Eng Hersi mwache Mzize akamalize soka lake Wydad, unamuharibia maisha

Eng Hersi mwache Mzize akamalize soka lake Wydad, unamuharibia maisha

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Mzize hana umri unaotaka kuwaaminisha watu, sio young player, wengi tunamfahamu Mzize, muache akacheze soka huko anakoliliwa, Mzize maisha yake bado hayajakaa sawa na njia pekee kwake kutoboa ni kwenda Wydad akacheze, hapa Yanga wewe shs ngapi Injinia.

Halafu nikuambie tu washabiki wengi wa Yanga tunaokaa nao mitaani hawamkubali Mzize kivile, wanaomuona ana papara sana, mchoyo, sio striker tishio, anakosa sana mabao, Mzize hawezi kucheza mechi bila mashabiki kumsonya kwa mambo anayofanya uwanjani, halafu mpira wa kibongo una muda, akichuja huyo msimu ujao unampeleka kwa mkopo Singida au KMC, mwache akale maisha WYDAD msimu mmoja tu anatoboa hata akiachwa ameshajitafuta.

Kuendelea kukataa ofa za Mzize unamchanganya na unamharibia sana, sawa kwa vile Mzize ana mkataba na Yanga lakini hebu fikiria ndugu yetu kwa umakini suala hili, Yanga ina washambuliaji wakali kama nyoka sasa hivi, Yanga kwa viungo waliokuwa nao wanaweza kumpelekea moto mtu bila hata kuwepo mshambuliaji, Mzize mwache aende bro, mmekaa na Nkane hadi ameota sugu, dogo kucheza hachezi anaona raha tu kuozea benchi.

Huyo Mzize hawezi kubadilika tena, uchezaji wake ndio ule ule, kama unadhani kuna dili kubwa zaidi kwa mchezaji huyo andika umeumia.Washabiki wa Yanga hawana shida na Mzize, kwanza akipangwa wanaona kama anawachelewesha vile.
 
Hata maandiko yanasema "mmepewa bure, toeni bure". Mzize walipewa kama kifungashio leo wanakaza fuvu hawataki kumuachia akapate malisho mema. Hili ni fundisho kubwa kwa wachezaji wengine.

Hivi ASEC wangekuwa na tamaa kama hizi, hawa vyura wangewapata hao kina Aziz Ki na Pacome?
 
Umeandika kihisia sana sio kiprofeshino yahn unawachukulia Yanga kama kilabu cha pombe cha masela kwamba team isifanye biashara yenye faida imuache tu mzize kishikaji akafanye maisha.

Usikute hata kadi ya uanachama wala jezi mya ya msimu huu ujanunua lakini umebinua mdomo kama mange kimambi.
 
Tatzo watanzania hatutaki kukubali vya kwetu. Mzize ni mchezaji kwelikweli. Mm ni mwananchi kindaki ila kama kweli waydad wanamtaka kwa pesa hyo tuwape tumuache kijana akatengeneze maisha kama atuwezi kumpa offer kama hyo yawenzetu. Mzize namba anayo cheza ina watu wengi ata kama namasrai ya taifa tumeache akacheze nje afuve mabilioni.
 
Yanga ni kama jera ya wachezaji wa mpira wa miguu.
Watakuachia tu kama umeisha kiwango.
Hebu waangalie Simba

Mwaka huu 2024
Chama first eleven.....Yanga
Fredi...................................USM Alger
Kanute...........................Js Kabylie
Barbakar........... Sar Js Kabylie
Innonga...........As Far Rabat
Onana...........Al-Hilal Benghaz
.........
Gwede........... Singida United
Romalisa....... As Lupopo
Angekuwa Mzimze tungemwuza Al-Ahly ya Misri.
Yanga ni kama Jera. Wanakutumia ili wakutupe jalalani
Gwede .... Singida United.
Romalisa ... AFC Lupopo.

Mzimze ukitaka kutoboa njoo Simba sc. Mwakani utaenda Ulaya faster.
Wewe ni zaidi ya Freddy fungafunga.
 
Mzinze yupi wa kutakiwa Wydad Casablanca? Sio Ya Morocco, itakua ya mbagala majimatitu labda, Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Attachments

  • FB_IMG_1724403159841.jpg
    FB_IMG_1724403159841.jpg
    32.4 KB · Views: 4
Mzize hana umri unaotaka kuwaaminisha watu, sio young player, wengi tunamfahamu Mzize, muache akacheze soka huko anakoliliwa, Mzize maisha yake bado hayajakaa sawa na njia pekee kwake kutoboa ni kwenda Wydad akacheze, hapa Yanga wewe shs ngapi Injinia.

