macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Kupiga picha na hawa ndiyo kutainua soka la Tanzania? Huu ujinga wa watanzania sijui utaisha lini. Hivi kupiga picha na mchezaji nayo ni uongozi bora? Subirini basi hizo picha ziinue soka la Tanzania.Hersi akiwa kwenye picha ya pamoja Baada ya Hakimi kumuomba picha eng hersiView attachment 2861708
Halafu anaowaroga wana channel ya timu yao huko whatsapp na ina mamilioni ya followers, yeye timu yake haina channel ππHuyu jamaa atakuwa anawaloga au anawahonga ili apige nao picture...yanga wachawi aisee..jamii duni hupenda uchawi
Anaenda kurogaLabda ngeli haipandi[emoji23]
Kwamba haya na nayo ni maendeleo?Wale wenzetu waliosema hicho ni cheo cha kawaida ndio maana Try Again βakakikataaβ watuambie hapa ni wapi? Majimaji ya Songea?
Naona umeumia sanaa aisee!Kupiga picha na hawa ndiyo kutainua soka la Tanzania? Huu ujinga wa watanzania sijui utaisha lini. Hivi kupiga picha na mchezaji nayo ni uongozi bora? Subirini basi hizo picha ziinue soka la Tanzania.
Una uthibitisho upi kwamba Hakim ndiye aliye muomba picha?Hersi akiwa kwenye picha ya pamoja Baada ya Hakimi kumuomba picha eng hersiView attachment 2861708
Kwa akili zako kukutana na uongozi wa PSG ni jambo dogo?Kwamba haya na nayo ni maendeleo?
Hersi is your spouse, isn't he? Kindly elucidate in a systematic manner how engaging with the chairperson of European club at the same table can contribute to the advancement of Tanzanian football!Naona umeumia sanaa aisee!
Kualikwa uwanja wa PSG na kushuhudia mechi kubwa namna ile si suala la kupuuza.
Kukaa meza moja na Mwenyekiti wa klabu za Ulaya si suala dogo.
Mbumbumbu pekee ina Rage's name ndiye ataona hakuna manufaa.
Kenge wawe
Kuna uzi ule wa fantasyKutoka @yangasc
Rais wa Klabu ya Yanga na Mwenyekiti wa Vilabu Barani Afrika, Eng Hersi Said amekutana na Rais wa Klabu ya Paris Saint-Germain (PSG) ya Ufaransa na Mwenyekiti wa Vilabu Barani Ulaya, Ndugu Nasser Bin Ghanim Al-Khelaifi, Jijini Paris Nchini Ufaransa, jana Desemba 3, 2023.
Eng Hersi alipewa mualiko maalum kutoka Kwa ndugu Nasser Bin Ghanim Al-Khelaifi kwa lengo la kujadili jinsi vyama hivyo vikubwa vinavyoweza kujenga uhusiano mzuri utakaosaidia maendeleo ya Vilabu Wanachama.
Vilevile, Ndugu Nasser Bin Ghanim Al- Khelaifi alimkaribisha Eng Hersi kushuhudia mchezo wa Fainali ya TrophΓ©e des Champions uliochezwa kwenye Uwanja wa Parc de Prince, ambapo PSG ilibeba Ubingwa baada ya kuichapa Toulouse kwa magoli 2-0.
#sokaonlineupdates
NB: huu ndiyo ukubwa tunaoutaka....[emoji122][emoji122]View attachment 2861704
Sio kwamba ukaomba, bali alimlia timing Hakim kisha akajipiga selfie then akawatumia vyura wake ambao nao wakakurupuka kupost picha ya boss wao kwamba kapiga na Hakim.Hapo kwa haraka haraka tu Hersi ndio kaomba picha...
Kwa akili zako kukutana na uongozi wa PSG ni jambo dogo?
Walai....You lean nothing to jasusi ex wako, hivi ulikuwaga unafanya nini kwa huyo jasusi hadi mmebwagana na hukujifunza lolote kuhusu ujasusi!?
Ama kweli ukistaajabu ya Ayoub utayaona ya Salah ππ
Huko ameenda kupata exposure...jinsi ya kuendesha futbol ya kisasaKupiga picha na hawa ndiyo kutainua soka la Tanzania? Huu ujinga wa watanzania sijui utaisha lini. Hivi kupiga picha na mchezaji nayo ni uongozi bora? Subirini basi hizo picha ziinue soka la Tanzania.
Bila picha hii itaonekana unatupangaTry again Huwa anashinda na Gian Infantino wakinywa kahawa, sembuse na mmiliki wa klabu?
That's isn't a big deal [emoji706][emoji706][emoji706]
Wewe katika watu wote? Why dragging my ex into this?You lean nothing to jasusi ex wako, hivi ulikuwaga unafanya nini kwa huyo jasusi hadi mmebwagana na hukujifunza lolote kuhusu ujasusi!?
Ama kweli ukistaajabu ya Ayoub utayaona ya Salah ππ