comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
Akae pembeni Ali Kamwe msomi na mweledi kazi anaiwezaEng. Hersi kajua kunifurahisha☺️
Nimemsamehe kwa kumtimua Guede akee🙌
Ajiandae kudundwa ngumi na domokaya“Haji Manara kwasasa ni Mwanachama hai wa Yanga, tunaangalia majukumu mapya ya kumpatia klabuni. Yanga inaye Afisa habari (Alikamwe) ambaye ndiye anaisemea Klabu” Injinia Hers...
Fitna na majungu anaweza sanaMajukumu gani mengine ambayo hapo Yanga bado hayana nafasi?
Au upishi?
Awe kwenye kamati ya wazee wa yangaMajukumu gani mengine ambayo hapo Yanga bado hayana nafasi?
Au upishi?
Anasababisha mpira kati ya simba na yanga unakuwa kama mduara au taarabu. Vijembe kila akipostFitna na majungu anaweza sana
Wewe sasa ivi ni mnyama Acha hicho kichaaEng. Hersi kajua kunifurahisha☺️
Nimemsamehe kwa kumtimua Guede akee🙌
Subiri bado naendelea kujifikiria😉Wewe sasa ivi ni mnyama Acha hicho kichaa
Anarudishwa makao makuu ya GSMMajukumu gani mengine ambayo hapo Yanga bado hayana nafasi?
Au upishi?
Kufua jeziMajukumu gani mengine ambayo hapo Yanga bado hayana nafasi?
Au upishi?