Eng. Hersi ni Bora zaidi kuliko John Bocco kwenye Soccer

Hivi ni hangeover au kitu gani kinasababisha Mtu uanzishe hoja isiyo na hoja?
 
Hata kimuonekano tu hapo unaweza ona nani mchezaji
 
Sio kila timu bali timu zinazojielewa. Timu inayokosa nauli ikiwa inashiriki hayo mashindano au timu nyingine kujali tamasha kuliko mechi ya CAF, timu hizo huwezi kusema zina malengo na CAF.
Hiyo nauli ni changamoto na nadhani timu husika hawapendezwi na hilo. Ni kama vile mtu anapenda kusoma ila hana ada, huwezi muweka kundi la mtoro au aliyekataa shule ni majanga tu.

Timu gani inajali tamasha kuliko maahindano?? Yani kwamba wao siku ya mechi ya CAF wakafanya tamasha balada ya mechi au vp??
 
Sema jamaa ukimechiki movement zake na ball control yake unajiuliza jamaa akiwa kijana kwanin hakucheza ligi kuu
 
Timu yenye malengo na CAF haiwezi kukosa nauli. Zinazokosa nauli ni zile ambazo hazina malengo na hayo mashindano hivyo ushiriki huja bila kutegemea.
Kuna timu iliweka kambi sehemu kwa ajili ya kujiandaa na pre season na mechi ya CAF lakini walikatisha kambi ili kuja kushiriki tamasha.
 
Ungekua muwazi tungeeleweshana ila naona kama unatumia mafumbo kuzikandia baadhi ya timu, sijui unaogopa madongo au ni nini kinafanya usiseme direct kua timu fulani.
 
Ungekua muwazi tungeeleweshana ila naona kama unatumia mafumbo kuzikandia baadhi ya timu, sijui unaogopa madongo au ni nini kinafanya usiseme direct kua timu fulani.
Kwa hiyo huijui timu iliyokosa nauli? Kama ni hivyo basi hufuatilii soka, sababu hata kama kipindi hicho ulikuwa unaumwa lakini baada ya kupona kwa mwanasoka lazima ungetafuta habari za wawakilishi wa kimataifa.
 
Hiviiii......huko UTOPOLONI nako huwa wanatoa kitu kama kule kwa BUKU SABA SABA nini? Maanake, mtu kujipinda na kuandika sifa za kijinga hapa, sio mchezo!
Acha hasira mkuu.....toa hoja
 
Juzi Mwakalebela akasema Yanga ni timu tishio Afrika kwa kuwa haijafungwa, uto wakapiga makofi kushangilia! Leo tunaambiwa Hersi ni tishio kwenye ligi! Uto kama uto [emoji16][emoji16][emoji16]
YANGA kila mtu ni staa pale so usishangae mkuu[emoji23][emoji23]
 
No wonder average IQ ya nchi hii ni ndogo sana

Imagine na wewe unapata mtu wa kufanana na wewe, mnazaliana na vitoto vyenu vinakua

Nchi imejaa mataahira sana hii

You can’t even compare basic stuff
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…