi watupu
Una mtaji kias gan mzee?Hii ni Mara ya pili kusikia una itaja Zambia, vipi Kuna furaha gani huko??
Ni kweli Kigamboni baadhi ya maeneo yamelala sana kama kule Vikunai kuna mapori aisee lakini kuna zile kota za NSSF ndio huwa zinaleta uhaiMwasonga watu wanaomiliki maeneo makubwa hadi leo wapo. So wamesababisha maendeleo yake ni slow kwelikweli