Ochoa Real Estate
Member
- Sep 11, 2024
- 33
- 46
Eneo linauzwa lipo Tegeta "A" Goba mpakani mtaa wa Mlimani City
Dakika 2 tuu kutoka barabara kuu ya Mtaa ambayo itawekwa lami hivi karibuni.
Kutoka site mpaka Goba Center ni mwendo wa dakika zisizo zidi 15 kwa gari/pikipiki.
Kiwanja kipo mjini haswaa.
Kiwanja kina size ya mita 10 X 10 yaani SQM 100.
Kiwanja kinatosha kujenga nyumba ya vyumba viwili, Seble, jiko na choo na sehemu ikabaki.
Kiwanja kimezungukwa na huduma zote muhimu, maji na umeme, shule na hospital pia zipo karibu sana.
Daladala mpaka mbezi mwisho ni 600 tuu zipo mpaka saa 4 usiku. Bajaji ni 1500 tu.
Barabara ya gari mpaka kwenye kiwanja. Hii inawafaa sana wale wasiotaka kukaa mbali na mji.
Njoo kaa sehemu nzuri kwa gharama nafuu kabisa.
Ni milioni 8 tuu inatosha kuchukua kiwanja hiki...
☎️ +255 699 255 530
Piga simu njoo ulipie viwanja hivi maranyingi havikaagi sana.
Dakika 2 tuu kutoka barabara kuu ya Mtaa ambayo itawekwa lami hivi karibuni.
Kutoka site mpaka Goba Center ni mwendo wa dakika zisizo zidi 15 kwa gari/pikipiki.
Kiwanja kipo mjini haswaa.
Kiwanja kina size ya mita 10 X 10 yaani SQM 100.
Kiwanja kinatosha kujenga nyumba ya vyumba viwili, Seble, jiko na choo na sehemu ikabaki.
Kiwanja kimezungukwa na huduma zote muhimu, maji na umeme, shule na hospital pia zipo karibu sana.
Daladala mpaka mbezi mwisho ni 600 tuu zipo mpaka saa 4 usiku. Bajaji ni 1500 tu.
Barabara ya gari mpaka kwenye kiwanja. Hii inawafaa sana wale wasiotaka kukaa mbali na mji.
Njoo kaa sehemu nzuri kwa gharama nafuu kabisa.
Ni milioni 8 tuu inatosha kuchukua kiwanja hiki...
☎️ +255 699 255 530
Piga simu njoo ulipie viwanja hivi maranyingi havikaagi sana.