Kuna watu watasema karogwa.Meneja wa TanRoads Mkoa wa Ruvuma mhandisi Ngaile amefariki ghafla baada ya kudondoka ghafla wakati akiwa kwenye mazoezi ya mbio za hisani zilizoandaliwa Mkoani humo.
---
Songea. Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Mkoa wa Ruvuma, Mhandisi Mlima Ngaile amefariki dunia leo asubuhi baada ya kudondoka wakati akishiriki mbio zilizoandaliwa na Wiloles Foundation Marathon.
Mhandisi Ngaile baada ya kudondoka inaelezwa akiishiwa pumzi akiwa eneo la Matalawe Manispaa ya Songea na kupelekwa Hospitali ya Rufaa ya Songea (Homso) kwa matibabu, lakini alifariki dunia.
Mkuu wa Wilaya ya Songea, Wilman Ndile amesema leo Ijumaa Januari 12, 2024 kuwa daktari amethibitisha kutokea kwa kifo hicho na mwili wa meneja huyo umehifadhiwa hospitalini hapo kusubiri taratibu za mazishi kuendelea kwa kushirikiana na Tanroads makao makuu.
Akisimulia jinsi walivyoshiriki mbio hizo, mkuu huyo wa wilaya (DC), amesema leo asubuhi kulikuwa na mbio za hisani za kuchangia fedha kwa ajili ya kununua vifaa vya kuokoa maisha ya watoto wachanga katika Hospitali ya Rufaa ya Songea.
Amesema meneja huyo alikimbia mbio za kilomita tano na katika kundi lake alikuwepo yeye (DC), Katibu Tawala Mkoa na Mganga Mkuu wa mkoa huo.
“Tulikuwa tunakimbia kwa mwendo wa kawaida, ila tulipofika kilima cha Bombambili tulishangaa akipanda kwa kasi sana na sio kawaida, kwani huwa tunakimbia kila mwisho wa mwezi na tukifika hapo huwa tunatembea.
"Kabda alipata shida kwenye moyo na alipofika Matarawe aliishiwa pumzi na mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Msigwa alipiga simu kuita gari la wagonjwa na walifanikiwa kumkimbuza hospitalini, lakini kwa bahati mbaya alifariki dunia akiwa katika jengo la dharura katika Hospitali ya Homso na mwili wake umehifadhiwa hapo," amesema DC Ndile.
Amesema tayari uongozi wa mkoa umewasiliana na Tanroads Makao Makuu na taratibu zinaendelea na mazishi zinaendelea.
Mkuu huyo wa mkoa ametoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki wa marehemu wakiwemo watumishi wenzake na amewataka waendele kuwa watulivu na kumuombea marehemu.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa Songea, Dk Majura Magafu amesema taarifa zaidi ya tukio hilo atatoa baada ya kuwasiliana na daktari aliyekuwa akimuhudumia, kwani wakati tukio linatokea alikuwa Uwanja wa Majimaji kwenye mbio hizo.
My Take
Prof.Janabi aliwahi Kuonya Watu kushiriki jogging bila kupima Afya kwani ni hatari kwa Afya.
Hizi marathon siku hizi watu wanakurupuka tuAlikuwa mtu wa mazoezi na hizo marathon au ndio kakurupuka kukimbia bila uzoefu?
Apumzike kwa amani
Kuna matukio pia mtu anadondoka akiwa amesimama na kufariki.Meneja wa TanRoads Mkoa wa Ruvuma mhandisi Ngaile amefariki ghafla baada ya kudondoka ghafla wakati akiwa kwenye mazoezi ya mbio za hisani zilizoandaliwa Mkoani humo.
---
Songea. Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Mkoa wa Ruvuma, Mhandisi Mlima Ngaile amefariki dunia leo asubuhi baada ya kudondoka wakati akishiriki mbio zilizoandaliwa na Wiloles Foundation Marathon.
Mhandisi Ngaile baada ya kudondoka inaelezwa akiishiwa pumzi akiwa eneo la Matalawe Manispaa ya Songea na kupelekwa Hospitali ya Rufaa ya Songea (Homso) kwa matibabu, lakini alifariki dunia.
