Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulihitaji abakie kuwa Raisi Wa Kitaa??Amebakiza kua Rais wa Caf tu.
Hata simba SC inadhaminiwa na GSM, kwevile timu zote zinazofungwa na yanga sc hudhaniwa na GSMWataanza kusema CAF inadhaminiwa na GSM.
Watasema bahasha zimetembea.Rais wa Young Africans SC na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vilabu Afrika Eng. Hersi Said ameshinda Tuzo ya mwanamichezo mwenye mchango kwenye maendeleo ya mpira wa miguu barani Afrika.
Shamrashamra za kutunuku tuzo hizi za Nigeria-France Sports Awards, zilifanyika juzi jijini Paris, Ufaransa na Tuzo hiyo ya Rais Hersi ilipokelewa na Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa na Mwakilishi wa Kudumu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Mhe.Ali Jabir Mwadini.
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko
NB: Je Ina maana kina mangungu wanafanya Nini ...Hadi hawatambuliki??[emoji32]View attachment 3134141
Alikuwa anashindana na nani?, ili ushinde tuzo inabidi ushindanishwe. Tupe orodha ya washindani wake na majina ya waliowahi kushinda tuzo hiyo kabla yake. Vinginevyo, mmeamua kujitunukuRais wa Young Africans SC na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vilabu Afrika Eng. Hersi Said ameshinda Tuzo ya mwanamichezo mwenye mchango kwenye maendeleo ya mpira wa miguu barani Afrika.
Shamrashamra za kutunuku tuzo hizi za Nigeria-France Sports Awards, zilifanyika juzi jijini Paris, Ufaransa na Tuzo hiyo ya Rais Hersi ilipokelewa na Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa na Mwakilishi wa Kudumu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Mhe.Ali Jabir Mwadini.
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko
NB: Je Ina maana kina mangungu wanafanya Nini ...Hadi hawatambuliki??[emoji32]View attachment 3134141
Kwani Ufaransa ni nani kwenye soka la Afrika?Hakimi ni Nan soka la Africa
Je hiyo tuzo unajua inatolewa na nani na kwa madhumuni ganiAlikuwa anashindana na nani?, ili ushinde tuzo inabidi ushindanishwe. Tupe orodha ya washindani wake na majina ya waliowahi kushinda tuzo hiyo kabla yake. Vinginevyo, mmeamua kujitunuku
YapKwaajili ya tuzo[emoji23]
Watakuja watu waseme ni bahasha kimataifa.Rais wa Young Africans SC na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vilabu Afrika Eng. Hersi Said ameshinda Tuzo ya mwanamichezo mwenye mchango kwenye maendeleo ya mpira wa miguu barani Afrika.
Shamrashamra za kutunuku tuzo hizi za Nigeria-France Sports Awards, zilifanyika juzi jijini Paris, Ufaransa na Tuzo hiyo ya Rais Hersi ilipokelewa na Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa na Mwakilishi wa Kudumu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Mhe.Ali Jabir Mwadini.
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko
NB: Je Ina maana kina mangungu wanafanya Nini ...Hadi hawatambuliki??[emoji32]View attachment 3134141