comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
“Haji Manara kwasasa ni Mwanachama hai wa Yanga, tunaangalia majukumu mapya ya kumpatia klabuni. Yanga inaye Afisa habari (Alikamwe) ambaye ndiye anaisemea Klabu” Injinia Hersi
Kwa mnavyomjua zungu lazima ata react vibaya, maana alijua akitoka kifungoni atarudi nafasi yake, ila kakuta Alikamwe kashatengeneza ufalme wake, na alivyo na bifu na Alikamwe patachimbika 😅😅😅
Mzee akubali tuu muda wake umeisha, sitoshangaa mzee WA kupanic akiingia msituni na mzee magoma
Kwa mnavyomjua zungu lazima ata react vibaya, maana alijua akitoka kifungoni atarudi nafasi yake, ila kakuta Alikamwe kashatengeneza ufalme wake, na alivyo na bifu na Alikamwe patachimbika 😅😅😅
Mzee akubali tuu muda wake umeisha, sitoshangaa mzee WA kupanic akiingia msituni na mzee magoma