Eng Hersi ashinda tuzo ya mwanamichezo mwenye mchango zaidi Africa

Watasema bahasha zimetembea.
 
Alikuwa anashindana na nani?, ili ushinde tuzo inabidi ushindanishwe. Tupe orodha ya washindani wake na majina ya waliowahi kushinda tuzo hiyo kabla yake. Vinginevyo, mmeamua kujitunuku
 
Alikuwa anashindana na nani?, ili ushinde tuzo inabidi ushindanishwe. Tupe orodha ya washindani wake na majina ya waliowahi kushinda tuzo hiyo kabla yake. Vinginevyo, mmeamua kujitunuku
Je hiyo tuzo unajua inatolewa na nani na kwa madhumuni gani
 
Tuzo siku hizi watu wana nunua hata burna boy ana tuzo ila tunajua kazipataje.
 
Watakuja watu waseme ni bahasha kimataifa.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…