Halafu nikuambie tu washabiki wengi wa Yanga tunaokaa nao mitaani hawamkubali Mzize kivile, wanaomuona ana papara sana, mchoyo, sio striker tishio, anakosa sana mabao, Mzize hawezi kucheza mechi bila mashabiki kumsonya kwa mambo anayofanya uwanjani, halafu mpira wa kibongo una muda, akichuja huyo msimu ujao unampeleka kwa mkopo Singida au KMC, mwache akale maisha WYDAD msimu mmoja tu anatoboa hata akiachwa ameshajitafuta.

Kuendelea kukataa ofa za Mzize unamchanganya na unamharibia sana, sawa kwa vile Mzize ana mkataba na Yanga lakini hebu fikiria ndugu yetu kwa umakini suala hili, Yanga ina washambuliaji wakali kama nyoka sasa hivi, Yanga kwa viungo waliokuwa nao wanaweza kumpelekea moto mtu bila hata kuwepo mshambuliaji, Mzize mwache aende bro, mmekaa na Nkane hadi ameota sugu, dogo kucheza hachezi anaona raha tu kuozea benchi.

Huyo Mzize hawezi kubadilika tena, uchezaji wake ndio ule ule, kama unadhani kuna dili kubwa zaidi kwa mchezaji huyo andika umeumia.Washabiki wa Yanga hawana shida na Mzize, kwanza akipangwa wanaona kama anawachelewesha vile.
Dogo aachwe aende
 
Hata maandiko yanasema "mmepewa bure, toeni bure". Mzize walipewa kama kifungashio leo wanakaza fuvu hawataki kumuachia akapate malisho mema. Hili ni fundisho kubwa kwa wachezaji wengine.

Hivi ASEC wangekuwa na tamaa kama hizi, hawa vyura wamewapata hao kina Aziz Ki na Pacome?
Asec ni sera yao kuuza ni business, bado tuna kazi na Mzize....ila ofa ikifika 2.7b najua Yangu otamuachia tu
 
Asec ni sera yao kuuza ni business, bado tuna kazi na Mzize....ila ofa ikifika 2.7b najua Yangu otamuachia tu
Mnamlipa kiasi gani hadi mdai pesa hiyo? Yaani hamjifunzi tu. Hauwezi kusema wewe sera yako ni kununua tu vya wenzio ila kuuza inakuwa mgogoro.

Mzize mwenyewe kila siku mnalalamika bora aachwe, leo watu wameonyesha kumtaka kwa pesa ambayo hamkuwahi kuiwaza, mnambania. Utetezi wenu umefunika ubinafsi mlio nao.
 
Mzize hana umri unaotaka kuwaaminisha watu, sio young player, wengi tunamfahamu Mzize, muache akacheze soka huko anakoliliwa, Mzize maisha yake bado hayajakaa sawa na njia pekee kwake kutoboa ni kwenda Wydad akacheze, hapa Yanga wewe shs ngapi Injinia.

Halafu nikuambie tu washabiki wengi wa Yanga tunaokaa nao mitaani hawamkubali Mzize kivile, wanaomuona ana papara sana, mchoyo, sio striker tishio, anakosa sana mabao, Mzize hawezi kucheza mechi bila mashabiki kumsonya kwa mambo anayofanya uwanjani, halafu mpira wa kibongo una muda, akichuja huyo msimu ujao unampeleka kwa mkopo Singida au KMC, mwache akale maisha WYDAD msimu mmoja tu anatoboa hata akiachwa ameshajitafuta.

Kuendelea kukataa ofa za Mzize unamchanganya na unamharibia sana, sawa kwa vile Mzize ana mkataba na Yanga lakini hebu fikiria ndugu yetu kwa umakini suala hili, Yanga ina washambuliaji wakali kama nyoka sasa hivi, Yanga kwa viungo waliokuwa nao wanaweza kumpelekea moto mtu bila hata kuwepo mshambuliaji, Mzize mwache aende bro, mmekaa na Nkane hadi ameota sugu, dogo kucheza hachezi anaona raha tu kuozea benchi.

Huyo Mzize hawezi kubadilika tena, uchezaji wake ndio ule ule, kama unadhani kuna dili kubwa zaidi kwa mchezaji huyo andika umeumia.Washabiki wa Yanga hawana shida na Mzize, kwanza akipangwa wanaona kama anawachelewesha vile.
Ni washamba kama nyie mnaodhani kuwa Mzize kwenda Wydad ni dili sana.
 
Hii ya maize kutakiwa na wydad nadhani ni taarifa ya kutengeneza tu ambayo imeandikwa na yanga wenyewe wala sio kweli.Alafyu hizi zama sio zile mchezaji anatakiwa na timu ya huko anabaniwa inakuwa sio nzuri kabisa kila mtu ana maisha yake aachwe aende nafasi yake achukuliwe mzawa mwingine.
 
Back
Top Bottom