Eng Hersi mwache Mzize akamalize soka lake Wydad, unamuharibia maisha

Eng Hersi mwache Mzize akamalize soka lake Wydad, unamuharibia maisha

Mzize hana umri unaotaka kuwaaminisha watu, sio young player, wengi tunamfahamu Mzize, muache akacheze soka huko anakoliliwa, Mzize maisha yake bado hayajakaa sawa na njia pekee kwake kutoboa ni kwenda Wydad akacheze, hapa Yanga wewe shs ngapi Injinia.

Halafu nikuambie tu washabiki wengi wa Yanga tunaokaa nao mitaani hawamkubali Mzize kivile, wanaomuona ana papara sana, mchoyo, sio striker tishio, anakosa sana mabao, Mzize hawezi kucheza mechi bila mashabiki kumsonya kwa mambo anayofanya uwanjani, halafu mpira wa kibongo una muda, akichuja huyo msimu ujao unampeleka kwa mkopo Singida au KMC, mwache akale maisha WYDAD msimu mmoja tu anatoboa hata akiachwa ameshajitafuta.

Kuendelea kukataa ofa za Mzize unamchanganya na unamharibia sana, sawa kwa vile Mzize ana mkataba na Yanga lakini hebu fikiria ndugu yetu kwa umakini suala hili, Yanga ina washambuliaji wakali kama nyoka sasa hivi, Yanga kwa viungo waliokuwa nao wanaweza kumpelekea moto mtu bila hata kuwepo mshambuliaji, Mzize mwache aende bro, mmekaa na Nkane hadi ameota sugu, dogo kucheza hachezi anaona raha tu kuozea benchi.

Huyo Mzize hawezi kubadilika tena, uchezaji wake ndio ule ule, kama unadhani kuna dili kubwa zaidi kwa mchezaji huyo andika umeumia.Washabiki wa Yanga hawana shida na Mzize, kwanza akipangwa wanaona kama anawachelewesha vile.
Nchi ya Tanzania ni wananchi wengi wenye ubongo wa nyumbu. Hivi hamuweza kuanidka jina lake bila kutanguliza neno injinia? Mmekaririshwa na vyombo vya habari na nyie mnakariri kama mazezeta. Ukiuliza huo uinjinia alishafanya nini utakuta hata kuchimba mfereji hajawahi. Pumbafu kabisa.
 
Mnamlipa kiasi gani hadi mdai pesa hiyo? Yaani hamjifunzi tu. Hauwezi kusema wewe sera yako ni kununua tu vya wenzio ila kuuza inakuwa mgogoro.

Mzize mwenyewe kila siku mnalalamika bora aachwe, leo watu wameonyesha kumtaka kwa pesa ambayo hamkuwahi kuiwaza, mnambania. Utetezi wenu umefunika ubinafsi mlio nao.
Kamuuzeni manula kwanza mbona mmemkomalia? Akili zenu ziko sawa kweli nyie? Kwanini mmekataa kumuuza manula na mnakomaa na mzize? Nyani haoni kundule sio, yanga Ina malengo yake aipangiwi na kolo yeyote namna ya kuendesha timu, yanga sio akademi ya kulea wachezaji na kuuza, inapotokea mchezaji anauzwa basi utaratibu na malengo ya klabu ni muhimu kufuatwa na sio mnavyotaka nyie, Mzize si alimaliza mkataba kwanini izo timu azikumfata na kumchukua Bure! Azikumuona? Kaongeza mkataba wa miaka 3 ata miezi 3 aijaisha mnaleta mabakuri yenu kuwapangia yanga Cha kufanya utahaira Kama huo pelekeni kwa mangungu uko!
 
Mzize hana umri unaotaka kuwaaminisha watu, sio young player, wengi tunamfahamu Mzize, muache akacheze soka huko anakoliliwa, Mzize maisha yake bado hayajakaa sawa na njia pekee kwake kutoboa ni kwenda Wydad akacheze, hapa Yanga wewe shs ngapi Injinia.

Halafu nikuambie tu washabiki wengi wa Yanga tunaokaa nao mitaani hawamkubali Mzize kivile, wanaomuona ana papara sana, mchoyo, sio striker tishio, anakosa sana mabao, Mzize hawezi kucheza mechi bila mashabiki kumsonya kwa mambo anayofanya uwanjani, halafu mpira wa kibongo una muda, akichuja huyo msimu ujao unampeleka kwa mkopo Singida au KMC, mwache akale maisha WYDAD msimu mmoja tu anatoboa hata akiachwa ameshajitafuta.