Mkuu wa Wilaya ya Songea, Wilman Ndile amesema leo Ijumaa Januari 12, 2024 kuwa daktari amethibitisha kutokea kwa kifo hicho na mwili wa meneja huyo umehifadhiwa hospitalini hapo kusubiri taratibu za mazishi kuendelea kwa kushirikiana na Tanroads makao makuu.
Akisimulia jinsi walivyoshiriki mbio hizo, mkuu huyo wa wilaya (DC), amesema leo asubuhi kulikuwa na mbio za hisani za kuchangia fedha kwa ajili ya kununua vifaa vya kuokoa maisha ya watoto wachanga katika Hospitali ya Rufaa ya Songea.
Amesema meneja huyo alikimbia mbio za kilomita tano na katika kundi lake alikuwepo yeye (DC), Katibu Tawala Mkoa na Mganga Mkuu wa mkoa huo.
“Tulikuwa tunakimbia kwa mwendo wa kawaida, ila tulipofika kilima cha Bombambili tulishangaa akipanda kwa kasi sana na sio kawaida, kwani huwa tunakimbia kila mwisho wa mwezi na tukifika hapo huwa tunatembea.
"Kabda alipata shida kwenye moyo na alipofika Matarawe aliishiwa pumzi na mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Msigwa alipiga simu kuita gari la wagonjwa na walifanikiwa kumkimbuza hospitalini, lakini kwa bahati mbaya alifariki dunia akiwa katika jengo la dharura katika Hospitali ya Homso na mwili wake umehifadhiwa hapo," amesema DC Ndile.
Amesema tayari uongozi wa mkoa umewasiliana na Tanroads Makao Makuu na taratibu zinaendelea na mazishi zinaendelea.
Mkuu huyo wa mkoa ametoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki wa marehemu wakiwemo watumishi wenzake na amewataka waendele kuwa watulivu na kumuombea marehemu.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa Songea, Dk Majura Magafu amesema taarifa zaidi ya tukio hilo atatoa baada ya kuwasiliana na daktari aliyekuwa akimuhudumia, kwani wakati tukio linatokea alikuwa Uwanja wa Majimaji kwenye mbio hizo.
My Take
Prof.Janabi aliwahi Kuonya Watu kushiriki jogging bila kupima Afya kwani ni hatari kwa Afya.
Jaribu siku moja ukimbie 21km bila mazoezi au 10km tu. Nakuhakikishia hufiki 3km hutaanguka kwa heart attack ila utasimama mwenyewe kwa uchovu tu.Hizi marathon siku hizi watu wanakurupuka tu
Ova
Wengine wanapitia usingizini.Kuna matukio pia mtu anadondoka akiwa amesimama na kufariki.
Mzee mm nko physic [emoji1]Jaribu siku moja ukimbie 21km bila mazoezi au 10km tu. Nakuhakikishia hufiki 3km hutaanguka kwa heart attack ila utasimama mwenyewe kwa uchovu tu.
Ninachotaka kukwambia heart attack inapata hata mtu yuko usingizini au kakaa ofisini sio lazima ukimbie.
Kwa mwaka watu zaidi ya 100,000 wanashirikia marathon hapa Tz mmesikia wangapi wamedondoka na kufa? Je huku mtaani kwa mwaka wanadondoka wangapi na kufa?
Tuacheni na mbio zetu nyinyi kunyweni bia tu kila mtu ashinde mechi zake.
#TukutaneKili
Mpira bball nimeacha maanake sasa hivi nikitegua ankle inachukua muda mrefu sana kukaa sawa. Acha nifukuze upepo.Mzee mm nko physic [emoji1]
Ndomana bia inashuka tu
Kukimbia kdg,pushups,pull ups
Tosha sahv
Soka siku moja moja linapigwa kama kawaida
Ova
Binaadamu tuache maringo, tuache kuonea watu wengine kisa unacheo.
Tuwatendee mama walio chini kwani maisha haya ni mafupi hakuna atakaye ishi milele.
Mpira bball nimeacha maanake sasa hivi nikitegua ankle inachukua muda mrefu sana kukaa sawa. Acha nifukuze upepo.