Nakubari mkuuHersi akiwa kwenye picha ya pamoja Baada ya Hakimi kumuomba picha eng hersiView attachment 2861708
Haina umuhimu, kushobokea wanaume ndo kinachowapa hao kina dimpoz, Engineer awe makiniMbona mangungu hajapiga
Yule kapewa mwaliko maalumuHaina umuhimu, kushobokea wanaume ndo kinachowapa hao kina dimpoz, Engineer awe makini
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Try again Huwa anashinda na Gian Infantino wakinywa kahawa, sembuse na mmiliki wa klabu?
That's isn't a big deal [emoji706][emoji706][emoji706]
Sijategemea dear wee uandike hivi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wale wenzetu waliosema hicho ni cheo cha kawaida ndio maana Try Again ‘akakikataa’ watuambie hapa ni wapi? Majimaji ya Songea?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]You lean nothing to jasusi ex wako, hivi ulikuwaga unafanya nini kwa huyo jasusi hadi mmebwagana na hukujifunza lolote kuhusu ujasusi!?
Ama kweli ukistaajabu ya Ayoub utayaona ya Salah [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na hapo kaomba sana.
Halaf alikuwa anasumbua watu , anasimamisha watu njiani na kuanza kuwaambia habari za ZNZ na kilimanjaro……
yule jamaa aliyekuwa na hakimu alikuwa anamuambia Hakimu , time time mpaka akaanza kusepa…….. jamaa yupo tu kilimanjaro , Zanzibar. Amekuwa kama wale wahubiri wa barabarani
Ichukue UEFA kwani, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]PSG ni bahari ya soccer [emoji460] Duniani
Nyie mleteni manzoki tu, mambo yasiwe mengiIchukue UEFA kwani, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
PSG ina jipya gani sasa?/