Kuendelea kukataa ofa za Mzize unamchanganya na unamharibia sana, sawa kwa vile Mzize ana mkataba na Yanga lakini hebu fikiria ndugu yetu kwa umakini suala hili, Yanga ina washambuliaji wakali kama nyoka sasa hivi, Yanga kwa viungo waliokuwa nao wanaweza kumpelekea moto mtu bila hata kuwepo mshambuliaji, Mzize mwache aende bro, mmekaa na Nkane hadi ameota sugu, dogo kucheza hachezi anaona raha tu kuozea benchi.

Huyo Mzize hawezi kubadilika tena, uchezaji wake ndio ule ule, kama unadhani kuna dili kubwa zaidi kwa mchezaji huyo andika umeumia.Washabiki wa Yanga hawana shida na Mzize, kwanza akipangwa wanaona kama anawachelewesha vile.
Kwa Morocco inaruhusiwa wachezaji wangapi wa kigeni?

Na hivi sasa Waydad imeshasajili wangapi?

Waydad kwasasa hata Yanga Ina afadhali. Mashindano makubwa pekee wanayocheza Waydad ni Club World Cup, kwa Africa hakuna.

Kaizer Chiefs ndio kabisa iko nafasi ya 10, hata mashindano yao Super8 hachezi.

Simba na Yanga zimeshakuwa timu kubwa Africa tuziheshimu. Siyo timu za kitoto wala academy zile ambazo unaenda tu kuzoa wachezaji wazuri Kama Coaster Union.

Mbona timu hazipeleki ofa, Al ahly, Mamelodi au Raja Casablanca??

Mnataka wachezaji wetu wakacheze nje ilimradi tu, ndio kuzurura nje Kama kina Msuva, Himid Mao na Novastus.

Jambo la msingi apambanie maslahi yake ndani ya Yanga.

Akilipwa hata milioni 8 au 10 ndani ya Yanga na signing on fee ya hata 300M maisha ya bongo Mungu akupe nini, maana ni Bora kuliko huko anakotaka kwenda.

Ingekuwa Mamelodi, Al ahly Egypt, Esperance au timu B za England premiee,Serie A, Laliga, ligi kuu Belgium Kama Genk hata Mimi ningeshauri aachiwe aende
 
Nchi ya Tanzania ni wananchi wengi wenye ubongo wa nyumbu. Hivi hamuweza kuanidka jina lake bila kutanguliza neno injinia? Mmekaririshwa na vyombo vya habari na nyie mnakariri kama mazezeta. Ukiuliza huo uinjinia alishafanya nini utakuta hata kuchimba mfereji hajawahi. Pumbafu kabisa.
Ni civil engineer.

Ni taaluma yake na kakaa darasani wivu wa nini?
 
Mbona manula golie namb moja, simba wanamfanyia mizengwe sijaona uzi wowote humu kumtetea, ila ikija issue ya Yanga mnapga kelele kama majibwa shida nini?
Manula bado ni kipa kiongoz mwenye mafanikio shawishi kwa makipa wageni , mzize hana cha kuwashawishi washambuliah wenzake zaid mzize anahitaj exposure kwa maslai yake na timu ya taifa pia , Kumueka bench ni kutunyima mchezaj wetu kukosa ubora mzuri kwenye timu ya taifa, kiufupi wanaua carrier ya mzize tu
 
Ni civil engineer.

Ni taaluma yake na kakaa darasani wivu wa nini?
Hujaelewa point yangu. Point yangu ni hii: dunia imejaa ma-injinia kibao na hata siku moja huwezi kukuta kwenye maisha ya kawaida mtaani wanatanguliza neno ''injinia'' kwenye majina yao. Wanatambulika tu hivyo wakati wanapokuwa kwenye maeneo yao ya kazi. Huyu yuko kwenye michezo, uinjinia anaotanguliza au ninyi mnatanguliza wa nini? Taja jina lake inatosha na siyo mbwembwe za kibongo bongo za ulimbukeni. Na hapo sijauliza kama ameshawahi kufanya nini na uinjinia wake.
 
