Eng. Hersi: Haji Manara sio Msemaji wa Yanga, tunaangalia majukumu mapya ya kumpa

Eng. Hersi: Haji Manara sio Msemaji wa Yanga, tunaangalia majukumu mapya ya kumpa

Kwasisi watoto wa Kota za mikocheni ,hili linamuhamasisha bwana Manara kuingia msituni na gaidi Magoma ili kuendelea kupambana na serikali ya Yanga hivyo ni suala la muda kumuona Haji akiwa porini anapambana na majeshi ya serikali 😃😃😃
🤣 kwa lugha nyepesi kwamb afanye uasi sio ?
 
Back
Top Bottom