Eng. Hersi: Haji Manara sio Msemaji wa Yanga, tunaangalia majukumu mapya ya kumpa

Eng. Hersi: Haji Manara sio Msemaji wa Yanga, tunaangalia majukumu mapya ya kumpa

Roho za watanzania ndio hizi, wanafurahi mtu akiyumba maisha
Ukiona watu wengi wanafurahia anguko lako basi jitafakari una tatizo sehemu.

Haji ataungwa mkono wa wapuuzi wenzake tu na siyo kwa mtu mwenye akili nzuri.

Kama kuna kitu GSM ametukosea Yanga ni kutuletea hii takataka yake.

Na for your information Haji hajayumba huyohuyo GSM ndio atajuwa ampe kazi wana nafasi nyingi tu na wana makampuni mengi na hili ndio limekuwa ombi letu wamchukuwe Manara Yanga hatumtaki kwa tabia zake za kupandikiza chuki na domo bwabwaja.
 
Sio lile sakata la mrembo na mchezaji siku ya tamasha ndo limemtokea lilikomtokea?
20240821_081138.jpg
 
Manara atakuwa mhamasishaji mkuu (chief mobilizer) wa Yanga. Il ajifunze kutenganisha utani na kazi; kumwita Mobeto mbele ya halaiki haikuwa sehemu ya majukumu yake.
 
Kwasisi watoto wa Kota za mikocheni ,hili linamuhamasisha bwana Manara kuingia msituni na gaidi Magoma ili kuendelea kupambana na serikali ya Yanga hivyo ni suala la muda kumuona Haji akiwa porini anapambana na majeshi ya serikali 😃😃😃
Hahahahahaha majukumu yanayomfaa haji ni kuwa kamati ya ufundi tu na kina Magoma 🤣
 
Roho za watanzania ndio hizi, wanafurahi mtu akiyumba maisha
Sasa Haji kayumba maisha na wakati ana ubalozi wa kutosha GSM. Anaenda Dubai kama uendavyo chooni hana shida yule jamaa.
 
Roho za watanzania ndio hizi, wanafurahi mtu akiyumba maisha
Ameyumba maisha? Manara ameyumba vipi kimaisha?
Huyo wana Yanga hawamtaki, tena ni baada ya adhabu yake kuisha, amwachefua Yanga baada ya adhabu yake kuisha, akajirudisha kazini kwa Mbwembwe nyingi, huku akijipangia Majukumu huku akiwapangia wengine majukumu. Kwamba yeye ndiye Msemaji, afisa habari ni mwingine.
Wakati wote alipokua amefungiwa watu walikuwa pamoja naye, ila alipotaka kujiinua ili awapande vichwani watu wakamkataa na kumbwaga , tena mapema tu.
 
Ameyumba maisha? Manara ameyumba vipi kimaisha?
Huyo wana Yanga hamtaki, tena ni baada ya adhabu yake kuisha halafu akajirudisha kazini kwa Mbwembwe nyingi, huku akijipangia Majukumu huku akiwapangia wengine majukumu. Kwamba yeye ndiye Msemaji, afisa habari ni mwingine.
Halafu mbaya zaidi utakuta hana mkataba wowote na Yanga, ila kwa sababu anadekezwa na GSM na Rais ni mtu wa GSM basi anaona anaweza kufanya lolote.
 
Sasa Haji kayumba maisha na wakati ana ubalozi wa kutosha GSM. Anaenda Dubai kama uendavyo chooni hana shida yule jamaa.
Katika kuandika vitu vya maana alivonavyo ni "Anaenda Dubai sana"

Mara is poor and have poor mentality kichwani
 
Wamuonee huruma mzee mwenzangu ana majukumu.......basi hata wampe nafasi ya kuwapigia hadithi za kale wachezaji wakiwa vyumbani wakibadilisha nguo......

Au awe anawapeleka na kuwarudisha shule watoto wa tajiri.....mbona kwa tajiri vitengo ni vingi sana......
 
“Haji Manara kwasasa ni Mwanachama hai wa Yanga, tunaangalia majukumu mapya ya kumpatia klabuni. Yanga inaye Afisa habari (Alikamwe) ambaye ndiye anaisemea Klabu” Injinia Hersi

Kwa mnavyomjua zungu lazima ata react vibaya, maana alijua akitoka kifungoni atarudi nafasi yake, ila kakuta Alikamwe kashatengeneza ufalme wake, na alivyo na bifu na Alikamwe patachimbika 😅😅😅

Mzee akubali tuu muda wake umeisha, sitoshangaa mzee WA kupanic akiingia msituni na mzee magoma
View attachment 3075727
Hersi amecheza kama Pele, huyu sope alikuwa anajitangazia yeye mwenyewe kuwa ndiye msemaji pekee wa Yanga wakati siyo kweli. Huyu auze magodoro tu ya GSM huku akiwa mwanachama hai wa Yanga hii imekaa vizuri
 
Back
Top Bottom