Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
๐๐๐๐kwani ww unataka mnyakyusa?Mchaga?๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐kwani ww unataka mnyakyusa?Mchaga?๐
Ahahahaah si nimesikia wameachana etiiiKivumbiiii na Haji anakuwaga mwezi mchanga yule, sijui km atamnonino zay ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Namtaka mhaya๐๐๐๐๐kwani ww unataka mnyakyusa?
Ahaaaaaa๐ฌ๐ฌNamtaka mhaya๐
Dada wa taifa mama bhokenzo hajathibitisha bado ๐คฃ๐คฃ๐คฃAhahahaah si nimesikia wameachana etiii
Naona manara system imeanza kumuweka pembeni aina ya usemaji wake imekua haiwavutii tena watu, tatizo lake ni Ego kuamini yeye ni bora kuliko taasisi, baada ya kumaliza adhabu maneno aliyoongea ya press yake ilikua ni ya kumshusha kamwe na kujitukuza yeyeNilicheka sana siku ile zile clip
Nilikuta page moja huko insta kina Dida wamempigia simu wanamuuliza nasikia mmeachana akawa ana waambia sio kweli..ila kwa ninavyomjua angewachambaa ila alikua anajibu kwa upole aisee yani hana cha kusema nilete ushahidi kama kawaida yake..so watu wakaconclude kuna ka kitu kapo kanatokota..Dada wa taifa mama bhokenzo hajathibitisha bado ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
HahaaaaaaNamshauri Manara asikubali huu udhalilishaji...
Ile nafasi ya usemaji ni yake..
Namshauri aungane na mzee Magoma wauwashe moto...
Bado tu hujaolewa mjukuu wangu?Ndio mkuu nataka kua mke wa mheshimiwaโบ๏ธ
Weeh!! Siku hizi nashinda sana Twitter (X) kwenye space hata insta sijaingia, nikipata muda nikajionee mie nisipitwe ubuyu wenyewe huu kabisa ๐นNilikuta page moja huko insta kina Dida wamempigia simu wanamuuliza nasikia mmeachana akawa ana waambia sio kweli..ila kwa ninavyomjua angewachambaa ila alikua anajibu kwa upole aisee yani hana cha kusema nilete ushahidi kama kawaida yake..so watu wakaconclude kuna ka kitu kapo kanatokota..
Atahasi muda wowote hivyo ni suala la muda wananchi kumuita gaidi mpya porini Kama alivyo afande Magoma๐คฃ kwa lugha nyepesi kwamb afanye uasi sio ?
Hahaaaaaa acha roho mbaya wr binti. Unataka akale wapi manara wa watu?Safi sana...yule mtu hatufai kama wapenda michezo..umeona intavyuu za kina Ahmed Ally na Ally Kamwe? So nice wanacheka wanataniana...
Ila huyo mwarabu wa jangwani ana jazba...ana chuki mpk macho yanaonyesha...
Kwa hiyo Manara ni mfanyakazi hewa? LolโHaji Manara kwasasa ni Mwanachama hai wa Yanga, tunaangalia majukumu mapya ya kumpatia klabuni. Yanga inaye Afisa habari (Alikamwe) ambaye ndiye anaisemea Klabuโ Injinia Hersi
Kwa mnavyomjua zungu lazima ata react vibaya, maana alijua akitoka kifungoni atarudi nafasi yake, ila kakuta Alikamwe kashatengeneza ufalme wake, na alivyo na bifu na Alikamwe patachimbika ๐ ๐ ๐
Mzee akubali tuu muda wake umeisha, sitoshangaa mzee WA kupanic akiingia msituni na mzee magoma
View attachment 3075727
Waoaji hakuna..!๐คฃBado tu hujaolewa mjukuu wangu?
Aaah waoaji Wote hawa mjukuu bado unachagua mweusi mweupe mheshimiwa sio muheshimiwa utazeeka hujaolewaWaoaji hakuna..!๐คฃ
Kaole za Aziz k na Mobeto. Batiki hawahishiwi shughuli.Majukumu gani mengine ambayo hapo Yanga bado hayana nafasi?
Au upishi?
Leo kafiri umeongea pointi. ๐๐๐๐, kwenye Yanga dei alitokota sana piaNaona manara system imeanza kumuweka pembeni aina ya usemaji wake imekua haiwavutii tena watu, tatizo lake ni Ego kuamini yeye ni bora kuliko taasisi, baada ya kumaliza adhabu maneno aliyoongea ya press yake ilikua ni ya kumshusha kamwe na kujitukuza yeye