Eng. Hersi: Haji Manara sio Msemaji wa Yanga, tunaangalia majukumu mapya ya kumpa

Eng. Hersi: Haji Manara sio Msemaji wa Yanga, tunaangalia majukumu mapya ya kumpa

“Haji Manara kwasasa ni Mwanachama hai wa Yanga, tunaangalia majukumu mapya ya kumpatia klabuni. Yanga inaye Afisa habari (Alikamwe) ambaye ndiye anaisemea Klabu” Injinia Hersi

Kwa mnavyomjua zungu lazima ata react vibaya, maana alijua akitoka kifungoni atarudi nafasi yake, ila kakuta Alikamwe kashatengeneza ufalme wake, na alivyo na bifu na Alikamwe patachimbika 😅😅😅

Mzee akubali tuu muda wake umeisha, sitoshangaa mzee WA kupanic akiingia msituni na mzee magoma
Namshauri Manara asikubali huu udhalilishaji...

Ile nafasi ya usemaji ni yake..

Namshauri aungane na mzee Magoma wauwashe moto...
 
Haji ni mtu wa visasi na ana roho ya chuki sana,yani mpaka leo ana chuki na Mo,kutwa haishi kumpiga vijembe kama Mama wa Kizaramu aliyefiwa Mume,

Akaisemee Yanga kwenye page yake ya Insta,

Kwisha habari yake Zungu pori.
 
Back
Top Bottom