Eng Hersi ashinda tuzo ya mwanamichezo mwenye mchango zaidi Africa

Anawabeba Ma Eng wenzie jamaa yupo sawa sana atafika mbali huko CAF maana mfumo wa FIFA sasa hivi wanapendelea viongozi wa vilabu ndio wawe kwenye nafasi za juu kwenye kuendeleza soka la Dunia kama Wenger na watu wengine waliopo huko..
Sahihi kabisa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…