TANZIA eng. Felix Mlima Ngoako, Meneja wa Tanroads Ruvuma afariki dunia akishiriki mbio za hisani

TANZIA eng. Felix Mlima Ngoako, Meneja wa Tanroads Ruvuma afariki dunia akishiriki mbio za hisani

Kuna mtaalamu mmoja alisema jogging ni useless exercise, kama sijamnukuu vibaya inaharibu au inavuruga kazi za misuli muhimu.....ni metabolic interference ya hovyo kabisa katika mwili. Nafikiri njia sahihi ni kufanya mazoezi ya kutembea tu au kunyanyua vitu vizito kiasi kwa ajili ya misuli.​
Tungeshakufa siku nyingi. Unajua kuna watu wanatembea faster kuliko average human being a anavyo jog?
 
Back
Top Bottom