Eng. Hersi ni Bora zaidi kuliko John Bocco kwenye Soccer

Hadji manara kweli ni nabii, hakukosea haya maneno KWAMBA YANGA WENYE AKILI NI BABA YAKE NA MZEE KIKWETE TUU. Wanaobaki wooootee wapumbavu Ona sasa huu uharo ulioandika hapa.
Mbna una hasira mkuu[emoji23][emoji23]
 
Hiviiii......huko UTOPOLONI nako huwa wanatoa kitu kama kule kwa BUKU SABA SABA nini? Maanake, mtu kujipinda na kuandika sifa za kijinga hapa, sio mchezo!
 
Juzi Mwakalebela akasema Yanga ni timu tishio Afrika kwa kuwa haijafungwa, uto wakapiga makofi kushangilia! Leo tunaambiwa Hersi ni tishio kwenye ligi! Uto kama uto 😁😁😁
 
Hiviiii......huko UTOPOLONI nako huwa wanatoa kitu kama kule kwa BUKU SABA SABA nini? Maanake, mtu kujipinda na kuandika sifa za kijinga hapa, sio mchezo!
Sasa wataandika nini mkuu?
Wakijaribu kuandika HabarI zinazohusu mashindano yahusuyo CAF watapigwa ban Maana hayawahusu na morisson alishawachongea huko CAS.

Zaidi wataandika HabarI za ng'ombe wa Mayele
 
Kwakweli anaupiga mwingi. Sasa ilikuwaje akapoteza muda na pesa kumsajili Heritier Makambo badala ya kujisajili yeye ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…