Kwa Morocco inaruhusiwa wachezaji wangapi wa kigeni?

Na hivi sasa Waydad imeshasajili wangapi?

Waydad kwasasa hata Yanga Ina afadhali. Mashindano makubwa pekee wanayocheza Waydad ni Club World Cup, kwa Africa hakuna.

Kaizer Chiefs ndio kabisa iko nafasi ya 10, hata mashindano yao Super8 hachezi.

Simba na Yanga zimeshakuwa timu kubwa Africa tuziheshimu. Siyo timu za kitoto wala academy zile ambazo unaenda tu kuzoa wachezaji wazuri Kama Coaster Union.

Mbona timu hazipeleki ofa, Al ahly, Mamelodi au Raja Casablanca??

Mnataka wachezaji wetu wakacheze nje ilimradi tu, ndio kuzurura nje Kama kina Msuva, Himid Mao na Novastus.

Jambo la msingi apambanie maslahi yake ndani ya Yanga.

Akilipwa hata milioni 8 au 10 ndani ya Yanga na signing on fee ya hata 300M maisha ya bongo Mungu akupe nini, maana ni Bora kuliko huko anakotaka kwenda.

Ingekuwa Mamelodi, Al ahly Egypt, Esperance au timu B za England premiee,Serie A, Laliga, ligi kuu Belgium Kama Genk hata Mimi ningeshauri aachiwe aende
ubinafsi unatuua wabongo , mtu analipwa laki 6 ww unashabikia abakie na kuacha ofa ya mamilioni , ebu tupendane asee wabongo , azizi angelipwa hata 1 M ungesema ananyonywa ila mtz mwenzio ni sw abakie asote kwa laki 6

WABONGO HATUPENDANI NDIO MAANA FISIEN WANAENDELEA KUTUNYOOSHA BILA WATZ KUKEMEA UTEKAJ WA WATZ WENZETU
 
Kamuuzeni manula kwanza mbona mmemkomalia? Akili zenu ziko sawa kweli nyie? Kwanini mmekataa kumuuza manula na mnakomaa na mzize? Nyani haoni kundule sio, yanga Ina malengo yake aipangiwi na kolo yeyote namna ya kuendesha timu, yanga sio akademi ya kulea wachezaji na kuuza, inapotokea mchezaji anauzwa basi utaratibu na malengo ya klabu ni muhimu kufuatwa na sio mnavyotaka nyie, Mzize si alimaliza mkataba kwanini izo timu azikumfata na kumchukua Bure! Azikumuona? Kaongeza mkataba wa miaka 3 ata miezi 3 aijaisha mnaleta mabakuri yenu kuwapangia yanga Cha kufanya utahaira Kama huo pelekeni kwa mangungu uko!
kwan Manula analipwa laki 6? muonee huruma mtz mwenzio , roho ya husda zinatuua watz
 
Hii ishu ya mzize walioikomalia ni mashabiki wa simba. Sasa najiuliza haya mahaba mazito waliyonayo kwa mechezaj wetu wameyatoa wapi...
 
ubinafsi unatuua wabongo , mtu analipwa laki 6 ww unashabikia abakie na kuacha ofa ya mamilioni , ebu tupendane asee wabongo , azizi angelipwa hata 1 M ungesema ananyonywa ila mtz mwenzio ni sw abakie asote kwa laki 6

WABONGO HATUPENDANI NDIO MAANA FISIEN WANAENDELEA KUTUNYOOSHA BILA WATZ KUKEMEA UTEKAJ WA WATZ WENZETU
Mshahara wake umeuona wapi???

Tuna hisia za kibwege kinoma.

Hata Kama ni kweli analipwa laki 6 kweli, huu Sasa ndio muda wa ku-negotiate maslahi yake. Kina Azizi Ki, Pacome, Diarra hawajaenda nje timu inashindwa nini kumlipa vizuri Kama anafanya vizuri??
 
Hata maandiko yanasema "mmepewa bure, toeni bure". Mzize walipewa kama kifungashio leo wanakaza fuvu hawataki kumuachia akapate malisho mema. Hili ni fundisho kubwa kwa wachezaji wengine.

