Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ukiona watu wengi wanafurahia anguko lako basi jitafakari una tatizo sehemu.Roho za watanzania ndio hizi, wanafurahi mtu akiyumba maisha
Sio lile sakata la mrembo na mchezaji siku ya tamasha ndo limemtokea lilikomtokea?
Hahahahahaha majukumu yanayomfaa haji ni kuwa kamati ya ufundi tu na kina Magoma 🤣Kwasisi watoto wa Kota za mikocheni ,hili linamuhamasisha bwana Manara kuingia msituni na gaidi Magoma ili kuendelea kupambana na serikali ya Yanga hivyo ni suala la muda kumuona Haji akiwa porini anapambana na majeshi ya serikali 😃😃😃
Sasa Haji kayumba maisha na wakati ana ubalozi wa kutosha GSM. Anaenda Dubai kama uendavyo chooni hana shida yule jamaa.Roho za watanzania ndio hizi, wanafurahi mtu akiyumba maisha
Ameyumba maisha? Manara ameyumba vipi kimaisha?Roho za watanzania ndio hizi, wanafurahi mtu akiyumba maisha
Halafu mbaya zaidi utakuta hana mkataba wowote na Yanga, ila kwa sababu anadekezwa na GSM na Rais ni mtu wa GSM basi anaona anaweza kufanya lolote.Ameyumba maisha? Manara ameyumba vipi kimaisha?
Huyo wana Yanga hamtaki, tena ni baada ya adhabu yake kuisha halafu akajirudisha kazini kwa Mbwembwe nyingi, huku akijipangia Majukumu huku akiwapangia wengine majukumu. Kwamba yeye ndiye Msemaji, afisa habari ni mwingine.
Katika kuandika vitu vya maana alivonavyo ni "Anaenda Dubai sana"Sasa Haji kayumba maisha na wakati ana ubalozi wa kutosha GSM. Anaenda Dubai kama uendavyo chooni hana shida yule jamaa.
Wewe kwako cha maana ni kipi?Katika kuandika vitu vya maana alivonavyo ni "Anaenda Dubai sana"
Mara is poor and have poor mentality kichwani
Mtasikia sasa hivi na mke kakimbiaManara ile idara haiwezi anaropoka sana
Ubaya Ubwela waokote tambara hilo..!Masikini roporopo !! Wamemaliza kumtumia sasa hawana habarI nae tena.
Ni kweli kwa jinsi wanawake walivyo anaweza kimbiwaMtasikia sasa hivi na mke kakimbia
Atapewa majukumu ya kuvunja nazi na vyungu njia panda wakati wa mechi.Majukumu gani mengine ambayo hapo Yanga bado hayana nafasi?
Au upishi?
Guede mtu sana.Eng. Hersi kajua kunifurahisha☺️
Nimemsamehe kwa kumtimua Guede akee🙌
Naunga mkono hoja 😎😎Eng. Hersi kajua kunifurahisha☺️
Nimemsamehe kwa kumtimua Guede akee🙌
Daah!Majukumu gani mengine ambayo hapo Yanga bado hayana nafasi?
Au upishi?
Hersi amecheza kama Pele, huyu sope alikuwa anajitangazia yeye mwenyewe kuwa ndiye msemaji pekee wa Yanga wakati siyo kweli. Huyu auze magodoro tu ya GSM huku akiwa mwanachama hai wa Yanga hii imekaa vizuri“Haji Manara kwasasa ni Mwanachama hai wa Yanga, tunaangalia majukumu mapya ya kumpatia klabuni. Yanga inaye Afisa habari (Alikamwe) ambaye ndiye anaisemea Klabu” Injinia Hersi
Kwa mnavyomjua zungu lazima ata react vibaya, maana alijua akitoka kifungoni atarudi nafasi yake, ila kakuta Alikamwe kashatengeneza ufalme wake, na alivyo na bifu na Alikamwe patachimbika 😅😅😅
Mzee akubali tuu muda wake umeisha, sitoshangaa mzee WA kupanic akiingia msituni na mzee magoma
View attachment 3075727