TANZIA eng. Felix Mlima Ngoako, Meneja wa Tanroads Ruvuma afariki dunia akishiriki mbio za hisani

Mazoezi yakiwemo ya jogging yanahitaji mhusika awe na afya njema ya moyo, jogging huongeza mapigo ya moyo hivyo kama mhusika ana shida ya moyo anaweza kupata shambulio la moyo ghafla.

Usikurupuke kuanza mazoezi hasa yanayoendana na cardiovascular fitness bila kuwa na uelewa juu ya afya ya moyo wako.
 
Kuna watu watasema karogwa.

RIP Meneja
 
What CPR means?



cardiopulmonary resuscitation

CPR stands for cardiopulmonary resuscitation. It can help save a life during cardiac arrest, when the heart stops beating or beats too ineffectively to circulate blood to the brain and other vital organs.


sijui kama waliokuwepo kwenye tukio walijaribu hii kabla ya kuita gari ya wagonjwa
 
sasa iwekwe sheria, kila mshiriki wa marathon apimwe afya kabla ya kuruhusiwa kukimbia, kuwe na wataalam wa afya wataotoa elimu za tahadhari na huduma ya kwanza kwa washiriki kabla mbio haijaanza... sasa DC anasema mahali pa kupanda taratibu ndo engineer akaongeza spid ili amalize kisima, yaan badala ya kupanda na namba moja akapanda na namba 5... hapo lazma alipata heart attack akaanguka na kuchelewa kupata huduma ya kwanza ikawa ngumu ku reverse.
 
.....RiP Meneja....mambo ni mengi ila pumzika kwa amani
 
Kuna matukio pia mtu anadondoka akiwa amesimama na kufariki.
 
Hizi marathon siku hizi watu wanakurupuka tu

Ova
Jaribu siku moja ukimbie 21km bila mazoezi au 10km tu. Nakuhakikishia hufiki 3km hutaanguka kwa heart attack ila utasimama mwenyewe kwa uchovu tu.
Ninachotaka kukwambia heart attack inapata hata mtu yuko usingizini au kakaa ofisini sio lazima ukimbie.
Kwa mwaka watu zaidi ya 100,000 wanashirikia marathon hapa Tz mmesikia wangapi wamedondoka na kufa? Je huku mtaani kwa mwaka wanadondoka wangapi na kufa?
Tuacheni na mbio zetu nyinyi kunyweni bia tu kila mtu ashinde mechi zake.
#TukutaneKili
 
Mzee mm nko physic [emoji1]
Ndomana bia inashuka tu
Kukimbia kdg,pushups,pull ups
Tosha sahv
Soka siku moja moja linapigwa kama kawaida

Ova
 
Mzee mm nko physic [emoji1]
Ndomana bia inashuka tu
Kukimbia kdg,pushups,pull ups
Tosha sahv
Soka siku moja moja linapigwa kama kawaida

Ova
Mpira bball nimeacha maanake sasa hivi nikitegua ankle inachukua muda mrefu sana kukaa sawa. Acha nifukuze upepo.
 
Binaadamu tuache maringo, tuache kuonea watu wengine kisa unacheo.
Tuwatendee mama walio chini kwani maisha haya ni mafupi hakuna atakaye ishi milele.
 
Binaadamu tuache maringo, tuache kuonea watu wengine kisa unacheo.
Tuwatendee mama walio chini kwani maisha haya ni mafupi hakuna atakaye ishi milele.

Una jambo,fafanua mkuu
 
Mpira bball nimeacha maanake sasa hivi nikitegua ankle inachukua muda mrefu sana kukaa sawa. Acha nifukuze upepo.
Kuna mtaalamu mmoja alisema jogging ni useless exercise, kama sijamnukuu vibaya inaharibu au inavuruga kazi za misuli muhimu.....ni metabolic interference ya hovyo kabisa katika mwili. Nafikiri njia sahihi ni kufanya mazoezi ya kutembea tu au kunyanyua vitu vizito kiasi kwa ajili ya misuli.​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…