Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kwakua umbea anauweza akapige kazi na mange......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
“Haji Manara kwasasa ni Mwanachama hai wa Yanga, tunaangalia majukumu mapya ya kumpatia klabuni. Yanga inaye Afisa habari (Alikamwe) ambaye ndiye anaisemea Klabu” Injinia Hersi
Kwa mnavyomjua zungu lazima ata react vibaya, maana alijua akitoka kifungoni atarudi nafasi yake, ila kakuta Alikamwe kashatengeneza ufalme wake, na alivyo na bifu na Alikamwe patachimbika 😅😅😅
Mzee akubali tuu muda wake umeisha, sitoshangaa mzee WA kupanic akiingia msituni na mzee magoma
Namshauri Manara asikubali huu udhalilishaji...
Ile nafasi ya usemaji ni yake..
Namshauri aungane na mzee Magoma wauwashe moto...
Teh teh 😃 😃 yaani ajiunge na waasi...Mzee akubali tuu muda wake umeisha, sitoshangaa mzee WA kupanic akiingia msituni na mzee magoma
🤣🤣🤣Majukumu gani mengine ambayo hapo Yanga bado hayana nafasi?
Au upishi?
Lazima aingie msituniManara alivo na gubu, sijui atakuja vipi 😃
Itakua kawa rangi ya karotiNahisi saa hiiajitakua kafura kawa wa njano kabisa kwa hasira 😂
Duh! Mimi kuongelea Mustakabali wa timu yangu ya yanga nimeshakua mange?? Jiandae matusi yanakujaKwakua umbea anauweza akapige kazi na mange......
Unajifikiria nini mumy,ukuje huku fastaSubiri bado naendelea kujifikiria😉