Eng. Hersi ndani ya PSG, akutana na kina Mbape, Hakim

Eng. Hersi ndani ya PSG, akutana na kina Mbape, Hakim

Una uthibitisho upi kwamba Hakim ndiye aliye muomba picha?

Hapo kwa haraka haraka tu Hersi ndio kaomba picha...[emoji23]
Hersi ni rais...... mbape ni mchezaji....

So unadhani Nan kaomba ka picha
 
Huko ameenda kupata exposure...jinsi ya kuendesha futbol ya kisasa
Mkuu mimi nisingekuwa na shida kama siyo huu uchawa wa kusifia hata visivyopaswa. Sioni ubaya wowote wa kitendo chake hicho ila sasa namna hawa kereng'ende wenzangu wanavyopaisha mambo ambayo hata hayafai. Unajua nchi yetu hii imeharibika sana kwa watu kusifu vitu vya kawaida sana. Kesho utasikia mchagueni awe mbunge kwa sababu alipiga picha na fulani, na matokeo yake ni kupata vilaza na viongozi wasanii badala ya watendaji wazuri.
 
Mkuu mimi nisingekuwa na shida kama siyo huu uchawa wa kusifia hata visivyopaswa. Sioni ubaya wowote wa kitendo chake hicho ila sasa namna hawa kereng'ende wenzangu wanavyopaisha mambo ambayo hata hayafai. Unajua nchi yetu hii imeharibika sana kwa watu kusifu vitu vya kawaida sana. Kesho utasikia mchagueni awe mbunge kwa sababu alipiga picha na fulani, na matokeo yake ni kupata vilaza na viongozi wasanii badala ya watendaji wazuri.
Ndo hivyo mkuu.... wabongo hatuna jambo dogo
 
Kupiga picha na hawa ndiyo kutainua soka la Tanzania? Huu ujinga wa watanzania sijui utaisha lini. Hivi kupiga picha na mchezaji nayo ni uongozi bora? Subirini basi hizo picha ziinue soka la Tanzania.

Na hapo kaomba sana.

Halaf alikuwa anasumbua watu , anasimamisha watu njiani na kuanza kuwaambia habari za ZNZ na kilimanjaro……

yule jamaa aliyekuwa na hakimu alikuwa anamuambia Hakimu , time time mpaka akaanza kusepa…….. jamaa yupo tu kilimanjaro , Zanzibar. Amekuwa kama wale wahubiri wa barabarani
 
Y
Wewe katika watu wote? Why dragging my ex into this?
Kuna daraja fulani nilikuweka, nilikosea.
Anyways, asante.
Niliwahi kukuambia wazi kuwa huwa una post vitu vizuri ambavyo hunifanya nitabasamu, lakini leo kwa kufagilia upuuzi aliopost shemeji ake Manara sijatabasamu kabisa na umeniudhi kwa sababu umedanganywa kizembe mno hadi nikaona wazi kabisa kuwa hukujifunza mbinu zozote za kijasusi kwa your ex mlipokuwa pamoja, yaani yaani nimesikitika mno.

Hiyo asante uliyonipa ifanye kuwa daraja la kukuvusha utoke katika zama za shemeji ake Manara maana hufit kabisa huko.
 
Rais wa Klabu ya Young Africans SC na Mwenyekiti wa Vilabu Barani Afrika, Eng Hersi Said akiwa na Rais wa Klabu ya Paris Saint-Germain ya Ufaransa na Mwenyekiti wa Vilabu Barani Ulaya, Ndugu Nasser Bin Ghanim Al-Khelaifi wakijadili jambo mara baada ya kikao kilichofanyika jana Jijini Paris Nchini Ufaransa.

Maendeleo hayana Chama [emoji23][emoji23]
1704376788938.jpg
 
Mambo ya channel ya umbea....tumewaachia Makolo [emoji23]
Hivi eng Hersi alipataje ujasiri wa kujipiga selfie na 'wambea' wa ughaibuni?

Ikiwa kuwa na channel ni umbea basi PSG wamefyeka ubongo wa rais wenu maana wewe hapo ulipo hujui hata idadi ya followers wa PSG huko whatsapp but unakaza fuvu tu oooh kuwa na channel ni umbea 😂😂.

Pole ndugu 😂😂
 
Y
Niliwahi kukuambia wazi kuwa huwa una post vitu vizuri ambavyo hunifanya nitabasamu, lakini leo kwa kufagilia upuuzi aliopost shemeji ake Manara sijatabasamu kabisa na umeniudhi kwa sababu umedanganywa kizembe mno hadi nikaona wazi kabisa kuwa hukujifunza mbinu zozote za kijasusi kwa your ex mlipokuwa pamoja, yaani yaani nimesikitika mno.

Hiyo asante uliyonipa ifanye kuwa daraja la kukuvusha utoke katika zama za shemeji ake Manara maana hufit kabisa huko.
Kwanza huu ni mjadala wa mpira ambako kama watani tunataniana na kufurahi maisha yanasonga, wewe unanivaa vipi na issue personal?
Huu ni mjadala mwepesi mno, hutakiwi kuweka emotions kama issue serious.

Halafu huo ujasusi mbona kama mnauongelea kiurahisi sana, ujasusi mnaujua lakini?
Hizo ni taaluma za watu, sio vyema kuleta dhihaka namna hii.
Good day
 
Mambo ya channel ya umbea....tumewaachia Makolo
emoji23.png
Hivi eng Hersi alipataje ujasiri wa kujipiga selfie na 'wambea' wa ughaibuni?

Ikiwa kuwa na channel ni umbea basi PSG wamefyeka ubongo wa rais wenu maana wewe hapo ulipo hujui hata idadi ya followers wa PSG huko whatsapp but unakaza fuvu tu oooh kuwa na channel ni umbea 😂😂.

Pole ndugu 😂😂
Kwanza huu ni mjadala wa mpira ambako kama watani tunataniana na kufurahi maisha yanasonga, wewe unanivaa vipi na issue personal?
Huu ni mjadala mwepesi mno, hutakiwi kuweka emotions kama issue serious.

Halafu huo ujasusi mbona kama mnauongelea kiurahisi sana, ujasusi mnaujua lakini?
Hizo ni taaluma za watu, sio vyema kuleta dhihaka namna hii.
Good day
Basi yaishe na tusichukuane kwa sababu ya hoja ya shemejie Haji.

Be peaceful and happy 😊
 
Halafu anaowaroga wana channel ya timu yao huko whatsapp na ina mamilioni ya followers, yeye timu yake haina channel 😂😂

Mangungu timu yake ina channel, sasa kati ya engineer na Mangungu nani ako na akili kubwa 😜

Mwacheni awaombe apige nao selfie apate akili kubwa, ila bado yupo chekechea kwa sasa.
Bro hivi una maanisha au unatania mkuu?
Screenshot_20240104_172021_WhatsApp.jpg
 
Kwanza huu ni mjadala wa mpira ambako kama watani tunataniana na kufurahi maisha yanasonga, wewe unanivaa vipi na issue personal?
Huu ni mjadala mwepesi mno, hutakiwi kuweka emotions kama issue serious.

Halafu huo ujasusi mbona kama mnauongelea kiurahisi sana, ujasusi mnaujua lakini?
Hizo ni taaluma za watu, sio vyema kuleta dhihaka namna hii.
Good day
Makolo ni wepesi sana. Hasira dakika 0
 
Back
Top Bottom