Eng. Hersi Said acha kuwa na kiburi

Bigirimana hakuna wa kumfikia hapa Bongo, tatizo mmezoea kutumia nguvu nyingi bila akili.
Mkuu Kwa bigirimana pale tumepigwa.. ukisema wachezaji wanaotumia akili hapo huwezi kumtaja bigirimana ukawaacha kina Chama, Saido.. Yaani yule ni mchezaji wa daraja la chini sana kwa Sasa ambae hana msaada Kwa timu yetu.
 
Pita kule mwenye kiburi ni Eng au Fei toto kafanya utoto?
 
Umesema jambo zuri sana mkuu. Umeongea ukweli kabisa. Na ndo ninachokiona hata humu JF wengi ni wapiga kelele wasio na msaada kwa Simba na Yanga.
 
Unaletq mambo ya 2019 wakati tupo 2023 tafuta takwimu za wanachama wa Yanga December 2022 baada ya transformation
 
Unaletq mambo ya 2019 wakati tupo 2023 tafuta takwimu za wanachama wa Yanga December 2022 baada ya transformation
We mpuuzi hujui taarifa za fedha za mwaka 2022 za Yanga zinatoka mwaka 2023.

Nyie ndio Aina ya mashabiki kichwani hamna akili.

Nimekuwekea ripoti ya 2020 ambayo ilitoka 2021.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…