ENG : HERSI achoma pesa za wanachama yanga , sema tutaongea akifeli

ENG : HERSI achoma pesa za wanachama yanga , sema tutaongea akifeli

Unachanganya lugha kila uki comment ila matumizi sahihi ya punctuation na grammar yanakushinda.

"Anyway", Simba ilikuwa mbovu na haina mchezaji wa kuingia kikosi cha kwanza cha Deportivo de Utopolo na Chama ana speed ya konokono ila leo Utopolo wote vyupi vimeloana na mkipanga first 11 yenu Chama hakosi.
 
Ulishawahi kuendesha klabu hata cha pombe? Hakuna jambo gumu kwenye mpira mguu kama kupata faida, na wala asikudanganye mtu kuwa kwenye mpira kufika hatua fulani ya mashindano ndio inayoleta faida bali ni kujitahidi kwenye kutengeneza vyanzo vingi vya mapato kupitia wadhamini n.k
Chukua tu mfano wa Al Ahly je unajua thamani ya kikosi chao? Je walivyochukua kombe la klabu bingwa je ela waliopata inaendana na ela waliotumia kwenye kikosi chao?
 
Ulishawahi kuendesha klabu hata cha pombe? Hakuna jambo gumu kwenye mpira mguu kama kupata faida, na wala asikudanganye mtu kuwa kwenye mpira kufika hatua fulani ya mashindano ndio inayoleta faida bali ni kujitahidi kwenye kutengeneza vyanzo vingi vya mapato kupitia wadhamini n.k
Chukua tu mfano wa Al Ahly je unajua thamani ya kikosi chao? Je walivyochukua kombe la klabu bingwa je ela waliopata inaendana na ela waliotumia kwenye kikosi chao?
Kufanya vizuri kwenye michuano kunaongeza vitu, hamasa ya mashabiki kununua vitu vyenye nembo ya club, hamasa ga mashabiki kuja uwanjani, kuvutia makampuni makubwa kufanya kazi na wewe etc.. Hivyo vyote vinaenda sambamba.

Kwa klabu kama ya yanga kufika nusu fainali inawasaidia sana kukata gap, sio sawa na al ahly sababu wao bill yao ya mshahara si mchezo.
 
Kufanya vizuri kwenye michuano kunaongeza vitu, hamasa ya mashabiki kununua vitu vyenye nembo ya club, hamasa ga mashabiki kuja uwanjani, kuvutia makampuni makubwa kufanya kazi na wewe etc.. Hivyo vyote vinaenda sambamba.

Kwa klabu kama ya yanga kufika nusu fainali inawasaidia sana kukata gap, sio sawa na al ahly sababu wao bill yao ya mshahara si mchezo.

Ulichoongea wewe inaangukia na niliposema kuhusu kubuni vyanzo vingine vya mapato. Na hivyo vyanzo vya mapato haitegemei Yanga inafika hatua ipi bali ni ubunifu tu. Msimu wa 2022/2023 Yanga ilifika hatua ya fainali ya CAF Confederation cup lakini haikuweza kuchochea mashabiki kuwa na mwamko na klabu yao matokeo yake viwanjani mashabiki hawajazi viwanja mara wanaingia bure sembuse kununua vitu vyenye nembo? Simba kuna ule msimu walikuwa wa moto hadi wanaenda kuchukua wachezaji wa nje ya bara la Africa kama wakina Fraga na hakukuwa na hoja ya kuwaza hasara na ni wazi vilabu vyetu vyanzo vyao vya mapato vinajulikana ni kupitia haki ya matangazo+ gate collection na wadhamini.

Wenzetu wanafanya biashara ya mpira kupitia ubunifu na sio kupitia mafanikio, pekee. PSG anatumia pesa nyingi na champions league hajabeba na hata akibeba bado haiwezi kuwa na thamani sawasawa na gharama walizotumia.
 
Kufanya vizuri kwenye michuano kunaongeza vitu, hamasa ya mashabiki kununua vitu vyenye nembo ya club, hamasa ga mashabiki kuja uwanjani, kuvutia makampuni makubwa kufanya kazi na wewe etc.. Hivyo vyote vinaenda sambamba.

Kwa klabu kama ya yanga kufika nusu fainali inawasaidia sana kukata gap, sio sawa na al ahly sababu wao bill yao ya mshahara si mchezo.
Ili utambue kuwa ubunifu ndio unaoleta pesa na wala sio hilo taji, nakukumbusha hili tukio.
Msimu wa 2022/2023 Yanga walipoingia hatua ya makundi kombe la shirikisho waliamua kuachana na kuweka visit Tanzania kifuani na kuingia mkataba wa kipesa na kampuni ya Haier. Ikumbukwe kuwa Yanga hakuwa na record nzuri kwenye michuano ya CAF lakini wameamua kubuni jambo, wamefanya ushawishi na imewalipa. Hii ndio inaitwa ubunifu ila kama hakuna ubunifu ukategemea ela za mashindano ndio iendeshe timu unafeli. Kombe la Vodacom lilikuwa na thamani ya milioni 80 huku kuendesha timu ni zaidi ya milioni 80.
 
Unachanganya lugha kila uki comment ila matumizi sahihi ya punctuation na grammar yanakushinda.

"Anyway", Simba ilikuwa mbovu na haina mchezaji wa kuingia kikosi cha kwanza cha Deportivo de Utopolo na Chama ana speed ya konokono ila leo Utopolo wote vyupi vimeloana na mkipanga first 11 yenu Chama hakosi.
Umeamua kutukana na kukashfu wenzako tu ila sidhani kama Yanga wanania ya kumsajili chama. Yule akiondoka hapo Simba anaenda Namungo au KMC. Keshachoka, mnamkuza kipindi cha usajili ili awapige Simba pesa wakati huu wa usajili. Chama keshachoka bro.
 
huyu eng : Hersi na kupoteza pesa za team. tufanye auditing
 
Back
Top Bottom