Wataanza kusema CAF inadhaminiwa na GSM.Kwamba CAF wanatubeba[emoji23][emoji23]
Hakuna Shirikisho la vilabu Afrika kuna umoja wa vilabu,acheni kumpachika vyeo ambavyo havipo huyo kuwadi na dalali wa GSM.Rais wa Young Africans SC na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vilabu Afrika
Unawivu sana kisa limetajwa kombe lako pendwa unalogambania la looser aka Shirikisho hahahahaHakuna Shirikisho la vilabu Afrika kuna umoja wa vilabu,acheni kumpachika vyeo ambavyo havipo huyo kuwadi na dalali wa GSM.
Sawa Chawa wa MhandisiUnawivu sana kisa limetajwa kombe lako pendwa unalogambania la looser aka Shirikisho hahahaha
Kama wale Wazee wa Jezi ya Mayele 😀Wazee wa simba wataitisha press tena.
Kwa sababu mnaeneza uongoMbna una hasira mkuu