Hivi ASEC wangekuwa na tamaa kama hizi, hawa vyura wamewapata hao kina Aziz Ki na Pacome?
ASEC wangekuwa Wana waachia wachezaji kwa pesa ndogo Aziz Ki angekuwa Simba sasa hivi.
Bei halali wakifikisha Mzinze atauzwa bila kelele.
 
Hujaelewa point yangu. Point yangu ni hii: dunia imejaa ma-injinia kibao na hata siku moja huwezi kukuta kwenye maisha ya kawaida mtaani wanatanguliza neno ''injinia'' kwenye majina yao. Wanatambulika tu hivyo wakati wanapokuwa kwenye maeneo yao ya kazi. Huyu yuko kwenye michezo, uinjinia anaotanguliza au ninyi mnatanguliza wa nini? Taja jina lake inatosha na siyo mbwembwe za kibongo bongo za ulimbukeni. Na hapo sijauliza kama ameshawahi kufanya nini na uinjinia wake.
Watu wanatanguliza mpaka CPA kina RC Makala.

Kina Samia hata darasani hawajakaa, mnawaita Dk.

Viongozi mnaowaita wa dini ndio kabisa na PhD ya mchongo.

Mengine majina tu wala yasikujaze upepo. Maana tunakoelekea hata kina Prof J, Dr Msukuma, au Prof Maji marefu watakutoa nyongo
 
Watu wanatanguliza mpaka CPA kina RC Makala.

Kina Samia hata darasani hawajakaa, mnawaita Dk.

Viongozi wa ndio kabisa na PhD ya mchongo.

Mengine majina tu wala yasikujaze upepo. Maana tunakoelekea hata kina Prof J, Dr Msukuma, au Prof Maji marefu watakutoa nyongo
Sijatoka nyongo hata kidogo. Hao wote ulioorodhesha wanajukalika ni vilaza na siku zote watu wenye akili wanashangaa huu ujinga wa kutanguliza initials umetoka wapi wakati wasomi wenyewe ni vilaza, pamoja na huyu injinia wa mchongo.
 
Waydad kwasasa hata Yanga Ina afadhali. Mashindano makubwa pekee wanayocheza Waydad ni Club World Cup, kwa Africa hakuna.

Kaizer Chiefs ndio kabisa iko nafasi ya 10, hata mashindano yao Super8 hachezi.

Ingekuwa Mamelodi, Al ahly Egypt, Esperance au timu B za England premiee,Serie A, Laliga, ligi kuu Belgium Kama Genk hata Mimi ningeshauri aachiwe aende
Acheni kujipa jukumu la kuwa mshauri wa mchezaji kwa maslahi yenu binafsi. Wachezaji wana meneja na wakala, suala la kumzuia mchezaji fulani kisa mnahisi timu inayomtaka ni ndogo halikuhusu wewe kama mshabiki au hata kiongozi wa timu ni kazi ya wale wanaomsimamia mchezaji mwenyewe.

Eti Wydad ni timu ndogo? Unajua exposure ya Club World Cup wewe? Umeona uwekezaji wanaoufanya sasa kwa kuanzia kwa benchi la ufundi? Kaizer Chiefs ingekuwa timu ndogo mngeshangilia kama wehu baada ya kuwafunga katika mechi ya kirafiki?

Huu mnaofanya ndiyo tunaita ushabiki maandazi, kutetea uovu kisa timu yako imeweka msimamo fulani.

ASEC wangekuwa Wana waachia wachezaji kwa pesa ndogo Aziz Ki angekuwa Simba sasa hivi.
Bei halali wakifikisha Mzinze atauzwa bila kelele.
Nani kaongelea pesa ndogo? Kwani dola 100K ni pesa ndogo? Yaani unataka kusema Mzize ana thamani kubwa kuliko kikosi kizima cha Yanga? Mnachekesha sana nyie watu.
 
Una hoja usikilizwe, Mzize aachwe aondoke
 
Hata maandiko yanasema "mmepewa bure, toeni bure". Mzize walipewa kama kifungashio leo wanakaza fuvu hawataki kumuachia akapate malisho mema. Hili ni fundisho kubwa kwa wachezaji wengine.

Hivi ASEC wangekuwa na tamaa kama hizi, hawa vyura wamewapata hao kina Aziz Ki na Pacome?
Tusipangiane matumizi blooo.
 
Back
Top Bottom