Eng. Hersi ndani ya PSG, akutana na kina Mbape, Hakim

Eng. Hersi ndani ya PSG, akutana na kina Mbape, Hakim

Try again Huwa anashinda na Gian Infantino wakinywa kahawa, sembuse na mmiliki wa klabu?

That's isn't a big deal [emoji706][emoji706][emoji706]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wale wenzetu waliosema hicho ni cheo cha kawaida ndio maana Try Again ‘akakikataa’ watuambie hapa ni wapi? Majimaji ya Songea?
Sijategemea dear wee uandike hivi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
You lean nothing to jasusi ex wako, hivi ulikuwaga unafanya nini kwa huyo jasusi hadi mmebwagana na hukujifunza lolote kuhusu ujasusi!?

Ama kweli ukistaajabu ya Ayoub utayaona ya Salah [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na hapo kaomba sana.

Halaf alikuwa anasumbua watu , anasimamisha watu njiani na kuanza kuwaambia habari za ZNZ na kilimanjaro……

yule jamaa aliyekuwa na hakimu alikuwa anamuambia Hakimu , time time mpaka akaanza kusepa…….. jamaa yupo tu kilimanjaro , Zanzibar. Amekuwa kama wale wahubiri wa barabarani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom