Eng. Hersi Said angalia upya wanaouza jezi za Yanga

Eng. Hersi Said angalia upya wanaouza jezi za Yanga

Inayobaki anawapa kina manara oscar oscar na kigwangala wahoji billion 20 za simba ili yanga wasishtuke kama wanapigwa hela muwakilishi wa company na muwakilishi wa club ndio huyo hyo kweli wajinga ndio waliwao
Yanga haijawahi kugawa chakula na ada za shule kwa wanachama na mashabiki tangu ianzishwe 1935. Kazi ya Yanga ni kugawa furaha kwa wadau wake kwa burudani safi na Mataji. Kama GSM na Hersi wanaifanya Yanga itoe burudani kwa wadau wake shida Iko wapi?
 
Back
Top Bottom